Tanzania's Unusual Immigration Case

Tanzania's Unusual Immigration Case

Nguruvi3,
Sisi si watoto wadogo. Kikwete aliposema wakimbizi haramu akiwa mkoa wa Kagera kila mtu mwenye akili alijua wanaolengwa ni akina nani. Hata kama Waganda 50 wamekumbwa katika msako huo walioathirika zaidi ni Wanyarwanda, hata wale ambao wameishi Tanzania zaidi ya miaka sitini. Sijaona popote pale zoezi la kuwakamata na kuwafukuza Wachina ambao wana madanguro yao Dar-es-Salaam likiendelea, au Wahindi na wapakistan ambao wanaitana na kupeana ajira katika viwanda wanavyoongoza, au wasomali ambao nasikia wamejaa na kununua mashamba Rufiji. Sijaona. Mpaka nitakapoona hivyo, na muda unazidi kwenda, nitaendelea kuamini kuwa Kikwete alilenga Wanyarwanda kwa sababu za kisasi chake tu kwa Kagame.

hawa ndio wakudili nao sio wanyarwanda na wamalawi.........wahindi,wachina ndio wanakosesha vijana wetu ajira na wako hapa kinyume cha sheria wanafichwa kwenye ma-godown na kugeuzwa mradi maofisa uhamiaji......

 
Xenophobia ni hatari kweli! Mzee mzima unapoteza rationale.

Hao majambazi sugu, wanaoteka magari yetu na kuua wananchi wetu wamekutwa na magobole 64 na shotgun 11 katika population ya watu zaidi takriban 2000! Hizo SMG ambazo ndizo silaha of choice za majambazi sugu zikowapi? Hivi wakitusachi sisi tunaoishi maeneo kama hayo hawatatukuta na silaha? Hawa wanakaa katika makambi, katika sehemu ambazo zina wanyama hatari, hivi kweli ni ajabu kuwakuta na magobole na shotgun ambazo ni silaha za uwindaji!

Unapiga hesabu za services ambazo tunatakiwa kuwapa. Uko nchi gani mwenzetu? Mara ngapi hizo huduma zimetolewa huko vijijini kwa kodi yako? Kawaida ni wananchi wanaoishi katika maeneo husika ndio wanaojitolea kujenga madarasa, kliniki n.k. Na kama hawa unaowaita wahalifu wanaishi katika maeneo hayo basi bila shaka watachangia katika ujenzi wa shule na zahanati hizo.

Kwani ni uongo kuwa Rwanda imepiga hatua kubwa ya kimaendeleo kuliko sisi? Kwani ni uongo kuwa Rwanda wamepiga vita uchafu na ubadhirifu wa mali ya umma kwa mafanikio kuliko sisi. Sasa kwa nini wasisifie walikotoka waliowatangulia? Hiyo nayo kweli ni sababu ya kumfuza jirani yako? Basi baada ya hawa tuwageukie wachaga na wahaya ambao hawasiti kutukumbusha kuwa wameendelea kuliko sisi wengine.

Shotgun si SMG. Kabla ya uhuru zilikuwepo pamoja na magobole ambayo yalitumika sana kuwinda nguruwe mwitu na wanyama wengine waharibifu.

Waliokimbilia Goma ni wahutu ambao walikuwa wakiwakimbia wakina Kagame. Na hawa walianza kuwashambulia wakina Kagame kutoka makambi hayo na sio wananchi wa Kongo. Wakina Kagame wakikumbuka waliyofanyiwa walijibu mapigo kwa kushambulia makambi hayo na kujaribu kuwarejesha Rwanda wale ambao waliwaona kama wanahusika na mauaji ya mwaka 1994. Sasa wewe unataka kutuambia kuwa wakina Kagame watakuja kushambulia Tanzania kwa sababu kuna watutsi wanaishi huku? Hiyo ina mantik kweli?

Mimi nakumbuka kabla hatujaanza hizi siasa za chuki, warundi walikuwa wanadharauliwa sana katika hayo maeneo. Wao walikuwa wa tabaka la chini wakilimishwa n.k. Dhulma yote hiyo tuliona sawa. Leo, wamekusanya kidogo walichovuna na kununua mashamba na mifugo tunataka kuwafukuza ati wanaringa! Ala, kumbe haja yetu ilikuwa ni kuwachuna siku zote na kuwafanya watwana wetu.

Kama nilivyosema hapo awali, hii chuki mnayoiendekeza haiendani na nchi ambayo wengi wetu tunajivunia. Hata muirembeshe vipi, ni xenophobia inayowasumbua.

Amandla......

hiki ndio kinawasumbua wachangiaji wengi tu humu mpaka wamepoteza reasoning na humanity........leo watanzania mnafukuza wanyarwanda,wamalawi kweli???!!!!!!
 
Xenophobia ni hatari kweli! Mzee mzima unapoteza rationale.

Hao majambazi sugu, wanaoteka magari yetu na kuua wananchi wetu wamekutwa na magobole 64 na shotgun 11 katika population ya watu zaidi takriban 2000! Hizo SMG ambazo ndizo silaha of choice za majambazi sugu zikowapi? Hivi wakitusachi sisi tunaoishi maeneo kama hayo hawatatukuta na silaha? Hawa wanakaa katika makambi, katika sehemu ambazo zina wanyama hatari, hivi kweli ni ajabu kuwakuta na magobole na shotgun ambazo ni silaha za uwindaji!

Unapiga hesabu za services ambazo tunatakiwa kuwapa. Uko nchi gani mwenzetu? Mara ngapi hizo huduma zimetolewa huko vijijini kwa kodi yako? Kawaida ni wananchi wanaoishi katika maeneo husika ndio wanaojitolea kujenga madarasa, kliniki n.k. Na kama hawa unaowaita wahalifu wanaishi katika maeneo hayo basi bila shaka watachangia katika ujenzi wa shule na zahanati hizo.

Kwani ni uongo kuwa Rwanda imepiga hatua kubwa ya kimaendeleo kuliko sisi? Kwani ni uongo kuwa Rwanda wamepiga vita uchafu na ubadhirifu wa mali ya umma kwa mafanikio kuliko sisi. Sasa kwa nini wasisifie walikotoka waliowatangulia? Hiyo nayo kweli ni sababu ya kumfuza jirani yako? Basi baada ya hawa tuwageukie wachaga na wahaya ambao hawasiti kutukumbusha kuwa wameendelea kuliko sisi wengine.

Shotgun si SMG. Kabla ya uhuru zilikuwepo pamoja na magobole ambayo yalitumika sana kuwinda nguruwe mwitu na wanyama wengine waharibifu.

Waliokimbilia Goma ni wahutu ambao walikuwa wakiwakimbia wakina Kagame. Na hawa walianza kuwashambulia wakina Kagame kutoka makambi hayo na sio wananchi wa Kongo. Wakina Kagame wakikumbuka waliyofanyiwa walijibu mapigo kwa kushambulia makambi hayo na kujaribu kuwarejesha Rwanda wale ambao waliwaona kama wanahusika na mauaji ya mwaka 1994. Sasa wewe unataka kutuambia kuwa wakina Kagame watakuja kushambulia Tanzania kwa sababu kuna watutsi wanaishi huku? Hiyo ina mantik kweli?

Mimi nakumbuka kabla hatujaanza hizi siasa za chuki, warundi walikuwa wanadharauliwa sana katika hayo maeneo. Wao walikuwa wa tabaka la chini wakilimishwa n.k. Dhulma yote hiyo tuliona sawa. Leo, wamekusanya kidogo walichovuna na kununua mashamba na mifugo tunataka kuwafukuza ati wanaringa! Ala, kumbe haja yetu ilikuwa ni kuwachuna siku zote na kuwafanya watwana wetu.

Kama nilivyosema hapo awali, hii chuki mnayoiendekeza haiendani na nchi ambayo wengi wetu tunajivunia. Hata muirembeshe vipi, ni xenophobia inayowasumbua.Amandla......
Mkubwa Fundi, za kupotea!
nina hakika nimekugusa inabidi tuvumiliane tu.Sina xenophobia na yoyote,nimeishi sehemu nyingi zenye watu wa aina tofauti. Nimeishi Tarime na wajaluo,kule kwa wemba nyanda za juu, Nandembo achili hapo Kigoma nilipo na kibanda cha kuishi japo kuku kabisa. kwahiyo nina ufahamu mzuri sana wa majirani zetu the least to say.

