mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Amekufa kwa umeme au.....?
Amekufa kwa umeme au.....?
Tusubiri Mazishi yatakavyokuwa ndio tutapata mwanga fulaniHeri familia yake imekuwa wazi kwenye chanzo cha kifo chake mapema kabla wavimba macho hawajapigia porojo zao.
Mkuu kafa Msimu mbaya.Huu msmu unaweza kimasikini kuliko maskini mwenyeweMie mwenyewe nilikua namwelewa..amezichanga sana huyu mama! Atazikwa kitajiri hadi raha!..
Eneo wanalofanyia ibada nalo alikabidhi?Nakumbuka mwaka 2008 kipindi Mama Rwakatale anachaguliwa Ubunge alikabidhi kanisa TAG na ikatokea mgogoro.
Nadhani ni jengo au eneo la TAG kama sijakosea.
Unataka kusema Nini hapaAlikua akinyanyua mkono tu, waumini wanadondoka huko na kupona.
Nimecheka hiyo ya kugombania remote, ndio ukweli kila mtu anataka aangalie kinachomuhusuR.I.P Mama wewe Mbele sisi Nyuma.
my take:
naomba mtu mmoja JF anaedhani , kujiona na kujidai kuwa yeye ni Genius sana ana akili kuliko sote humu na sote tunajua yeye ni mwandishi mzuri basi na ajitolee haraka kuanza kuandika kitabu kwa side effects za Covid19 nchini (economic, social, political, like culture, health, crime, employment, sports, deaths, BP, conflicts, psychological issues, hunger, corruption, prostitution, sanitation, lack of clothing, stress,depression, unwanted pregnancies, HIV Aids, Malnutrition, Education Standards drop , Gender Discrimination, Mimba za utotoni, Domestic Violence manake hivi sasa watoto na baba na mama wote wanagombea Remote Control ni vita ya tatu ya dunia : tv moja!
Mtoto mdogo = Katuni na Mazombi, Baba = TBC na Al Jazeera , Binti na Mama = Sultani, Ruby Ring na Kara Sevda na MTV India! Brazamen = Hollywood Movies, Mtv halisi Music and Boxing!! kazi ipo na hii Corona!!
tutasikia na kuona mengi namuomba Mungu atuondolee Covid19 nchini Tanzania, Amen
wapi Pascal?
Baba Swalehe unaongea nini aisee, unawaza kinyumenyume mkuu! watu wakienda kulia wewe kushoto! kwani ulikuwa ukimchukia Mama? kakufanyaje? sio kwamba tuna ya kujifunza katika maisha yake hasa kukuza elimu kwa shule zake bora sana? au ni yale makofi alipiga bungeni ile si ni mob psychology tu wenzio wakipiga makofi nawewe unapiga au?
Mchungaji aliponyokwa na nini!Sijawahi kukubali Watumishi wa Mungu kuwa wanasiasa kabisa mshika mawili mmoja humponyoka
Sent using Jamii Forums mobile app