Tanzania's Unusual Immigration Case

Tanzania's Unusual Immigration Case

Nadhani kitu kimoja tunachokosea ni kuwahukumu wakimbizi kuwa wakimbizi maisha yao yote, wao na vizazi vyao. Ni lazima tukubali kuwa kuna baadhi hawatarudi kwao na tuanzishe taratibu za kuwaingiza katika jamii yetu. Mikmbizi ajue kuwa kuna njia iliyo wazi ya yeye kuwa raia wa nchi hii iliyompokea. Hata ulaya, mkimbizi akikaa muda fulani bila kuonyesha tabia mbovu na kuonyesha nia ya kuwa raia bora anapewa uraia. Leo kwetu tuna jeneresheni za wakimbizi ambao tukiona ni politically expedient kwetu tunawatimua. Tuwape nafasi ya kuwa raia wema na tuwachukulie hatua wale tu ambao wanaonekana hawana nia nzuri nasi. Tusiadhibu jamii nzima kwa makosa ya wachache baina yao.

Amandla......
Anapewa permanent residence permit. Uraia lazima aombe!!!
 
Kwa hiyo, siku ambayo Muungano utavunjika, which will be, basi na Wapemba wote wakiwepo wale waliozaliwa huku Bara wafukuzwe fasta kwa sababu kimenuka?

Muungano upo kimaandishi na katiba inaelezea ,uhamiaji wa wanyarwanda na wengineo ulitokea kwa sababu ya ukimbizi wa vita,kutafuta maisha na mambo mengine? Hatujawahi kuungana na Rwanda na kua nchi moja...two uncomparable events
 
Sina hakika kama agizo la Rais wetu Jakaya limeeleweka vizuri kwa watendaji na watekelezaji wake. Isije ikawa kama lile agizo la Mwalimu la kuhamia vijiji vya ujamaa au lile la maduka ya vijiji.

Nimeongea na Polisi mmoja hapa Dar ananiambia wanatengeneza sio chini ya milioni 10 kwa siku kwa "wahamiaji haramu" walioko hapa jijini hasa wale wa jamii ya ki-Asia na ki-Somali!
 
kumbuka hata kagame alienda uganda kama mtu wa kwaida tena mtoto mdogo wa miaka minne lakini karudi kwao rwanda, james kaberabe alizaliwa DRC na kupata stahili zote kama mkongo lakini aliwasaliti na kurudi rwanda achilia mbali mauaji ya halaiki anayoendeleza kwa nchi iliyomlea kupitia m 23! watusi ni watu wachafu sana

Amakweli tz imeingiliwa na itikadi ya chuki dhidi ya watusi,kama kweli mnapenda amani wakati watusi walipokua wakichinjwa mlifanya nini? mbona hamkutuma majeshi ya kupambana na wauaji? Lakini leo watusi wa kongo wanauawa na kabila akishirikiana na FDLR,tz inakimbilia kusaidia hao wauaji eti M23 inaua?wakati wao ndio wana uawa.
 
watusi acheni hizo!!!!!rudini kwenu bana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.mna utamaduni wa kishenzi sana.mkienda nchi za wengine mnangangania huko na kusema ni kwenu.rudini nawaambieni.

Acheni roho mbaya hiyo,mnachotaka nikupora mali zao tu,fikiri hawa munaofukuza nikixazi cha wakimbizi walio ingia tz 1959 nawengi wa wazazi wao wameisha kufa wamezaliwa tz hawajui rwanda na wala hawana ardhi ya kuishi rwanda kwani baada ya kufukuzwa rwanda ardhi zao zilichukuliwa na wahutu,wewe kumfukuza nikama kukufukuza wewe mwenyewe uende nchi ambayo huijui,fikiria hali hiyo,wanasema kabla hujatendea mtu kitu kibaya anza kwanza ujiweke mahala pake.
 