Sijui kwanini watu wanakereka sana tunapozungumzia wahamiaji haramu. Kila mtu ana asili yake hiyo haituzuii kuunga mkono sheria zinapofuatwa.Nimeuliza hivi ni sheria gani ya kimataifa imevunja, hakuna mwenye jibu.Haki gani za binadamu zimevunjwa, hakuna jibu.In other words kila jambo limefanyika kwa kisheria ila tu watu hawakupenda lifanyike! strange

ushahidi usio na shaka majambazi wengi ni Wanyarwanda.kila mahali tuilipopita na maiti watu hawakusema majamabazi, walisema majamabazi ya kinyarwanda.Wabunge wamesema hivyo na kila mtu anajua hilo hata Wanyarwanda wenyewe.

Baada ya kufyekana vichwa kwa kimbari, tuliwapokea kama wakimbizi milioni zaidi ya 2. Bajeti ya kuwaweka ilikuwa kubwa kuliko bajeti ya elimu. Ujira wao kwetu ni kutufanya tuishi kama wakimbizi ndani ya nchi yetu. Sasa nikisema naambiwa xenophobia.

Nani asiyejua kuwa hawa ni wahamiaji haramu, wanamiliki silaha na na wametumia silaha hizo kupora mali ambazo leo wanadai ni halali. Lakini pia wamepata wapi uhalali wa kununua ardhi wakiwa hawana vibali vya kuishi nchini?
Maswali hayo watu hawana majibu ila wanaumia yanapoulizwa, sijui kwanini.

Kuhusu maendeleo hilo halina taabu lakini basi wajiulize kuna maendeleo gani leo kama mtu hataki kurudi kwao?
au ndiyo yale ya heri masikini huru kuliko tajiri mtumwa. Na kwanini mtu aogope kurudi nyumbani kwao? na kuna kosa gani kumwambia mtu arudi kwao? hiyo ni xenophobia kweli!

Watu wanaotetea hoja ya wahamiaji haramu hawatuelezi wapi kwenye kosa bali wanatafuta sababu za kuunga unga ili ku justify hoja.Eti mhamaiaji aachwe kwasababu ana watoto, to hell! sheria gani inasema ukizaaa unapata uraia wa taifa lolote! ipi hiyo.

Wengine wanasema mbona kuna wajaluo hawajarudishwa au wasomali, yaani mtu asimame mbele ya sheria na kusema kwanini ahukumiwe kwa uhalifu wjkati kuna mhalifu mwingine hajahukumiwa! real wananchi wenzangu

Lazima suala la wahamaiaji haramu lisemwe na kwabahati mbaya sana Wanyarwanda wamelichukua kama tatizo lao peke yao tena sasa wanafanya stupid spinning eti walilengwa Watuts.

Bado pamoja na fadhila zetu kwao mnakubali watu hawa waendelee kututukana kwasababu ni watusi! who au tutsi by the way!
Nasema mtusi ni Rwanda akiwa Tanzania hatujui utusi wake tunajua ubinadamu wake.

Hawa walitakiwa wafungwe miaka mingi halafu wakitoka magereza wanabebwa kuelekea kwao. Ni sheria sio xenophobia. Mhalifu unampa siku za kuondoka na mali zake! Tanzania njema sana.
 
................ Kwa taarifa yenu ni kwamba, raia wa Rwanda ndio wanaoongoza kwa kuwa wahamiaji haramu kwani wakisha ingia nchini wanamalizana na viongozi wa vijiji basi kwao ndio wameahakuwa raia wa Tanzania. Sheria ya Uraia Tanzania haisemi kwamba ukiiishi nchini kinyume cha sheria kwa miaka 40 utakuwa umeshakuwa raia. Hii ndio inaowatafuna baadhi ya wanyarwanda. Kagera bila wahamiaji haramu inawezekana

.....Hii ndio hali halisi ya wahamiaji wengi......tena wengi wanajua kabisa wanakuja kwa kuvunja sheria......baadaye wanajisahau wakifikiri viongozi wa vijiji ndio NGAO ZAO KUU.......sasa hivi wanalalamika kwani wametumia pesa zao nyingi kuvunja sheria......huku wakishirikiana na viongozi WASIO WAADILIFU.....na hao viongozi hutoa rushwa pia kwa baadhi ya maafisa Uhamiaji.........pamoja na yote hayo.....inapofika wakati tunataka kutimiza wajibu wa kutekeleza sheria za nchi yetu......asitokee mtu wa kutushurutisha.........

....wengi ya wanaotetea wahamiaji haramu hapa JF kwa visingizio vya kila aina na ambavyo havina mashiko.....hawajui hali halisi kule mikoa ya mipakani......nimeishi kule na nimeshuhudia mambo mengi sana.......na sikuanza juzi kupiga kelele kuhusu hawa wahamiaji haramu......na mazoezi kama hayo hayakuanza juzi......

......kuna jamaa yangu hapa mmoja anasema majambazi yale yanayoteka na kutesa wananchi wanashirikiana na ndugu zetu....well point taken.....kuna ukweli kiasi kwani hata sisi tuna watu amabao ni wahalifu......again..however...mtu anasahau kuwa wahalifu kutoka nje imekuwa ni rahisi sana kujenga "safe heavens" kupitia wahamiaji haramu walio na asili ya kutoka kwao....ambao wengi wao ni wafugaji huku wakilipwa pesa na majambazi hayo na pia wakipewa silaha.....jambo hili sisi wananchi wa mikoa ya mipakani tunafahamu vizuri sana....haya mambo.......na ndio maana mara kwa mara taarifa zimekuwa zikitolewa kwa viongozi........Nendeni mkamuulize Kanali Massawe au wakuu wa mikoa iliyoko mipakani na mabaraza yao ya usalama wana taarifa ngapi toka kwa wananchi kuhusu majambazi na wahamiaji haramu..........

....kushirikiana kwa majambazi wa nchi tofauti ni kitu ambacho ni ngumu sana.....jambazi yeyote atakuambia ni risk kubwa kufanya unless wawe wanafahamiana kama ilivyokuwa Kagame na Museveni....hawa jamaa wanaweza kufanya ujambazi kwa umoja....na si vinginevyo......moja ya experience yetu hapa bongo ni Majambazi ya kisomali na uhusiano wao na wasomali waishio nchini both raia na wageni.......hii ni habari nyingine ndeeefu sana......muulize mwanajeshi yeyote kule Arusha na kwingineko watakuelezeni Task Force zilizoundwa kupambana na Majangili/Majambazi ya Kisomali ambayo hata mimi nina first hand experience nayo kwani niliponea chupu chupu kunitoa roho.......nilipata experience mbaya sana na majambazi ya kisomali.....thanks God I had my Gun and was able to defend myself and escape.........nina alama mwilini (ambazo zimekuwa my life marks) ambazo kila wakati nikiziangalia zinanikumbusha mikiki mikiki ya kupambana na majambazi ya kisomali......na wahamiaji haramu........halafu watu mnazungumzia eti "Haki za Binadamu".......hivi katikati ya pori between Muleba na Biharamulo wananchi wasio na hatia wanauawa, kutekwa na kuteswa na kuwa rapped mnawafikiria vipi....mnajua familia ngapi zimeathirika kwa ndugu zao kuuawa na kuwa rapped?

......hii inanipa picha ya kuwa ndugu wengi wanaochangia mada kama hizi.......haelewi hali halisi......

Kwenye operesheni kama hizi.......kasoro lazima zitakuwepo.....na kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu na ziundwe tume maalumu hata za UN kuja kuchunguza madai hayo......na mtashangazwa na ripoti zitakazotoka.......
 
Yaani leo kwa sababu inawahusu wanyarwanda ndio tunaona vyombo vyetu vya dola kuwa paragons of fairness! Hao ambao kila kukicha tunawasakama kwa kuwaonea wananchi, kwa kutumia nguvu kupita kiasi n.k. tukiambiwa kuwa vitendo hivyo hivyo vinafanywa dhidi ya wanyarwanda tunadai ni spinning. Tuna tofauti gani na wajerumani na makaburu ambao mara tu ya tawala zao dhalimu kuanguka wakapata collective amnesia.

Nakubaliana na wewe 100%, kuna tatizo katika hii bandwagon ya "Bashing Rwanda", kwamba ukiondoa Wanyarwanda wote basi matatizo yetu yooote yamekwisha! au "ukimwadhibu PK" basi umehitimisha.
 
Mkubwa Fundi, za kupotea!
nina hakika nimekugusa inabidi tuvumiliane tu.Sina xenophobia na yoyote,nimeishi sehemu nyingi zenye watu wa aina tofauti. Nimeishi Tarime na wajaluo,kule kwa wemba nyanda za juu, Nandembo achili hapo Kigoma nilipo na kibanda cha kuishi japo kuku kabisa. kwahiyo nina ufahamu mzuri sana wa majirani zetu the least to say.

