Tanzia: Brigedia Ngwilizi hatunaye tena

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,793
,Brigedia Hassan Ngwilizi amefariki dunia leo katika Hospitali ya Lugalo muda mfupi uliopita. Marehemu aliwahi kuwa Waziri wa Tamisemi na Naibu katibu mkuu CCM bara... Aliwahi pia kwenda kukaimu urais wa Comoro kwa muda

Innalillahi Wainnailaihi Rajiun.
IMG-20190521-WA0000.jpeg
 
Back
Top Bottom