Acheni roho mbaya hiyo,mnachotaka nikupora mali zao tu,fikiri hawa munaofukuza nikixazi cha wakimbizi walio ingia tz 1959 nawengi wa wazazi wao wameisha kufa wamezaliwa tz hawajui rwanda na wala hawana ardhi ya kuishi rwanda kwani baada ya kufukuzwa rwanda ardhi zao zilichukuliwa na wahutu,wewe kumfukuza nikama kukufukuza wewe mwenyewe uende nchi ambayo huijui,fikiria hali hiyo,wanasema kabla hujatendea mtu kitu kibaya anza kwanza ujiweke mahala pake.

Wakimbizi wa mwaka 1959 nafikiri walipewa uraia. Na Sera moja wapo ya ujamaa ya Nyerere ilikua kuchanganya wananchi kutoka sehem moja hadi nyingine, yani vijiji vya ujamaa. Hao walioko huko pembezoni kwenye mapori ya boringi wengi wao wamekuja juzi juzi tu baada ya vita ya 1994. Wale waliokuja mwaka 1960 nyerere ali wa mix ktk jamii na wako mjini.
 
Acheni roho mbaya hiyo,mnachotaka nikupora mali zao tu,fikiri hawa munaofukuza nikixazi cha wakimbizi walio ingia tz 1959 nawengi wa wazazi wao wameisha kufa wamezaliwa tz hawajui rwanda na wala hawana ardhi ya kuishi rwanda kwani baada ya kufukuzwa rwanda ardhi zao zilichukuliwa na wahutu,wewe kumfukuza nikama kukufukuza wewe mwenyewe uende nchi ambayo huijui,fikiria hali hiyo,wanasema kabla hujatendea mtu kitu kibaya anza kwanza ujiweke mahala pake.
Umeanzisha nyuzi kule nimekupiga maswali kumi na mbili,umekimbia. Unaleta hoja zile zile ulizokimbia u[pande mwingine. Nakufuata kwasababu watu wa propaganda kama ninyi mnzidi kututia hasira na mtaondolewa tu!
Kwanza some hii hapa kijuibu hoja zako hapo juu
I went to Kiyanzi to see first-hand the plight of the "Rwandans" being kicked out of Tanzania by the government on allegations that they are illegal migrants. After a day of interviews with many of them, I realised that while the government of President Jakaya Kikwete may genuinely have sought to expel illegal migrants on its territory, the actual policy implementation is as arbitrary as it gets.

There were many Rwandan immigrants in Tanzania who had not registered to become legal residents. Therefore, it is true that many of the people kicked out of Tanzania are actually illegal migrants (in the sense that they had not acquired the requisite residency papers).

Take the example of Vena Kamihanda, a 50-year old born in Rwanda, who migrated to Tanzania in 1984. She got married to a Tanzanian man with whom they begot four children. She was kicked out and left her entire family behind. She says she had a residence permit and voting card both of which were confiscated when she was crossing the border, a sign that policy implementation has more than what the policy says.

Vedasti Nkurunziza, 33, migrated to Tanzania in 2004. He married a Tanzanian and now they have two children together and a pregnancy. They are expecting a child in September. However, he was forced to leave his family. He registered for citizenship because he was eligible as a migrant married to a Tanzanian. But he was kicked out before he could get his papers approved or rejected. Therefore, although he did not have residence papers at the time he was expelled, he was on track to get his citizenship as the law states
Hapa ni kuwa ushahidi wao unaonyesha wanakubali ni illegal immigrants.
Pili wanakiri wamekuja hivi karibuni, hoja ya kusema walikuja mwaka 1959 ni propaganda ziache zinatia hasira na wanaoteseka ni ndugu zako.

Pili, roho mbaya gani Tanzania imefanya? Sheria gani za kimataifa Tanzania imekiuka? Haki gani za kibinadamu Tanzania imekiuka?

Kuporwa mali ni halali kwasababu hawaku declare wamekuja na kitu gani.
Pili, wamechuma hizo mali kwa kuua watu leo unadhani wana uhalali wa kurudi nazoi.