Sijui kwanini watu wanakereka sana tunapozungumzia wahamiaji haramu. Kila mtu ana asili yake hiyo haituzuii kuunga mkono sheria zinapofuatwa.Nimeuliza hivi ni sheria gani ya kimataifa imevunja, hakuna mwenye jibu.Haki gani za binadamu zimevunjwa, hakuna jibu.In other words kila jambo limefanyika kwa kisheria ila tu watu hawakupenda lifanyike! strange

ushahidi usio na shaka majambazi wengi ni Wanyarwanda.kila mahali tuilipopita na maiti watu hawakusema majamabazi, walisema majamabazi ya kinyarwanda.Wabunge wamesema hivyo na kila mtu anajua hilo hata Wanyarwanda wenyewe.

Baada ya kufyekana vichwa kwa kimbari, tuliwapokea kama wakimbizi milioni zaidi ya 2. Bajeti ya kuwaweka ilikuwa kubwa kuliko bajeti ya elimu. Ujira wao kwetu ni kutufanya tuishi kama wakimbizi ndani ya nchi yetu. Sasa nikisema naambiwa xenophobia.

Nani asiyejua kuwa hawa ni wahamiaji haramu, wanamiliki silaha na na wametumia silaha hizo kupora mali ambazo leo wanadai ni halali. Lakini pia wamepata wapi uhalali wa kununua ardhi wakiwa hawana vibali vya kuishi nchini?
Maswali hayo watu hawana majibu ila wanaumia yanapoulizwa, sijui kwanini.

Kuhusu maendeleo hilo halina taabu lakini basi wajiulize kuna maendeleo gani leo kama mtu hataki kurudi kwao?
au ndiyo yale ya heri masikini huru kuliko tajiri mtumwa. Na kwanini mtu aogope kurudi nyumbani kwao? na kuna kosa gani kumwambia mtu arudi kwao? hiyo ni xenophobia kweli!

Watu wanaotetea hoja ya wahamiaji haramu hawatuelezi wapi kwenye kosa bali wanatafuta sababu za kuunga unga ili ku justify hoja.Eti mhamaiaji aachwe kwasababu ana watoto, to hell! sheria gani inasema ukizaaa unapata uraia wa taifa lolote! ipi hiyo.

Wengine wanasema mbona kuna wajaluo hawajarudishwa au wasomali, yaani mtu asimame mbele ya sheria na kusema kwanini ahukumiwe kwa uhalifu wjkati kuna mhalifu mwingine hajahukumiwa! real wananchi wenzangu

Lazima suala la wahamaiaji haramu lisemwe na kwabahati mbaya sana Wanyarwanda wamelichukua kama tatizo lao peke yao tena sasa wanafanya stupid spinning eti walilengwa Watuts.

Bado pamoja na fadhila zetu kwao mnakubali watu hawa waendelee kututukana kwasababu ni watusi! who au tutsi by the way!
Nasema mtusi ni Rwanda akiwa Tanzania hatujui utusi wake tunajua ubinadamu wake.

Hawa walitakiwa wafungwe miaka mingi halafu wakitoka magereza wanabebwa kuelekea kwao. Ni sheria sio xenophobia. Mhalifu unampa siku za kuondoka na mali zake! Tanzania njema sana.

Hakuna aliyenunua ardhi, ni wachache sana.
Huko kwenye pori la burigi na mbugani wanafika na kuweka ng'ombe zao takribani 2000 kil kaya, huko hakuna anayeishi, wao wanaishi kwa kuhama hama humo porini. Kwa asilimia 95% wengi wao wanaishi mbugani ambako wanaweza ku accomodate ng'ombe nyingi, hakuna serikali huko na mpaka unapitika kila mahala na ili uudhibiti lazima uwe na satelite ya kutosha kitu ambacho hakiwezekani.

Kama mnakumbuka huko wakati wa Mwinyi kuna jamaa alishawahi kutengeneza serikali yake na akawa anawatoza wananchi wa huko kodi kwa serikali yake. Kuna exceptional, lakini wengi ni wahamiaji haramu.

Kwa wale walio onewa nafikiri ni jambo la busara waende mahakamani na kudai fidia na usumbufu waliosababishiwa wakikosa wapeleke malalamiko kwa mashirika ya haki za binadamu duniani. Lakini kulalamika kwenye mitandao na magazeti kutadhidi kuthibitisha ya kwamba ni wahamiaji haramu.

Raia yeyoyote watanzania aliyepelekwa ktk nchi isiyo yake, kwanza hatakubali kwenda huko na kama akipelekwa kwa nguvu basi atafuata taratibu mpaka arudi kwao na pili nchi husika haitakubali kupokea mtu asiyekuwa raia wake. Kuthibitisha hilo, chukueni wanyarwanda wawili wapakieni kwenye ndege nendeni mkawatupa Zambia ama England mseme mmewa deport, muone kama nchi hizo zitakubali hata kuwapokea.
 
.......mtusi ni Rwanda!.... akiwa Tanzania hatujui utusi wake tunajua ubinadamu wake.

Hawa walitakiwa wafungwe miaka mingi halafu wakitoka magereza wanabebwa kuelekea kwao. Ni sheria sio xenophobia. Mhalifu unampa siku za kuondoka na mali zake! Tanzania njema sana.

....kwa kweli inashangaza sana kuona watu wanailaumu serikali kutekeleza majukumu yake kisheria......wanasahau kuwa wahamiaji haramu ilibidi washtakiwe wafungwe na warudi kwao bila chochote........

....kuna nchi fulani....ukizidisha hata siku moja ya ukazi kinyume na sheria ya nchi yao...hawakuachii....ukiwa kizuizini wanakupigia hesabu za faini kulingana na profession yako na siku ulizozidisha na %ge juu.....otherwise mahakamni then kifungo or both faini, mahakamni then kifungo......

sisi tunaaambiwa tunavunja haki za binadamu.......haki za binadamu zinaandamana na responsibility.....sio hivihivi tu!
 
Hakuna aliyenunua ardhi, ni wachache sana.
Huko kwenye pori la burigi na mbugani wanafika na kuweka ng'ombe zao takribani 2000 kil kaya, huko hakuna anayeishi, wao wanaishi kwa kuhama hama humo porini. Kwa asilimia 95% wengi wao wanaishi mbugani ambako wanaweza ku accomodate ng'ombe nyingi, hakuna serikali huko na mpaka unapitika kila mahala na ili uudhibiti lazima uwe na satelite ya kutosha kitu ambacho hakiwezekani.

Mkuu MkamaP......hiyo statement (highlighted red) hapo juu inaji-contradict.....ardhi sehemu zile zimenunuliwa kwa makaratasi ya viongozi wa kijiji na halamashauri zake.....(hii ni miradi ya viongozi wengi kule vijijini)......kumiliki ardhi Tanzania kuna taratibu zake.....baadhi huanzia huko huko vijijini.....



.....Kwa wale walio onewa nafikiri ni jambo la busara waende mahakamani na kudai fidia na usumbufu waliosababishiwa wakikosa wapeleke malalamiko kwa mashirika ya haki za binadamu duniani. Lakini kulalamika kwenye mitandao na magazeti kutadhidi kuthibitisha ya kwamba ni wahamiaji haramu.

Raia yeyoyote watanzania aliyepelekwa ktk nchi isiyo yake, kwanza hatakubali kwenda huko na kama akipelekwa kwa nguvu basi atafuata taratibu mpaka arudi kwao na pili nchi husika haitakubali kupokea mtu asiyekuwa raia wake. Kuthibitisha hilo, chukueni wanyarwanda wawili wapakieni kwenye ndege nendeni mkawatupa Zambia ama England mseme mmewa deport, muone kama nchi hizo zitakubali hata kuwapokea.

...sawa sawa kabisa.....na hili limeshatutokea miaka ya nyuma katika moja ya ndug zangu waliopelekwa Uganda kimakosa.......
 
Mkubwa Fundi, za kupotea!
nina hakika nimekugusa inabidi tuvumiliane tu.Sina xenophobia na yoyote,nimeishi sehemu nyingi zenye watu wa aina tofauti. Nimeishi Tarime na wajaluo,kule kwa wemba nyanda za juu, Nandembo achili hapo Kigoma nilipo na kibanda cha kuishi japo kuku kabisa. kwahiyo nina ufahamu mzuri sana wa majirani zetu the least to say.

