Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,793
,Brigedia Hassan Ngwilizi amefariki dunia leo katika Hospitali ya Lugalo muda mfupi uliopita. Marehemu aliwahi kuwa Waziri wa Tamisemi na Naibu katibu mkuu CCM bara... Aliwahi pia kwenda kukaimu urais wa Comoro kwa muda
Innalillahi Wainnailaihi Rajiun.
Innalillahi Wainnailaihi Rajiun.