Tatu hawapaswi kudai mali, walipaswa kushukuru kwasababu sehemu ya kwanza ilikuwa mahakamani wapewe miaka wakitoka huko warudishwe na nguo zao.

Propaganda zenu zinazidisha moto na watatafutwa popote walipo makanisani au misituni.

Wakongo, Warundi, Waganda hawana malalamiko.

Wanyarwanda wanageuza hili suala liwe la xenophobia ili waachiwe kuleta madhara zaidi.
Hapa hakuna watusi au wahautu tunaongelea wahamaiji haramu.

Hivi mwenye roho mbaya ni yule anayekuambia urudi nyumbani au yule aliyekufukuza.
 
f7d3Kikwete-and-Kagame.jpg


Sifting through ethnicity proves challenging as country grapples with illegal immigrants from Rwanda. Christopher Rubamba Matata is 63 years old. He was born in Karagwe, Tanzania, although he is of Rwandan ancestry. Matata considers himself fifth generation Tanzanian and cannot even speak proper Kinyarwanda. His grandfather, his great grandfather and his great, great grandfather were all born in Tanzania. While many Tanzanians of Rwanda ancestry have retained their language and culture, Matata is completely removed from both - his only relationship with Rwanda is his tall and trim features stereotypically associated with the Tutsi.

"All my life I have lived in Tanzania," he told me when I visited the Rwandan border town of Kiyanzi in Kirehe district where there is a transit camp for thousands of Banyarwanda refugees that the Tanzanian government has expelled as illegal immigrants. “All my family and friends live in Tanzania. I don't know anyone in Rwanda - I have no friend or relative in this country. I have never even visited this country. I have only come here as a refugee."

Matata says he has a wife and seven children back in Tanzania whom he has been forced to leave behind. He says government officials found him at a trading center sharing a moment with his friends and asked him to leave immediately for Rwanda. He says he was not even given a chance to go home and say farewell to his family or choose to move with them. Neither was he allowed to pick any of his personal belongings. However, his eldest son was also kicked out of Tanzania and came with his wife.

"The only reason they kicked me out is because of my physical looks," Matata tells me, "They said I look like a Munyarwanda, that was all the crime I committed. But this [Rwanda] is not my country. If I have to stay here, I want to do so as a Tanzanian. I was not a Rwandan resident in Tanzania. I am a Tanzanian now resident in Rwanda. I cannot accept government to take away my citizenship and give me another based on my ancestry."

I went to Kiyanzi to see first-hand the plight of the "Rwandans" being kicked out of Tanzania by the government on allegations that they are illegal migrants. After a day of interviews with many of them, I realised that while the government of President Jakaya Kikwete may genuinely have sought to expel illegal migrants on its territory, the actual policy implementation is as arbitrary as it gets.

There were many Rwandan immigrants in Tanzania who had not registered to become legal residents. Therefore, it is true that many of the people kicked out of Tanzania are actually illegal migrants (in the sense that they had not acquired the requisite residency papers). Yet from the interviews I did with many refugees, the vast majority of them are actually citizens of Tanzania being victimised by central and local authorities for being of Rwandan ancestry.

Matata's experience is shared by many refugees forced to leave their homes, families, and property on allegations of being illegal migrants. Take the example of Vena Kamihanda, a 50-year old born in Rwanda, who migrated to Tanzania in 1984. She got married to a Tanzanian man with whom they begot four children. She was kicked out and left her entire family behind. She says she had a residence permit and voting card both of which were confiscated when she was crossing the border, a sign that policy implementation has more than what the policy says.

The tendency of the local authorities in Tanzania has been to mistake the order to expel "illegal migrants" out of the country for an order to expel many people of Rwandan ancestry. Indeed, local officials appear to have interpreted and implemented it as an order to get rid of all people who speak Kinyarwanda. As a result, the exercise is less discriminating between illegal migrants and genuine citizens and residents. Indeed, many refugees think that the call to expel illegal migrants is a disguised form of a war against people who share Kinyarwanda culture.