Sijui kwanini watu wanakereka sana tunapozungumzia wahamiaji haramu. Kila mtu ana asili yake hiyo haituzuii kuunga mkono sheria zinapofuatwa.Nimeuliza hivi ni sheria gani ya kimataifa imevunja, hakuna mwenye jibu.Haki gani za binadamu zimevunjwa, hakuna jibu.In other words kila jambo limefanyika kwa kisheria ila tu watu hawakupenda lifanyike! strange

ushahidi usio na shaka majambazi wengi ni Wanyarwanda.kila mahali tuilipopita na maiti watu hawakusema majamabazi, walisema majamabazi ya kinyarwanda.Wabunge wamesema hivyo na kila mtu anajua hilo hata Wanyarwanda wenyewe.

Baada ya kufyekana vichwa kwa kimbari, tuliwapokea kama wakimbizi milioni zaidi ya 2. Bajeti ya kuwaweka ilikuwa kubwa kuliko bajeti ya elimu. Ujira wao kwetu ni kutufanya tuishi kama wakimbizi ndani ya nchi yetu. Sasa nikisema naambiwa xenophobia.

Nani asiyejua kuwa hawa ni wahamiaji haramu, wanamiliki silaha na na wametumia silaha hizo kupora mali ambazo leo wanadai ni halali. Lakini pia wamepata wapi uhalali wa kununua ardhi wakiwa hawana vibali vya kuishi nchini?
Maswali hayo watu hawana majibu ila wanaumia yanapoulizwa, sijui kwanini.

Kuhusu maendeleo hilo halina taabu lakini basi wajiulize kuna maendeleo gani leo kama mtu hataki kurudi kwao?
au ndiyo yale ya heri masikini huru kuliko tajiri mtumwa. Na kwanini mtu aogope kurudi nyumbani kwao? na kuna kosa gani kumwambia mtu arudi kwao? hiyo ni xenophobia kweli!

Watu wanaotetea hoja ya wahamiaji haramu hawatuelezi wapi kwenye kosa bali wanatafuta sababu za kuunga unga ili ku justify hoja.Eti mhamaiaji aachwe kwasababu ana watoto, to hell! sheria gani inasema ukizaaa unapata uraia wa taifa lolote! ipi hiyo.

Wengine wanasema mbona kuna wajaluo hawajarudishwa au wasomali, yaani mtu asimame mbele ya sheria na kusema kwanini ahukumiwe kwa uhalifu wjkati kuna mhalifu mwingine hajahukumiwa! real wananchi wenzangu

Lazima suala la wahamaiaji haramu lisemwe na kwabahati mbaya sana Wanyarwanda wamelichukua kama tatizo lao peke yao tena sasa wanafanya stupid spinning eti walilengwa Watuts.

Bado pamoja na fadhila zetu kwao mnakubali watu hawa waendelee kututukana kwasababu ni watusi! who au tutsi by the way!
Nasema mtusi ni Rwanda akiwa Tanzania hatujui utusi wake tunajua ubinadamu wake.

Hawa walitakiwa wafungwe miaka mingi halafu wakitoka magereza wanabebwa kuelekea kwao. Ni sheria sio xenophobia. Mhalifu unampa siku za kuondoka na mali zake! Tanzania njema sana.

Nzuri tu, Mkuu. Slightly disappointed na hali ya jamvi niliyoikuta.

Pamoja na wewe kudai kuwa si mbaguzi, maneno yako yanakusuta. Kuishi na watu wengi hakukuondolei hiyo sumu ya kibaguzi kama unayo. Hata wakina Rush Limbaugh wakibanwa wanasema wana marafiki wengi weusi.

Unataka kujua ni sheria gani ya kimataifa imevunjwa na hili zoezi? Ni ile inayosema kuwa mtuhumiwa yeyote atapewa nafasi ya kujitetea dhidi ya tuhuma zilizoelekezwa kwake mbele ya chombo chenye dhamana ya kutenda haki. Chombo hiki ni mahakama na si Afisa Uhamiaji, polisi au mtendaji wa kijiji. Ukiondoa banana republic (ambako mnataka kutupeleka) , wale ambao wanashukiwa kuishi nchini nje ya utaratibu wanapelekwa Mahakamani ambako wanapata nafasi ya kujitetea. Ni Mahakama ndio inayowatamka kuwa Wahamiaji haramu na si vigilantes waliojaa wivu. Mbona Jenerali Ulimwengu aliposhukiwa kuwa ni mhamiaji haramu hakuswagwa kwenye lori na kupewa siku 14 awe nje ya nchi? Au haki na taratibu zinafuatwa kwa wale wenye uwezo tu?

Unatuambia kuwa ushahidi uliowazi ni kuwa majambazi wengi huko mipakani ni wanyarwanda. Ushahidi huo ni matamshi ya wenyeji wa huko ambao bila shaka watakuwa wepesi kuwahukumu wageni kuliko ndugu zao. Mara ngapi humu ndani tumekazania kuwahukumu wahindi na kusahau ushiriki mkubwa wa wazawa wenzetu? Rafiki yangu, Ogah nae ni kama wewe. Amejaa xenophobia na racism. Huyu rafiki yangu anatusimulia jinsi alivyopambana na wasomali wahamiaji haramu bila kutueleza alipata wapi muda wakati wakirushiana risasi wa kuuliza pasi zao, vitambulisho vyao n.k. Kwake yeye msomali yeyote ni mhamiaji haramu, conveniently akiwasahau wakina Rage ambao wako humu kwa miongo mingi na ni watanzania kama yeye!

Kuna mmarekani maarufu mmoja kwa jina alikuwa akiitwa William Bennet ambae alisema kama watoto wote weusi wakiwa aborted nchini mwake, uhalifu utashuka sana. Na sisi tumefikia hapo, kwa kuamini kuwa wanyarwanda wote wakitimuliwa basi nchi yetu itageuka paradiso tukisahau kuwa bado tutaendelea kuua maalbino, kuwapiga nondo bibi vizee, kuwasachi majeruhi wa ajali, kubeba unga, kuvamia mabenki n.k. Kama kuna muovu mnyarwandwa akamatwe, apelekwe mahakamani na akipatikana na hatia ahukumiwe kama binadamu mwingine. Hii kuhukumu jamii nzima kutokana na maneno na imani ya baadhi yetu kutatutokea puani. Baada ya wanyarwanda tutawageukia wachaga n.k. ambao wote tunajua ni majambazi sugu. Msitupeleke huko.

Amandla......
 
[h=1]Israel rounds up African migrants for deportation[/h]

  • in[COLOR=#333333 !important]Share
  • Share this

  • Email
  • Print



[/COLOR]


[h=3]Related News[/h]





[h=3]Analysis & Opinion[/h]





[h=3]Related Topics[/h]















By Douglas Hamilton
TEL AVIV | Mon Jun 11, 2012 10:31am EDT

(Reuters) - Israel said on Monday it had started rounding up African migrants in the first stage of a controversial "emergency plan" to intern and deport thousands deemed a threat to the Jewish character of the state.
Israel Radio reported that dozens of Africans, mainly from South Sudan, had already been detained in the Red Sea resort of Eilat, including mothers and children.
"This is only a small group of the infiltrators," Interior Minister Eli Yishai said. "I'm not acting out of hatred of strangers but love of my people and to rescue the homeland."
The goal is to repatriate all the estimated 60,000 African migrants, whose growing numbers are seen by many Israelis as a law and order issue and even a threat to the long-term viability of the Jewish state.
Illegal migration, and the pool of cheap labor it provides, is a common headache for developed economies. Israel is grappling with its own special ghosts as it tackles the problem.
For some in Israel, built by immigrants and refugees, internment and deportation are bad solutions that may damage the international image of the country needlessly.
They say rounding up members of a different racial group and holding them in camps for deportation may invite allusions to the Nazi Holocaust, however unfair such comparisons may be, and betrays Jewish values.
NOT CRIMINALS
About 500 Sudanese men held an orderly protest in Tel Aviv on Sunday against expulsion, the solution chosen by Prime Minister Benjamin Netanyahu after two months of heated debate over how to handle the flow of migrants.
"We are refugees, not criminals," the Sudanese chanted, in a retort to allegations that Africans prey on Israeli citizens, following high-profile rape allegations.
Many Sudanese, including hundreds who escaped from conflict and humanitarian disaster in Darfur, have been in Israel for several years, living in legal limbo without formal refugee status, but peaceably, they say.
Now they are caught up in a wave of hostility towards blacks in general, focused on a poor area of south Tel Aviv where they congregate.
"We're being called a cancer and an AIDs virus on the Israeli people, by politicians in the Knesset," said protest organizer Jacob Berri. He accused government right-wingers of racist incitement and inflammatory language.
The number of migrants crossing into Israel over the Sinai desert border has accelerated since 2006. It ballooned last year when revolution distracted Egypt's attention from policing Bedouin people-smugglers operating in the Sinai peninsula.
Israel has now built a high fence along the frontier.
"My policy with regard to the illegal infiltrators seeking work is clear," Netanyahu said in a May 29 speech. "First of all, to stop their entry with the fence and at the same time to deport the infiltrators who are in Israel."
He warns of Africans "flooding" and "swamping" Israel, threatening "the character of the country". Emergency measures to reverse the influx will include "detention facilities with thousands of units", Netanyahu said last week.
Berri said the South Sudanese number about 700. They know when they are not wanted and will leave, he said. But their refugee status must first be assured by the United Nations, and third-country resettlement programs established.
TIP OF THE ICEBERG
Israeli human rights and activist groups back the Africans. But rightwing and religious parties say that if they are not stopped today's 60,000 will become 600,000 in a few years, in a population of 7.8 million.
Poor south Tel Aviv residents say affluent north Tel Aviv Jews can afford to be liberal, because the Africans are not in their back yard. An opinion poll last week showed 52 percent of Israelis agree that the Africans are "a cancer".
"They've come here to rape and steal," one Israeli woman shouted at a small but ugly anti-migrant demonstration earlier this month in south Tel Aviv. "We should burn them out, put poison in their food," said an elderly man.
Netanyahu urges restraint. "We are a moral people and we will act accordingly. We denounce violence; we denounce invective. We respect human rights," he said, but added: "Israel cannot accept "infiltrators from an entire continent".
The term "infiltrators" is also used by authorities to describe armed Palestinian militants.
Voluntary deportees will get financial assistance.
"Whoever comes forward will get his grant ... from the moment you come to immigration authorities and say you will pack up, from that moment you will be given an opportunity to pack up, and the grant of 1,000 euros," Yishai said.
The first planeload is expected to leave Israel next week.
(Additional reporting by Maayan Lubell, Dan Williams and Crispian Balmer; editing by Andrew Roche)
 
