Tanzia: Bilionea Kimory wa Arusha afariki dunia

Tanzia: Bilionea Kimory wa Arusha afariki dunia

Miiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
3,835
Reaction score
2,650
Mfanyabiashara Maarufu toka miaka ya 80 Mtui wa Kimory Investment amefariki Dunia.

Kimory pia ni mmiliki wa lodges kadhaa jijini Arusha ikiwemo Kimory executive na Florida In.
 
R.I.P. Tajiri. Bwana amekata jina. Jila la Bwana lihimidiwe.
 
Huyu muuza supu si bilionea hata kidogo.

Ha haa Ngongo! Huyo Bwana yeye ndie Transporter wa Bia za kapuni ya Sbl kupitia kapuni zake. Kadhalika ana ma estate mengi sana.
Mwaka 2007 akiwa moshi Acc ilikuwa na bilion 1.7
 
Ubilionea umeshuka chati sasa,Na hivi Dolla ilivyopanda kila mtu sasa atakuwa millionea Na billionea
RIP Tajiri!
 
R.I.P Billionaire .....................
 
Back
Top Bottom