Vedasti Nkurunziza, 33, migrated to Tanzania in 2004. He married a Tanzanian and now they have two children together and a pregnancy. They are expecting a child in September. However, he was forced to leave his family. He registered for citizenship because he was eligible as a migrant married to a Tanzanian. But he was kicked out before he could get his papers approved or rejected. Therefore, although he did not have residence papers at the time he was expelled, he was on track to get his citizenship as the law states.

"These do not seem to be mere mistakes by overzealous local officials," a civil society organiser at the camp told me preferring to remain anonymous, "The whole campaign against illegal migrants is a disguised xenophobia against Banyarwanda. Local officials have been spewing anti-Banyarwanda propaganda, which the government of Tanzania seems to have bought line, hook and sinker."

The process of expulsion has not been without violence. All too often, those being expelled are subjected to beatings. Gaudencia Nkarugwiza, 58, was born in Tanzania and married a Tanzanian. Together, they bore eight children. However, all her children and her husband remained behind as she was expelled. When being chased, she claims the soldiers beat her and she showed me bruises on her body. But she does not know anything about Rwanda. She knows no one in Rwanda, has no relatives or even friends. Her entire being and life is in Tanzania and she cannot understand why she is being forced to go to a country she does not know.

Grabbing property

The structure of incentives favours local officials declaring anyone of Kinyarwanda culture an illegal immigrant. This is because when people are being kicked out, many are forced to leave their land, houses, cows and other property behind. The local officials, the refugees told me, take the property.

The civil society activist said Tanzanian local officials supported by their superiors in Dar Es Salam accuse Banyarwanda of causing insecurity, of instigating land conflicts in local communities, and of being behind a spate of armed robberies. Pro-government activists in Dar es Salam have been active on social media accusing "Rwandese" immigrants of similar crimes against the people of Tanzania.

"But how can one ethnic group be accused of all these crimes," the activist asked, "It is clear that they want to expel Rwandans in order to confiscate their property and share it among themselves. The local officials become rich while officials in Dar Es Salam are rewarded with political support for giving their voters free assets."

Agnes Nyirantegeyimana, 60, was born in Karagwe, Tanzania. Her parents were also born in Tanga, Tanzania. So she is a third generation Tanzania. She was married and is now widowed with eight children. However, three of her children were expelled with her while the other five remained behind in Tanzania. She does not know where they are. She told me that she was chased away and she left behind all her property and came to Rwanda with nothing. Like many Tanzanians of Kinyarwanda culture, she does not have friends and family in Rwanda.

"I cannot go back to Tanzania even if they allow me to," she said as tears rolled down her face, "Tanzania is the only country I have known since I was born yet they treated me badly. Rwanda is not my country but so far they have treated me with decency. These are proper human beings. Although I left all my friends and relatives in Tanzania, I don't want to go back to that country."

Shaming Nyerere's legacy Stranded

By 1961, many Rwandans of Tutsi ethnicity had run away from their country and had taken refugee in Uganda, Burundi, Congo and Tanzania. But Tanzania's (then called Tanganyika) founding president, Julius Nyerere, felt that Africans in Africa should not be refugees. Therefore, the 1961 blanket citizenship on the eve of independence was understood as aimed at helping Tutsi refugees in the country feel at home.

Thus, Serestin Ben, 26, born in Ngara is a second generation Tanzanian. His parents migrated to Tanzania in 1959. The father died in 1992. The mother then got married to another man who is a Tanzanian-Rwandan. When Kikwete issued his expulsion order, he says, Tanzanian officials came to his home saying "you resemble Banyarwanda."
"That is the only reason they used to ask me to leave the country of my birth and citizenship," Ben told me, "They said even if only one of your parents was Rwandan, you have to go back to your country. But Rwanda is not my country. They told us that we have 14 days to leave if not they would take stern action. I am told the order to expel us was issued by President Kikwete. I was also told that President Kikwete has problems with President [Paul] Kagame. But for us we are ordinary people and are not part of this quarrel. If Kikwete wants to punish Kagame, he can do it directly rather than punish us."