....kwa kweli inashangaza sana kuona watu wanailaumu serikali kutekeleza majukumu yake kisheria......wanasahau kuwa wahamiaji haramu ilibidi washtakiwe wafungwe na warudi kwao bila chochote........

....kuna nchi fulani....ukizidisha hata siku moja ya ukazi kinyume na sheria ya nchi yao...hawakuachii....ukiwa kizuizini wanakupigia hesabu za faini kulingana na profession yako na siku ulizozidisha na %ge juu.....otherwise mahakamni then kifungo or both faini, mahakamni then kifungo......

sisi tunaaambiwa tunavunja haki za binadamu.......haki za binadamu zinaandamana na responsibility.....sio hivihivi tu!
Tena wanasema kwanini wahindi na wapakistani hawaondolewi. Well, wasomali wanashatakiwa wanakula kifungo na wanarudishwa kwao kwanini hilo halifanyiki kwa hawa wengine wanaopewa mwezi na escort ya mizigo yao! ukiuliza unaambiwa haki za binadamu, sasa haki gani zinazofanyika kwa mhamiaji kutoka sehemu fulani na si kwa kila mhamiaji haramu kama waethiopia na wasomali. rationale iko wapi.

Jitihada ni kuwafanya wahamiaji haramu waonekane halali kwasababu tu walipoingia nchini walipachika watu mimba wakamiliki ardhi hilo limeshajenga uraia! tunataka kujenga taifa gani jamani.

Sisi wadigo na Wabondei huwa tuna ndugu zetu kule mombasa na tunasema wazi kabisa shemeji yangu au mjomba ni mdigo wa Mombasa na wao wanasema vivyo hivyo. Walauo wapo Tarime kwa karne hakuna anayehoji kwasababu wapo kisheria na wanasema wana ndugu zao Isbania. Wapo kihalali
Wamakonde na wamakua kule Nandembo na Kadewele wanasema wazi kabisa sisi tumetoka msumbiji, lakini wanaishi kwa uhalali na hakuna anayewasumbua. Kwanini hawa raia wengine wasifuate taratibu eti tuwape kipaumbele tu kwasababu ni aina fulani.

Asosa, Makasy na wakongo maelfu wapo Dar wanaishi vema sana. Tena wanasema wazi sisi kwetu ni Kongo lakini wamechukua uraia wa Tanzania kisheria hakuna anayewasumbua. Kwanini isiwe kwa Wanayrwanda na Warundi? Hakuna xenophobia ni taratibu tulizojiwekea wenyewe leo tunazikana kwa jina la xenophobia.
 
Sidhani kama anataka waishi ukimbizini. Ubinadamu unasema kuwa mtu akishaweka mizizi basi si mkimbizi tena. Utamuitaje mtu ambae amezaliwa Tanzania, amesoma Tanzania, ameoa Tanzania, amejenga Tanzania, anachangia uchumi wa Tanzania mkimbizi kwa vile tu wazazi wake hawakuomba uraia walipohamia kabla ya uhuru!

Kagame ingawa alikuwa raia wa Uganda alijitambua kama mtu wa Rwanda. Hawa tunaowaongelea ni watu wa kawaida ambao wanajitambua kama watanzania na sio wanyarwanda. Kwa wale ambao ni kama Kagame hawatangoja waambiwe toka! hatuwatendei haki hata kidogo.

Kwa mtindo huu, tutamalizana.

Amandla......

Ubinadamu ni hiari ya mtu, kuna wanyarwanda wengi tu hapa Tanzania toka mwaka 1961 hata siku moja ujinga huu wa kusema warudi nyumbani haujawahi tokea, isipokuwa mwaka 1994 tuliwakaribisha wengi. 1994 watusi waliokuwa wanakimbia mauaji walimiminika kuja Tanzania, na baada ya RPF kuingia wahutu waliokuwa wanauawa pia walikimbilia Tanzania, tusingekuwa na ubinadamu tusingewapokea.

Tanzania ina sheria za uraia bahati mbaya.

Sikubaliani na kumfukuza mtu mwenye mke, watoto na maisha hapa Tanzania, eti kwa kuwa si mtanzania. Lakini kama sheria inasema hivyo...so be it.
 
Nzuri tu, Mkuu. Slightly disappointed na hali ya jamvi niliyoikuta.

Pamoja na wewe kudai kuwa si mbaguzi, maneno yako yanakusuta. Kuishi na watu wengi hakukuondolei hiyo sumu ya kibaguzi kama unayo. Hata wakina Rush Limbaugh wakibanwa wanasema wana marafiki wengi weusi.

Unataka kujua ni sheria gani ya kimataifa imevunjwa na hili zoezi? Ni ile inayosema kuwa mtuhumiwa yeyote atapewa nafasi ya kujitetea dhidi ya tuhuma zilizoelekezwa kwake mbele ya chombo chenye dhamana ya kutenda haki. Chombo hiki ni mahakama na si Afisa Uhamiaji, polisi au mtendaji wa kijiji. Ukiondoa banana republic (ambako mnataka kutupeleka) , wale ambao wanashukiwa kuishi nchini nje ya utaratibu wanapelekwa Mahakamani ambako wanapata nafasi ya kujitetea. Ni Mahakama ndio inayowatamka kuwa Wahamiaji haramu na si vigilantes waliojaa wivu. Mbona Jenerali Ulimwengu aliposhukiwa kuwa ni mhamiaji haramu hakuswagwa kwenye lori na kupewa siku 14 awe nje ya nchi? Au haki na taratibu zinafuatwa kwa wale wenye uwezo tu?

Unatuambia kuwa ushahidi uliowazi ni kuwa majambazi wengi huko mipakani ni wanyarwanda. Ushahidi huo ni matamshi ya wenyeji wa huko ambao bila shaka watakuwa wepesi kuwahukumu wageni kuliko ndugu zao. Mara ngapi humu ndani tumekazania kuwahukumu wahindi na kusahau ushiriki mkubwa wa wazawa wenzetu? Rafiki yangu, Ogah nae ni kama wewe. Amejaa xenophobia na racism. Huyu rafiki yangu anatusimulia jinsi alivyopambana na wasomali wahamiaji haramu bila kutueleza alipata wapi muda wakati wakirushiana risasi wa kuuliza pasi zao, vitambulisho vyao n.k. Kwake yeye msomali yeyote ni mhamiaji haramu, conveniently akiwasahau wakina Rage ambao wako humu kwa miongo mingi na ni watanzania kama yeye!

