TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

Apate laana kwani Warioba ni baba yake mzazi? Kama ni hivyo basi Mnyika ana laana ya JK kwa kumuita dhaifu.Tuacheni mambo ya kudhani kifo ni kifo.

Lakini nawew kusema huyu ni dhaifu ni lugha ya kawaida sana kisiasa,lKini kusema mzee mwenyew an anakalibia kufa,kana kwamba yeye alijua a mzee angekufa lini uhmm ,mim sjui Mungu anajua!!
 
Yanasemwa mengi binafsi natakujua ukweli zaidi.

Wengine wanasema alizidi sana uzito wake Je! Kuna anayejua alifikia Kilogramu ngapi?
Je! Yamkini hio ni sababu tosha yakupatwa na kifo?

Lakini pia kuna wengine wanadiriki kuchokonoa mambo yake ya Kifedha kuwa ni MKOPO WA BILLIONI MOJA BANK YA CRDB,Baadhi ya watoa taarifa waliokuwa karibu naye wanasema alirejesha Millioni 400 na alibakiza milioni 600.

Inaonekana kulikuwa na shinikizo la kulipa madeni yote haraka kabla ya kuanza chaguzi za ndani CCM.

Mambo ya vimwana (Capt.Komba alikuwa sio duni kwa Warembo alipatikana kirahisi na kwa wakati huku akitoa MSHIKO MNONO) pia yametajwa kuwa ndio chanzo kingine cha kuwa na Madeni mengi na makubwa hata kusababisha MAUTI KUMFIKIA.

Wabongo kwa kuongea sio haba,wengine wanasema kule kujihusisha na kundi la LOWASA huenda imewafanya wakubwa wawatumie Bank zinazomdai zimfuatilie kupita maelezo.


Wanadiriki kuingia ndani zaidi na kusema huyu bwana kwa habari za mambo ya RASIMU YA KATIBA MPYA iliyowasilishwa na kusomwa Bungeni na Mzee wetu JAJI WARIOBA imemletea LAANA badala ya BARAKA hasa hapo CAPT KOMBA aliposimama na kutakamka maneno MAKALI,MAGUMU,MAZITO,MABAYA akimtusi JAJI SINDE WARIOBA.

Mzee mwenyewe amekaribia kufa usituvurugie Nchi la sivyo nitaingia msituni,maneno hayo yalitamkwa na MAREHEMU KOMBA.

Sote tumefichwa hatujui lini huyu na yule watakufa.Kifo chake komba huenda sio kulogwa bali ni MUNGU TU AMEMPENDA ZAIDI KULIKO SISI NA KUAMUA KUMWONYESHA MWENYE KUPANGA RATIBA Nani aondoke nani abakie.Mwenye uwezo huo ni MOLA PEKE YAKE.


Inatufundisha sote tusijisahau duniani sio mahali pa kudumu siku yaja tutaondoka kila mmoja na Majira yake,Tuitumie hii FURSA YA KUISHI VIZURI.


Nimebakia najiuliza maswali Mu-Kichwa NINI KIMEMUUA CAPT KOMBA kati ya haya yote yanayosemwa???


Vifo vyote ni kwa mapenzi ya Muumba. Nionavyo tamaa ya makubwa ndiyo imemwangusha.
 
nachoamini mm kuwa dini yangu inanikataza kumjadili mtu ambaye kashakufa kwa mabaya!!!! safar njema komba cc co bora zaidi yake...acha tujiandae na kifo
 
Kweli are we supposed to discuss kifo cha mtu!Familia yake ishasema nini kimemsababishia umauti kwa taarifa ya daktari. Sasa ya mitaani si tuyaweke kando Mzee apumzike kwa amani!
 
Apate laana kwani Warioba ni baba yake mzazi? Kama ni hivyo basi Mnyika ana laana ya JK kwa kumuita dhaifu.Tuacheni mambo ya kudhani kifo ni kifo.

Wahenga wana usemi "asiyefunzwa na wazazi hufunzwa na ulimwengu" ukimkosea aliyekuzidi umri (hata kama hajakuzaaa!!) lazima ile kwako!!
 
Ni maradhi, yapi nadhani madaktari na familia yake wanajua zaidi.
Tunajifunza mengi kutokana na kifo chake. moja ni unafiki wa waliokuwa juu yake. Komba alitamka maneno ya hatari hapa mwishoni. kwamba ataingia msituni; kwamba Warioba anakaribia kufa...! Basi waliokuwa juu yake wangepaswa kuukemea huo ubaguzi. badala yake kama kawaida baada ya kufa wamemwagia sifa kibao.
Wakati wa kifo binadamu huingia katika unafiki wa ajabu. Bora Yesu alitamka "waache wafu wazikane wao kwa wao"
 
Mnyika alichosema ni ukweli na wala halina utata.
Ila kumsema mwenzako kuwa et anakaribia kufa! ni kosa kubwa sn hilo hapa duniani.
Et nitaingia msituni,hahahaaaa mtu mwenyewe yule! hata wakituingiza msitu mmoja na mie bila silaha yoyote ile masaa mawili hayaishi watamkuta yupo hoi kama c kufa.LAANA

Hahahhahah jamani jf raha sn. Ila ni kweli ht mm yule asingeniweza japo mi ni she ila asingeona ndani. Ningemtoa nock out.
 