President Paul Kagame of Rwanda and Kikwete have had a frosty relationship since Kikwete proposed that Kagame talks peace to the Congo-based Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR) militia that Kigali holds responsible for the 1994 genocide in which a million Tutsi died. The recent expulsions appear to be an extension of the rift. Unfortunately, the expulsion of the people who; whether they are considered Rwandans or Tanzanians are East Africans, is a major blow to the spirit of East African Community. The regional block is designed to allow East African to live and work anywhere in the region without encumbrances.

Tanzania's move is a tragedy because it is hurting ordinary people. Ben showed me a wound by an arrow. "These people have developed a phobia for Kinyarwanda speaking persons. Ordinary Tanzanian citizens were confiscating our property and cows," he said. Emmanuel Mugisha, 51, was born in Burundi and went to Tanzania in 1972 to join his auntie there. In 1987 he got citizenship. But then soldiers and local defense confiscated the papers and then claimed that he was not Tanzanian. He has a wife and three children. Two of the children are married and they all live in Tanzania. This means there are many other Tanzanians of Kinyarwanda culture who have not been expelled; at least not yet. But many families have been separated.

Fred Rwabuduguri, 39, married with three children was a preacher born in Karagwe. He says his parents migrated from Rwanda in 1959. Although he has a birth certificate, he did not apply to be a citizen. Even his parents did not apply for citizenship. They always assumed that the 1961 blanket citizenship was enough. But when local Tanzanian communities began a campaign against Banyarwanda, he and his entire family applied for citizenship and it was denied without reason. Meanwhile, his father returned to Rwanda in 2006 but Rwabuduguri stayed behind.

"I am not happy to leave my home," he told me, "I left all my friends and property - cows, land a house in Tanzania, the only country I have and know in all my life. I don't know Rwanda. [Idi] Amin gave Indians 90 days to leave Uganda; we Banyarwanda in Tanzania were given only 14 days to leave. Like Idi Amin's expulsion, we Banyarwanda leaving Tanzania are stripped of our property."

Fred Samuel Rurangwa, 27, is still single and was born in Karagwe. His parents migrated to Tanzania from Rwanda. He says that President Kikwete came to Karagwe and said every Rwandan has to leave within 14 days. His parents left to where he does not know. Then local defense units came and chased him away after the 14 days expired. He was a cattle keeper and left all his 50 cows behind. He had land, which they left behind. He has been turned destitute now.

In Kigali, local officials are confused about what to do with these refugees. Should Rwanda grant them citizenship because they share its language and culture? There are many Kinyarwanda speaking communities in Uganda and DR Congo who are there by the arbitrariness of colonial borders, by decades of migration and by naturalisation or marriage. If every country decided to expel such persons, what would Rwanda's response be?

allAfrica.com: East Africa: Tanzania's Unusual Immigration Case

Nilipoona hapo kwenye bold letters nika-dismiss article yote hapo hapo, ------- kabisa unapiga propaganda hata katika hili, nani hakumuona kikwete kwenye TV? Angesema hivo si tungemkoma mushikiwabo
 
Nilipoona hapo kwenye bold letters nika-dismiss article yote hapo hapo, ------- kabisa unapiga propaganda hata katika hili, nani hakumuona kikwete kwenye TV? Angesema hivo si tungemkoma mushikiwabo
Gazeti la The East Africa limepoteza credibility kwasababu ya kutofanya uandishi wa kisomi bali kushabikia tu. Jk hakusema Wanyarwanda, alisema wahamiaji haramu. Ilikuwa ni juu ya mhariri kujitridhisha na madai ya msemaji au kuyaweka sawa na si kushabikia.

Tumeona makala nyingi zinatoka Kigali na zile za Nairobi ni kuongeza chumvi.
Nalipenda gazeti hili lakini limepoteza credibility sana.
 