Kuna mmarekani maarufu mmoja kwa jina alikuwa akiitwa William Bennet ambae alisema kama watoto wote weusi wakiwa aborted nchini mwake, uhalifu utashuka sana. Na sisi tumefikia hapo, kwa kuamini kuwa wanyarwanda wote wakitimuliwa basi nchi yetu itageuka paradiso tukisahau kuwa bado tutaendelea kuua maalbino, kuwapiga nondo bibi vizee, kuwasachi majeruhi wa ajali, kubeba unga, kuvamia mabenki n.k. Kama kuna muovu mnyarwandwa akamatwe, apelekwe mahakamani na akipatikana na hatia ahukumiwe kama binadamu mwingine. Hii kuhukumu jamii nzima kutokana na maneno na imani ya baadhi yetu kutatutokea puani. Baada ya wanyarwanda tutawageukia wachaga n.k. ambao wote tunajua ni majambazi sugu. Msitupeleke huko.

Amandla......

Mkuu Fundi sana.....kwanza karibu tena jamvini.......

....unajua nini Mkuu...mpaka natoa experience yangu mwenyewe....ujue yalinifika na ni story ndeefu kidogo kwani sikuwa peke yangu kwenye lile tukio......na kwa KIFUPI SANA wale majambazi ya kisomali walikamatwa....na walieleza hadi safe heavens zao......kwa hiyo kusema kwangu wahamiaji haramu sikuwa na bahatisha......labda sasa wewe mwenyewe utie shaka...jambo jingine.....lakini hilo pekee litatosha hata wale wenzangu tuliokuwa nao wakiona haya maandishi watatambua who is "Ogah".......kwenye maandishi yangu nimesema kuna wasomali wazawa (raia) na wageni.....siku-generalize kirahisi rahisi...kwani natambua kuna wasomali amabo ni raia........

Mkuu Fundi sana......mimi sina chuki na mtu yeyote kwani chuki haitanisaidia chochote zaidi ya kunipa ugonjwa......kwani just muonekano wangu.....watu wanaweza kufuatilia asili yangu na kukuta baadhi ya generation zangu ziko nje ya nchi yetu....lakini hiyo isizuie ability yetu kutambua kinachofanywa na serikali ni sahihi.....

Mkuu Fundi sana.....hututendei haki kwa kutulinganisha na Willian Bennet....kwani tunao-support juhudi za serikali.....tunatambua kuwa kuna Ujambazi wa Ndani pia....lakiniujambazi wa ndani isiwe ndio tiketi ya kuwaachia majambazi kutoka nje wanaoshirikiana na wahamiaji haramu na baadhi ya raia wetu wenye asili ya huko wanakotoka.........

BTW....haya matukio ya ujambazi yapo pia na kwa upande wa mpakani kwetu na Uganda....lakini sio sana kulinganisha na upande huu mwingine.........

....... Na sisi tumefikia hapo, kwa kuamini kuwa wanyarwanda wote wakitimuliwa basi nchi yetu itageuka paradiso ...........

.....Atakaye/Anaye amini hivyo atakuwa ana ufinyu wa fikra.......na hakuna mahala Rais wetu alitamka Wanyarwanda......sikiliza hotuba yake tafadhali....na usichukulie msuguano kati ya JK na PK kuwa ni kisingizio cha kuwalenga Rwandese......hizi operesheni hazikuanza juzi tu......na kuchukua hatua hatulazimiki kusubiri mpaka JK na PK waelewane......


....... Kama kuna muovu mnyarwandwa akamatwe, apelekwe mahakamani na akipatikana na hatia ahukumiwe kama binadamu mwingine. ..........

....Again.....hilo ndilo kosa unalolifanya....na ni jinsi gani Rwandese wamekuingiza mkenge wa kuamini kuwa tumewa-target wao........hapa tuna-deal na wahamiaji haramu...PERIOD!.....

...na Infact tumekuwa WAPOLE sana kama Taifa.....kwani kwa makosa yao ya Uhamiaji haramu wala hatukuwapeleka mahakamani.....ili TUWAHUKUMU kama unavyo-suggest......tumewapa muda tena kwa kuwaomba.....na sasa kodi yako na yangu zinatumika kwenye operesheni kuwaondoa.....mind you! sio kuwakamata!....hapana....kuwalazimisha kuondoka.....
 
.....Hii ndio hali halisi ya wahamiaji wengi......tena wengi wanajua kabisa wanakuja kwa kuvunja sheria......baadaye wanajisahau wakifikiri viongozi wa vijiji ndio NGAO ZAO KUU.......sasa hivi wanalalamika kwani wametumia pesa zao nyingi kuvunja sheria......huku wakishirikiana na viongozi WASIO WAADILIFU.....na hao viongozi hutoa rushwa pia kwa baadhi ya maafisa Uhamiaji.........pamoja na yote hayo.....inapofika wakati tunataka kutimiza wajibu wa kutekeleza sheria za nchi yetu......asitokee mtu wa kutushurutisha.........

....wengi ya wanaotetea wahamiaji haramu hapa JF kwa visingizio vya kila aina na ambavyo havina mashiko.....hawajui hali halisi kule mikoa ya mipakani......nimeishi kule na nimeshuhudia mambo mengi sana.......na sikuanza juzi kupiga kelele kuhusu hawa wahamiaji haramu......na mazoezi kama hayo hayakuanza juzi......

......kuna jamaa yangu hapa mmoja anasema majambazi yale yanayoteka na kutesa wananchi wanashirikiana na ndugu zetu....well point taken.....kuna ukweli kiasi kwani hata sisi tuna watu amabao ni wahalifu......again..however...mtu anasahau kuwa wahalifu kutoka nje imekuwa ni rahisi sana kujenga "safe heavens" kupitia wahamiaji haramu walio na asili ya kutoka kwao....ambao wengi wao ni wafugaji huku wakilipwa pesa na majambazi hayo na pia wakipewa silaha.....jambo hili sisi wananchi wa mikoa ya mipakani tunafahamu vizuri sana....haya mambo.......na ndio maana mara kwa mara taarifa zimekuwa zikitolewa kwa viongozi........Nendeni mkamuulize Kanali Massawe au wakuu wa mikoa iliyoko mipakani na mabaraza yao ya usalama wana taarifa ngapi toka kwa wananchi kuhusu majambazi na wahamiaji haramu..........

....kushirikiana kwa majambazi wa nchi tofauti ni kitu ambacho ni ngumu sana.....jambazi yeyote atakuambia ni risk kubwa kufanya unless wawe wanafahamiana kama ilivyokuwa Kagame na Museveni....hawa jamaa wanaweza kufanya ujambazi kwa umoja....na si vinginevyo......moja ya experience yetu hapa bongo ni Majambazi ya kisomali na uhusiano wao na wasomali waishio nchini both raia na wageni.......hii ni habari nyingine ndeeefu sana......muulize mwanajeshi yeyote kule Arusha na kwingineko watakuelezeni Task Force zilizoundwa kupambana na Majangili/Majambazi ya Kisomali ambayo hata mimi nina first hand experience nayo kwani niliponea chupu chupu kunitoa roho.......nilipata experience mbaya sana na majambazi ya kisomali.....thanks God I had my Gun and was able to defend myself and escape.........nina alama mwilini (ambazo zimekuwa my life marks) ambazo kila wakati nikiziangalia zinanikumbusha mikiki mikiki ya kupambana na majambazi ya kisomali......na wahamiaji haramu........halafu watu mnazungumzia eti "Haki za Binadamu".......hivi katikati ya pori between Muleba na Biharamulo wananchi wasio na hatia wanauawa, kutekwa na kuteswa na kuwa rapped mnawafikiria vipi....mnajua familia ngapi zimeathirika kwa ndugu zao kuuawa na kuwa rapped?

......hii inanipa picha ya kuwa ndugu wengi wanaochangia mada kama hizi.......haelewi hali halisi......

Kwenye operesheni kama hizi.......kasoro lazima zitakuwepo.....na kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu na ziundwe tume maalumu hata za UN kuja kuchunguza madai hayo......na mtashangazwa na ripoti zitakazotoka.......
Good analysis and argument.
Sasa mtawaona watetezi wa maharamia wakijifaragua infront of glaring facts.
 
Nzuri tu, Mkuu. Slightly disappointed na hali ya jamvi niliyoikuta.

Pamoja na wewe kudai kuwa si mbaguzi, maneno yako yanakusuta. Kuishi na watu wengi hakukuondolei hiyo sumu ya kibaguzi kama unayo. Hata wakina Rush Limbaugh wakibanwa wanasema wana marafiki wengi weusi.

