Ngurubhe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,840
- 1,047
Apate laana kwani Warioba ni baba yake mzazi? Kama ni hivyo basi Mnyika ana laana ya JK kwa kumuita dhaifu.Tuacheni mambo ya kudhani kifo ni kifo.
Lakini nawew kusema huyu ni dhaifu ni lugha ya kawaida sana kisiasa,lKini kusema mzee mwenyew an anakalibia kufa,kana kwamba yeye alijua a mzee angekufa lini uhmm ,mim sjui Mungu anajua!!