Amakweli tz imeingiliwa na itikadi ya chuki dhidi ya watusi,kama kweli mnapenda amani wakati watusi walipokua wakichinjwa mlifanya nini? mbona hamkutuma majeshi ya kupambana na wauaji? Lakini leo watusi wa kongo wanauawa na kabila akishirikiana na FDLR,tz inakimbilia kusaidia hao wauaji eti M23 inaua?wakati wao ndio wana uawa.

acha uongo dunia nzima inalaani vitendo vya hili kundi kuua,kubaka,kupora mali za wa congomani,kupora madini na maliasili,kama wanasimamia haki ni kwa nini wakina ntaganda wako icc!!!na kuna wengine kibao wanatafutwa!!!!
 
Nimetoa machozi. Hakika kikombe hiki kiiangulie CCM na viongozi wake. 😢
 
Mi ni mtanzania, tena msukuma! Kila anayeunga mkono kunyang'anya mali na kufukuza wakimbizi kama mbwa na alaaniwe! Na ni mseeengerrt
 
Tunatia aibu. Hawa tunaowaita "illegal immigrants" wametukosea nini? Hizi ni siasa za chuki, vindictiveness na xenophobia. Hazikutakiwa kuwa na nafasi katika nchi kama yetu.

Amandla.....
What are we becoming as a people? Mtu anafukuzwa tu kwa kutizama urefu wa pua yake na wembamba? Kikwete is a national disgrace.
 
acha uongo dunia nzima inalaani vitendo vya hili kundi kuua,kubaka,kupora mali za wa congomani,kupora madini na maliasili,kama wanasimamia haki ni kwa nini wakina ntaganda wako icc!!!na kuna wengine kibao wanatafutwa!!!!
Hivi, wewe kwa akili zako timamu unaweza kulaani kabila zima au jumuiya nzima kwa vitendo vya wachache? Kwa sababu Ntaganda yuko ICC basi Watusi wote au wanyarwanda wote wenye asili ya kitutsi ni guilty? Mkimaliza kuwahukumu Wanyarwanda mtageukia akina nani tena? Kwa sababu dhambi ya ubaguzi wa kikabila ni kama kula nyama ya mtu.
 
mokala again...nimeshasema damu yako ni ya wale wahutu wa zamani 1994 kurudi nyuma hadi kabla ya wabelgiji....huna unalojadili ni chuki zako kama kawaida yako.....ila yote yana mwisho...kama umeambiwa ukiwachukia watutsi zaidi utaishi zaidi umedanganywa...utakufa utawaacha yanini kumchukia mtu hivo....mwanaharam

jibu hoja na uache fitina, ni uongo kagame aliondoka rwanda akiwa mtoto wa miaka minne akatunzwa na kulelewa kama mtoto wa uganda lakini baada ya miaka zaidi ya 40 akarudi rwanda? ni uwongo james kaberebe ni alilelewa kama mtoto wa kongo na kodi za wakongo lakini leo amewageuka na kuwachinja waliomlea kama kuku? watusi si watu
 
Gazeti la The East Africa limepoteza credibility kwasababu ya kutofanya uandishi wa kisomi bali kushabikia tu. Jk hakusema Wanyarwanda, alisema wahamiaji haramu. Ilikuwa ni juu ya mhariri kujitridhisha na madai ya msemaji au kuyaweka sawa na si kushabikia.

Tumeona makala nyingi zinatoka Kigali na zile za Nairobi ni kuongeza chumvi.
Nalipenda gazeti hili lakini limepoteza credibility sana.
Nguruvi3,
Sisi si watoto wadogo. Kikwete aliposema wakimbizi haramu akiwa mkoa wa Kagera kila mtu mwenye akili alijua wanaolengwa ni akina nani. Hata kama Waganda 50 wamekumbwa katika msako huo walioathirika zaidi ni Wanyarwanda, hata wale ambao wameishi Tanzania zaidi ya miaka sitini. Sijaona popote pale zoezi la kuwakamata na kuwafukuza Wachina ambao wana madanguro yao Dar-es-Salaam likiendelea, au Wahindi na wapakistan ambao wanaitana na kupeana ajira katika viwanda wanavyoongoza, au wasomali ambao nasikia wamejaa na kununua mashamba Rufiji. Sijaona. Mpaka nitakapoona hivyo, na muda unazidi kwenda, nitaendelea kuamini kuwa Kikwete alilenga Wanyarwanda kwa sababu za kisasi chake tu kwa Kagame.
 
