TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

TANZIA:

Mbunge wa Mbinga na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Kapteni John Damian Komba amefariki dunia ktk Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam leo saa kumi jioni.

CCM Wameandika kwenye twitter yao.


attachment.php

kwenye msiba wa Komba nilijifunza kwamba sheria za makanisa ziliwekwa ili kuwadhibiti watu wa chini , ukiwa juu kidogo kwa fedha au umaarufu hazikugusi , Pamoja na Marehemu Komba kuwa na WAKE WAWILI lakini kanisa halikujali liliendelea na ibada kinyume cha utaratibu wake ! Mungu mpunguzie adhabu za kaburi ndugu yetu Komba , Amina .
 
Nimepita hapo nimeona kuna magar mengi sana,nadhan ndo sababu ya mkusanyiko huo,this time last year ndo watia nia wa urais wanapishanapishana hapo
 
kwenye msiba wa Komba nilijifunza kwamba sheria za makanisa ziliwekwa ili kuwadhibiti watu wa chini , ukiwa juu kidogo kwa fedha au umaarufu hazikugusi , Pamoja na Marehemu Komba kuwa na WAKE WAWILI lakini kanisa halikujali liliendelea na ibada kinyume cha utaratibu wake ! Mungu mpunguzie adhabu za kaburi ndugu yetu Komba , Amina .
Fwedhwa fwedhwa,na wakatolik ndo wana sheria kali kweli
 
Pumzika Kiongozi
Ila Song Lako Huku Yaani Utafikiri Upo Hai Ama Umetoa Single Jana Na KwakuwA Tunaisoma Number Lazima Tukukumbuke Sana
 
Ila lulu hawezi kufika mbinguni, alimsukumiza kanumba akafa, akamtia stress komba nae akafa, sasa kahamia kwa majizo
 
Ila lulu hawezi kufika mbinguni, alimsukumiza kanumba akafa, akamtia stress komba nae akafa, sasa kahamia kwa majizo

Nilimkuta nyasa beach pale, bana bana, mie hata simjui nikaanza harakati zangu. Weeee naambiwa usione kima ziwani. Sema ka muda tu ndo kalibana
 
TANZIA:

Mbunge wa Mbinga na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Kapteni John Damian Komba amefariki dunia ktk Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam leo saa kumi jioni.

CCM Wameandika kwenye twitter yao.

View attachment 2763971
Historia Fupi ya Marehemu John Komba

Marehemu Kaptain Komba alizaliwa Marchi 18 mwaka 1954 alipata elimu ya msingi huko nchini Tanzania katika shule ya Lituhi baadae elimu ya sekondari katika shule ya sekondari ya Songea iliyopo kusini mwa Tanzania kuanzia 1971 hadi mwaka 1974.

Mwaka 1975 hadi mwaka 1976 Marehemu John Komba alijiunga na chuo cha ualimu kilichopo Kleruu Iringa, Kusini Magharibi mwa Tanzania ambapo alihitimu cheti cha ualimu.

Marehemu John Komba ni mwanajeshi ambaye alipata mafunzo ya uafisa wa Jeshi katika chuo cha Maafisa wa Jeshi kilichopo Monduli kaskazini mwa Tanzania mwaka 1977 hadi mwaka 1978.

Keptain John Komba pia alipata mafunzo mengine ya siasa kutoka chuo Kikuu cha Washngton International ambapo alitunukiwa shahada ya siasa mwaka 2006 hadi mwaka 2008.

Chanzo: BBC
Poleni sana kwa msiba huu.
 
Back
Top Bottom