Unataka kujua ni sheria gani ya kimataifa imevunjwa na hili zoezi? Ni ile inayosema kuwa mtuhumiwa yeyote atapewa nafasi ya kujitetea dhidi ya tuhuma zilizoelekezwa kwake mbele ya chombo chenye dhamana ya kutenda haki. Chombo hiki ni mahakama na si Afisa Uhamiaji, polisi au mtendaji wa kijiji. Ukiondoa banana republic (ambako mnataka kutupeleka) , wale ambao wanashukiwa kuishi nchini nje ya utaratibu wanapelekwa Mahakamani ambako wanapata nafasi ya kujitetea. Ni Mahakama ndio inayowatamka kuwa Wahamiaji haramu na si vigilantes waliojaa wivu. Mbona Jenerali Ulimwengu aliposhukiwa kuwa ni mhamiaji haramu hakuswagwa kwenye lori na kupewa siku 14 awe nje ya nchi? Au haki na taratibu zinafuatwa kwa wale wenye uwezo tu?

Unatuambia kuwa ushahidi uliowazi ni kuwa majambazi wengi huko mipakani ni wanyarwanda. Ushahidi huo ni matamshi ya wenyeji wa huko ambao bila shaka watakuwa wepesi kuwahukumu wageni kuliko ndugu zao. Mara ngapi humu ndani tumekazania kuwahukumu wahindi na kusahau ushiriki mkubwa wa wazawa wenzetu? Rafiki yangu, Ogah nae ni kama wewe. Amejaa xenophobia na racism. Huyu rafiki yangu anatusimulia jinsi alivyopambana na wasomali wahamiaji haramu bila kutueleza alipata wapi muda wakati wakirushiana risasi wa kuuliza pasi zao, vitambulisho vyao n.k. Kwake yeye msomali yeyote ni mhamiaji haramu, conveniently akiwasahau wakina Rage ambao wako humu kwa miongo mingi na ni watanzania kama yeye!

Kuna mmarekani maarufu mmoja kwa jina alikuwa akiitwa William Bennet ambae alisema kama watoto wote weusi wakiwa aborted nchini mwake, uhalifu utashuka sana. Na sisi tumefikia hapo, kwa kuamini kuwa wanyarwanda wote wakitimuliwa basi nchi yetu itageuka paradiso tukisahau kuwa bado tutaendelea kuua maalbino, kuwapiga nondo bibi vizee, kuwasachi majeruhi wa ajali, kubeba unga, kuvamia mabenki n.k. Kama kuna muovu mnyarwandwa akamatwe, apelekwe mahakamani na akipatikana na hatia ahukumiwe kama binadamu mwingine. Hii kuhukumu jamii nzima kutokana na maneno na imani ya baadhi yetu kutatutokea puani. Baada ya wanyarwanda tutawageukia wachaga n.k. ambao wote tunajua ni majambazi sugu. Msitupeleke huko Amandla......
Mkuu Fundi Mchundo timbwili hili lilipoanza nimesimama katika point yako muhimu ya sheria.Nimesema alichokifanya JK ni sahihi lakini nimemlaumu kwa kutochukua sheria.

Hawa watu walitakiwa mahakamani kama ulivyosema na nilivyowahi kusema nyuzi zaidi ya 10.
Ikithibitika ni mhamiaji haramu hapo hakuna msamaha ni kifungo na baadaE kurudi alipotoka bila kupewa fursa ya kubeba sanduku. Hakuna suala la mimba wala mtoto kwasababu hayo hayapo katika sheria za uhamiaji.
Mtoto na mimba au mke watabaki na haki zao wakati mhalifu anaswagwa.Nakubaliana nawe na ndilo kosa lililofanyika.

Nina wasi wasi kuhusu maelezo yako na suala la ubinadamu. Sijui wangepatikana na hatia na kufungwa ungesemaje.
Endapo wameambiwa warudi makwao inaonekana hakuna ubinadamu, je mbele ya mahakama wakatiwa hatiani hapo sijui ingekuwaje.Kuna kujichanganya huku ubinadamu ukitangulia sheria sehemu fulani, sehemu nyingine sheria ikitangulia ubinadamu. Naelewa ni katika jitihada za kuwatetea kwahiyo kila taulo litatupwa katika ulingo.

Pili, wananchi wanaolalamika kuhusu ujambazi wa Wanyarwanda hawana chuki, wapo nchini mwao chuki iyoke wapi.
Mbona hawasemi Waganda au Wakongo?Viongozi kama Zitto wamewahi kuomba serikali iingilie kati hali usalama sijui nalo una maoni gani.

Ujambazi uponchini, kuna wakati majambazi wa Kenya walichachamaa hadi walipouawa 7 hali ikatulia.
Walisemwa kama Wakenya na hakuna aliyesema ni xenophobia.

Wasomali wahamiaji haramu waliua OC-CID Arusha, wakatandikwa kwa Helicopter leo wananchi wapo salama.
Vipi ionekane xenophobia na racism tukisema Wanyarwanda? Wao wenyewe wanakiri kwanini sisi tukatae.

Nime clarify kuwa hakuna tatizo la raia kuishi nchini provided anaishi kwa njia halali. Nikatoa mfano wa wamakonde, wamakua, wawemba, wajaluo, wadigo na wabondei(home) n.k. Je, ukarimu tuuendeleze kiholela ili kuwaburudisha wasiofuata sheria kwasababu wana mbegu za kutosha kuzaa na kujaza mabinti mimba! Basi tufute sheria na idara ya uhamiaji kila atakaye na aje tu, Tanzania ni shamba la bibi.

Kuhusu usalama, hivi huyu unayesema ana watoto anaihtaji uniform za jeshi za nini na machine gun ya nini?
Na kwanini unadhani ni vema wananchi wa Kagera wakaishi kwadhiki, dhalili mateso na mihemuko ili kuwafurahisha wahamiaji haramu ?

Na kwanini unakubaliana na wapiga propaganda kuwa wahamiaji haramu ni watutsi. Tulipopokea wakimbizi waliokuwa wanafyekana vichwa huko Rwanda, tuliwabagua kwa Ututsi na Uhutu. Hivi huoni spinning za hawa jamaa unaowatetea ni hatari za kipuuzi kitoto na kiwendawzimu. Nani atasimama kuitetea Tanzania kama si mimi na wewe. Yaani tumefika mahali tunatoa pass kwa watoa kashfa kama hawa ili tu tuwaridhishe waendelee kuua watu wetu Kigoma na Kagera! real mkuu

Unaposema mimi na Ogah tuna xenophobia na racism kwakweli hututendei haki. Binafsi ni critic mkubwa wa serikali ya JK na niko disappointed sana hata kudhani ana miaka miwili zaidi. Lakini hilo halinifanyi nisisimame kwatika kile ninachoona ni sahihi na kina ukweli.

Tofuati iliyopo ni kuwa kusimama kwa ajili ya wananchi wa Kigoma, Kagera na Geita mimi nasema ni uzalendo.
Kusimamia sheria mimi nasema ni jambo jema. Kuwatetea wahamiaji haram wewe unasema ni uzalendo, kwanini basi useme nina xenophobia na racism kwa kusimama katika kile ninachoamini kuwa ni sahihi kwa mtazamo wangu?

Je, ungeshauri niunge mkono wahamiaji haramu amabao ni wahalifu wakubwa to begin with ili ni qualify katika uzalendo. Ndivyo unamaanisha mkuu na huoni unaninyima haki yangu ya freedom of speech and expression without abuse..........
 
[h=1]Minister: time to throw out illegal immigrants[/h]Published: 7 Jun 2013 16:33 CET | Print version








Germany's interior minister called on Friday for a tougher approach towards immigrants who appear to be in Germany just for the social support system. It was time, he said, to throw people out.

ri


Conservative politician Hans-Peter Friedrich, told other EU state interior ministers at a meeting in Luxembourg that he wanted to crack down on illegal immigrants coming specifically from Romania and Bulgaria and even issue travel bans to prevent them coming back after being thrown out.

He told the group that whoever was in the country illegally needed to go back to where they came from, Die Welt newspaper reported.

"If they are picked up somewhere, they should be thrown out without much of a to-do," Friedrich said. This would ease some pressure on the country's social system, especially if a travel ban meant "that they couldn't just come back the next day."

Such sanctions are, he said, in line with EU regulations and thus should be enforced.

While there are no exact figures on illegal immigration, it is clear that poverty is pushing an increasing number of Romanians and Bulgarians to Germany. Keeping them in welfare costs, the paper said, a lot of money.

Back in April, Friedrich, along with ministers from the UK, Austria and the Netherlands, appealed for more sanctions on illegal immigration.

EU Interior Commissioner did stress on Friday that "the freedom of movement of EU citizens is not up for debate."