Nguruvi3,
Sisi si watoto wadogo. Kikwete aliposema wakimbizi haramu akiwa mkoa wa Kagera kila mtu mwenye akili alijua wanaolengwa ni akina nani. Hata kama Waganda 50 wamekumbwa katika msako huo walioathirika zaidi ni Wanyarwanda, hata wale ambao wameishi Tanzania zaidi ya miaka sitini. Sijaona popote pale zoezi la kuwakamata na kuwafukuza Wachina ambao wana madanguro yao Dar-es-Salaam likiendelea, au Wahindi na wapakistan ambao wanaitana na kupeana ajira katika viwanda wanavyoongoza, au wasomali ambao nasikia wamejaa na kununua mashamba Rufiji. Sijaona. Mpaka nitakapoona hivyo, na muda unazidi kwenda, nitaendelea kuamini kuwa Kikwete alilenga Wanyarwanda kwa sababu za kisasi chake tu kwa Kagame.

Hawa wamekuja baada ya mwaka 1996. Mwaka 1996 wanyarwanda warirudishwa rwanda na burundi. Nakumbuka enzi hizo walikua wana amuru kuimba hata ubeti mmoja wa wimbo wa taifa ama wa tanzania tanzania. Hawa waliopo sahizi ni wajuzi juzi tu, na nifikiri si kweli wanatumia hiyo creteria ya urefu kwani hakuna watanzania warefu? wanaorudishwa ni wahamiaji kweli kweli, sema kuna mapungufu kwa wale walio olewa na kuolewa, lakini majority ni wahamiaji haramu.

Na je umesikia katika walalamishi kwamba yeye ni msukuma, ama mhaya ama mkwele? Tanzania hatuna kabila la wahutu ama watusi. Hivyo yoyote ambaye hajaolewa ama kuoa mtanzania na hana karatasi ni mhamiaji haramu.

Birth certificate, zilikua hazitolewi mahospitalini mtu alipokua anazaliwa kwa sehemu kubwa sana ya Tanzania na tena huko ngara,karangwe na b,mulo zilikuwa hazitolewi kabisa na ilikua haiwezekani kuipata labda kama unataka kujiunga na jeshi,polisi ama chuo. Sasa hao wenye nazo wamezipata lini waweke copy kwenye mtandao. Eti kisingizio zimechukuliwa, wote wamenyang'anywa hata wale waliopitia porini na ng'ombe zao?
 
jibu hoja na uache fitina, ni uongo kagame aliondoka rwanda akiwa mtoto wa miaka minne akatunzwa na kulelewa kama mtoto wa uganda lakini baada ya miaka zaidi ya 40 akarudi rwanda? ni uwongo james kaberebe ni alilelewa kama mtoto wa kongo na kodi za wakongo lakini leo amewageuka na kuwachinja waliomlea kama kuku? watusi si watu

mokala 1989 unanichosha mdogo wangu....kwani mtu kwenda anakotaka shida ipo wapi?hata kama ni ------ au msukuma anahaki ya kuhamia nchi yoyote atakayo...balali (R.I.P)si alikuwa(kama kweli alikufa) mmarekani unajua hilo?usiseme hivo brain drain iliyopo huko bongo pekee inatisha achana na watu wanaohama nchi....wewe siyo mahaka kutuhumu Gen James Kabarebe......watutsi ni watu....Tuache ubaguzi
 
Back
Top Bottom