Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,982
- 93,991
MaybeAtakua analia kwsasa hawezi soma, !
MaybeAtakua analia kwsasa hawezi soma, !
From ?HE REMAINS!
Amefariki akiwa na umri gani?
We bury our dead and remember them for their good deeds!From ?
Pole sana jirani yangu..r.i.p mzee
Tusubiri tuone kama chadema watatoa tamko la pole.
Baba mzazi wa balozi wa Tanzania nchini Sweden Dk Wilbroad Slaa, mzee Peter Slaa amefariki dunia, Mkuu wa Wilaya ya Arusha (DC), Gabriel Daqarro amethibitisha.
R.I.P
Peter Qamara Tluway (98), baba mzazi wa Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dk Wilbroad Slaa amefariki dunia jana Jumatatu Novemba 18, 2019 kwa ugonjwa wa moyo.
Yasinta Aloyce ambaye shemeji yake Dk Slaa amesema Tluway alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo kwa zaidi ya miezi nane.
"Amekua akipata matibabu ya ugonjwa wa moyo katika hospitali tofauti na hatua ya mwisho madaktari walikuwa wanakuja nyumbani kuangalia hali yake ila mara ya mwisho walikuja na kukuta ameshafariki dunia,” amesema Yasinta akibainisha kuwa Dk Slaa ameshapatiwa taarifa za msiba huyo na ameanza safari kurejea nchini.
Yasinta amesema mazishi yatafanyika Novemba 23, 2019 katika kijiji cha Ayalabe wilayani Karatu.
Chanzo: Mwananchi
Nani?Apumzike kwa aamani