Sio mwana ccm ila kauli kama hii kwa kweli kama taifa nafikiri tumefika pabaya sana.wanakufa watu sahihi wanabaki wajinga (jiwe eee mungu naomba uchkue)
R. I. P king
Umewaza mbali .Ulaji kwa Steve Nyerere huoooo... Mjiandae kukutana Leaders... Apumzike kwa amani mzee Majuto.