Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,348
- 6,671
R.i.p Malongo na pole kwa wafiwa Mwenyezi awatangulie katika kipindi hiki kigumu.
nb: mwenye picha plz
nb: mwenye picha plz
WanaondoanaAisee!! Malongo tena?
Hivi jamani pale TBC kuna nini????
Wa
Anyway pumzika kwa amani Ezekiel.
Dah!!!!!!!!!
mzunguko wa humohumo kama mshwaki! kweli wengi watasafishwa...M.d.u.d.u. at work .! Kuna kipindi ilitokea hivi hivi tena hapo hapo .! Mzunguko wa humo kwa humo kama mswaki ndo tatizo.!