Wakati tupo wadogo kuna wimbo tulikuwa tunaimba
IDD AMINI AKIFA MIMI.SIWEZI KULIA,NITAMTUPA KAGERA KIWE CHAKULA CHA MAMBA.
DUh komba sijui.kwake.imekaeje

huyu hata mamba hawawezi kumla coz ni kinyaa kwao dawa yake ni kulitupa bush tu likakojolewe na ndege
 
Imegundulika kua makundi ya uraisi yamechangia kifo cha nahodha Komba

Taarifa zinzsema kua Komba alikua anadaiwa na baadhi ya mabenki nchini hadi kupelekea shule yake kuuzwa,hilo halikumnasua kwenye wimbi la madeni,bado akaendelea kusakamwa na wadeni wake hivyo waziri kiongozi akamkingia kifua kwa wadeni wake kwamba wampe muda atamaliza madeni yake na wasipige nyumba yake mnada.

Kweli wadeni wake wakampa muda wakitegemea kwamba akipokea kiimua mgomgo cha ubunge atamaliza deni lake lililobaki(waziri kiongozi aliwaahidi wadeni wake kwamba deni hili litalipwa kutoka kwenye kiinua mgongo cha komba).

Baada ya muda Komba akasikika akisema Tanzania hakuna mwanaume kama Lowassa na ndie atakaekua Rais wa Tanzania na alikua kaanza kumtungia nyimbo za kampeni na za kumsifia.

Waziri kiongozi alipopata hiyo taarifa akawapigia simu wadeni wa Komba waende kai pesa zao na akajitoa rasmi kumlinda komba dhidi ya mabenki yanayomdai. Mabenki yakatia maguu kwa komba kudai pesa zao,Captain akajichanga changa akalipa ikabaki kama milioni 46,akampigia Mzee wa kaskazini simu amsaidie hiyo hela ili wasiuze nyumba yake,mzee wa kasikszini akaahidi kuituma kumsaidia

Imefika siku ya wadeni kuja kuchukua pesa yao au kuuza nyumba Komba akapigia simu mzee wa kaskazini toaka asubuhi simu haipokelewi,presha ikapanda ikapelekea kifo chake.

HABARI NDIO HIYO.
 
Imegundulika kua makundi ya uraisi yamechangia kifo cha nahodha Komba

Taarifa zinzsema kua Komba alikua anadaiwa na baadhi ya mabenki nchini hadi kupelekea shule yake kuuzwa,hilo halikumnasua kwenye wimbi la madeni,bado akaendelea kusakamwa na wadeni wake hivyo waziri kiongozi akamkingia kifua kwa wadeni wake kwamba wampe muda atamaliza madeni yake na wasipige nyumba yake mnada.

Kweli wadeni wake wakampa muda wakitegemea kwamba akipokea kiimua mgomgo cha ubunge atamaliza deni lake lililobaki(waziri kiongozi aliwaahidi wadeni wake kwamba deni hili litalipwa kutoka kwenye kiinua mgongo cha komba).

Baada ya muda Komba akasikika akisema Tanzania hakuna mwanaume kama Lowassa na ndie atakaekua Rais wa Tanzania na alikua kaanza kumtungia nyimbo za kampeni na za kumsifia.

Waziri kiongozi alipopata hiyo taarifa akawapigia simu wadeni wa Komba waende kai pesa zao na akajitoa rasmi kumlinda komba dhidi ya mabenki yanayomdai. Mabenki yakatia maguu kwa komba kudai pesa zao,Captain akajichanga changa akalipa ikabaki kama milioni 46,akampigia Mzee wa kaskazini simu amsaidie hiyo hela ili wasiuze nyumba yake,mzee wa kasikszini akaahidi kuituma kumsaidia

Imefika siku ya wadeni kuja kuchukua pesa yao au kuuza nyumba Komba akapigia simu mzee wa kaskazini toaka asubuhi simu haipokelewi,presha ikapanda ikapelekea kifo chake.

HABARI NDIO HIYO.

Heeee kumbeee ndio maana wengine walikuwa wanaaga huku wanacheka mwee mwanangu kuwa uyaone.
 
Back
Top Bottom