DPA/The Local/jcw
 
Nguruvi3, MkamaP, FM et al nimependa mjadara wenu hapo juu. Nawapongeza. Ni sehemu moja tu ninapohoji kuwa 'wanyarwanda ndo majambazi' kama anavyosema Nguruvi3...hii ni nikuchukulia wahamiaji hawa ktk ujumla usiosahihi.

mnachopaswa kujua nikuwa wahamiaji hawa wako hasa ktk mikoa ya kigoma, Kagera na kwa sehemu Mwanza/geita makundi yafuatayo: 1) Wahamihaji wa kitutsi waliotokana na ukimbizi miaka ya 52, 60, 72 (wakiwemo waliovuka kwa sababu za kiuchumi na kijamii mbali na ukimbizi)

Kundi jingine ni lile la 1994 mpaka hivi jaribuni kwa sababu za kivta lakini pia wakiwemo wa chache kwa sababu za kiuchumi ba kijamii pia. Makundi hay yote ni nchanganyiko wa makabila ya kiutu na kitusi kutoka nchi za Rwanda na Burundi.

Ktk harakti za kurudisha wakimbizi hasa wa miaka ya 90 wachache wao walipenya na kuishi kama watanzania. Wale wa 1960s '72 wengi wao walipewa 'uraia' bahadhi yao wakarudi kwao hata kama walikuwa wamepewa 'uraia'.

Miaka yote iyo serikali haikuonekana kuchukua hatua mathubuti kumaliza matatizo hayo. Nakama ilifanya ilikuwa ni kiwango kidogo na dhaifu kwa jugubikwa rushwa na upendeleo.

Hali ya usalama iliendelea kuwa mbaya pale Tanz ilipooneka kusupport uasi wa nchi jirani ya Burundi....silaha zilizagaa, na mara nyingi maeneo ya kigoma...manyovu..ngara...wizi wa silaha nzito nzito ulianza. Ushahidi wa tnz kusupport waasi wakitokea makambi ya kigoma na ngara uliendelea kubadilisha hali ya usalama kuwa mgumu hata kwa vyombo vya usalama.

Kundoa wahamihaji haramu halipingiki na muhimu lakini cha kuangalia ni kama wengi walivyo changia....ubinadamu, sheria na ...

Wengi hapa wametumia chuki zao binafsi na uzalendo bandia kutukana, uchochezi na ubaguzi unaoweza kupanda mbengu mbaya sana ktk taifa ili. Historia ya kongo kuhusishwa na tnzn ni upuuzi na kutokujua historia ya maziw makuu.
 
Nguruvi3, MkamaP, FM et al nipenda mjadara wenu hapo juu. nawapongeza. Ni sehemu moja tu ninapohoji kuwa 'wanyarwanda ndo majambazi' kama anvyosema Nguruvi3...hii ni nikuchukulia wahamiaji hawa ktk ujumla usiosahihi.

mnachopaswa kujua nikuwa wahamiaji hawa wako hasa ktk mikoa ya kigoma, Kagera na kwa sehemu Mwanza/geita makundi yafuatayo: 1) Wahamihaji wa kitutsi waliotokana na ukimbizi miaka ya 52, 60, 72 (wakiwemo waliovuka kwa sababu za kiuchumi na kijamii mbali na ukimbizi)

Kundi jingine ni lile la 1994 mpaka hivi jaribuni kwa sababu za kivta lakini pia wakiwemo wa chache kwa sababu za kiuchumi ba kijamii pia. Makundi hay yote ni nchanganyiko wa makabila ya kiutu na kitusi kutoka nchi za Rwanda na Burundi.

Ktk harakti za kurudisha wakimbizi hasa wa miaka ya 90 wachache wao walipenya na kuishi kama watanzania. Wale wa 1960s '72 wengi wao walipewa 'uraia' bahadhi yao wakarudi kwao hata kama walikuwa wamepewa 'uraia'.

Miaka yote iyo serikali haikuonekana kuchukua hatua mathubuti kumaliza matatizo hayo. Nakama ilifanya ilikuwa ni kiwango kidogo na dhaifu kwa jugubikwa rushwa na upendeleo.

Hali ya usalama iliendelea kuwa mbaya pale Tanz ilipooneka kusupport uasi wa chi jirani ya Burundi....silaha zilizagaa, na mara nyingi maeneo ya kigoma...manyovu..ngara...wizi wa silaha nzito nzito ulianza. Ushahidi wa tnz kusupport waasi wakitokea makambi ya kigoma na ngara uliendelea kubadilisha hali ya usalama kuwa mgumu hata kwa vyombo vya usalama.

Kundoa wahamihaji haramu halipingiki na muhimu lakini cha kuangalia ni kama wengi walivyo changia....ubinadamu, sheria na ...

Wengi hapa wametumia chuki zao binafsi na uzalendo bandia kutukana, uchochezi na ubaguzi unaoweza kupanda mbengu mbaya sana ktk taifa ili. Historia ya kongo kuhusishwa na tnzn dhidi ni upuuzi kutokujua historia ya maziws makuu.


Ndio mkuu,
Mchngo wako ni mzuri sana na ndio maana tunachangia kupeana maelezo sitahiki. Kama ulivyosema, na wengine walivyochangia ni kuwa wale wa mwaka 60 walipewa uraia na Nyerere, na hivyo kumbe unaweza chora mstari kwamba hawa waliopo wengi ni wa juzi juzi ila wanatumia mwka 60 kama pretext.

Hata hivyo, mie ninachouunga mkono ni utawala wa sheria na hicho ndo wengi tungependa serikali kuongozwa kwa utawala w sheria. Sheria ya Tanzania imetaja mhamiaji haramu kwa definition yake, na anayeona kaonewa basi afuate sheria hiyo hiyo, ili arudi kwao na alipwe fidia kwa kusababishiwa usumbufu.
 
Ndio mkuu,
Mchngo wako ni mzuri sana na ndio maana tunachangia kupeana maelezo sitahiki. Kama ulivyosema, na wengine walivyochangia ni kuwa wale wa mwaka 60 walipewa uraia na Nyerere, na hivyo kumbe unaweza chora mstari kwamba hawa waliopo wengi ni wa juzi juzi ila wanatumia mwka 60 kama pretext.

Hata hivyo, mie ninachouunga mkono ni utawala wa sheria na hicho ndo wengi tungependa serikali kuongozwa kwa utawala w sheria. Sheria ya Tanzania imetaja mhamiaji haramu kwa definition yake, na anayeona kaonewa basi afuate sheria hiyo hiyo, ili arudi kwao na alipwe fidia kwa kusababishiwa usumbufu.

Mkuu,

Nimejizuia sana ktk mijadara hii kuihusisha na siasa na ndivyo inavyopaswa lakini sivyo. Ni ktk mijadara hii mambo yanalekebishwa. Mwelekeo wa sasa ktk vyombo vya habari unaanza kuwa mzuri.....mfn wakongo 2, waganda 4, wakenya 10.....mikoa ya kati na dar. Kama serkali imelitambua hilo fine....Tnz itakuwa ya watzn na malihasiri za watzn.

Mwanzo mwa tamko hilo na mwendelezo wa matamko...na yaliyoendelea huko Kagera yameonesha ubaya wa iana zote...' hayo makaratasi ya uraia wa Nyerere ' wazalendo' wamechana, wamechukua mpaka pesa itoke....na kwakuwa wengine ni wafugaji ngombe wamechukuliwa.....wanefia ofisi za polisi....

Ilo siyo tatizo kwa 'wazalendo'. Tatizo ni kundoa 'hema empire'
 
Mkuu,

Nimejizuia sana ktk mijadara hii kuihusisha na siasa na ndivyo inavyopaswa lakini sivyo. Ni ktk mijadara hii mambo yanalekebishwa. Mwelekeo wa sasa ktk vyombo vya habari unaanza kuwa mzuri.....mfn wakongo 2, waganda 4, wakenya 10.....mikoa ya kati na dar. Kama serkali imelitambua hilo fine....Tnz itakuwa ya watzn na malihasiri za watzn.

Mwanzo mwa tamko hilo na mwendelezo wa matamko...na yaliyoendelea huko Kagera yameonesha ubaya wa iana zote...' hayo makaratasi ya uraia wa Nyerere ' wazalendo' wamechana, wamechukua mpaka pesa itoke....na kwakuwa wengine ni wafugaji ngombe wamechukuliwa.....wanefia ofisi za polisi....

Ilo siyo tatizo kwa 'wazalendo'. Tatizo ni kundoa 'hema empire'

Mkuu
Ni sawa na ndiyo tunaelimishana taratibu, na pia nafikiri tusikubali maneno mapesimepesi kwamba uraia umechanwa, kivipi? not well and not good. Uraia hua uko well documented, hata kama karatasi imechanwa lakini nyaraka zao zipo na zimehifadhiwa. Na kama wamechaniwa karatasi na wamerudishwa basi waende mahakamani maana for sure nyaraka hizo zipo sehemu walipo apa na kupewa uraia.
 
Back
Top Bottom