Tanzia: Bilionea Kimory wa Arusha afariki dunia

Tanzia: Bilionea Kimory wa Arusha afariki dunia

Kila mtu anayetokea Arusha anataka kutuaminisha ni Bilionea, come on guys...kuweni serious.
tupo serious,ila kocha kimory hajasogelea u bilionea!!hata hatua moja,namjua vizuri!! Hata kwenye ligi ya matajiri wa arusha bado hawezi tia mguu,fuso nane na scania tano ni bilionea?? Acheni utani nyie.
 
tupo serious,ila kocha kimory hajasogelea u bilionea!!hata hatua moja,namjua vizuri!! Hata kwenye ligi ya matajiri wa arusha bado hawezi tia mguu,fuso nane na scania tano ni bilionea?? Acheni utani nyie.



Nimekupata Mkuu...
 
R.i.p billionea but bongo mabilionea nadhan n wawili tu kwa sasa alikuaga mmoja tu rostam aziz, ili mtu kuitwa bilionea anatakiwa kuwa na worthy of one billion us dollars sio pesa etu ya madafu
 
Sasa kama mtu kafa account yake inasoma zaidi ya billion moja aitwe Nani ???
 
Back
Top Bottom