JamboJema
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 1,143
- 209
Pamoja na maneno ya kimtazamo wa Kinyarwanda wa mwandishi wa makala haya nipende kumkosoa kidogo katika baadhi ya mambo, nikimtaka zaidi apitie Sheria ya Uraia ya Tanzania, na pia Sheria ya Uhamiaji ya Tanzania. Kilichoandikwa ni ushabiki zaidi na kusahau sheria ziko wazi. Nimezipitia na pasipo kuchambuia vifungu niweke wazi uhalisia wa niliyoyabaini katika makala haya.
Kama hiki ndio kinafanyika basi hapo kuna mapungufu na hili naamini ni jambo dogo tena linalorekebishika. This must be noted by the concerned!"The only reason they kicked me out is because of my physical looks," Matata tells me, "They said I look like a Munyarwanda, that was all the crime I committed.
Huu ni uongo mweupe! Haiwezi kuwa the vast majority. Hii hata motto mdogo atakubishia! Kuwepo wachache walioondoshwa kimakosa sikatai..the vast majority of them are actually citizens of Tanzania being victimised by central and local authorities for being of Rwandan ancestry. .
Dhambi nyingine hii. Ati ana residence permit na voting card! Mgeni alikuwa ana-vote! Nini kinamhalalisha huyu kubakia Tanzania kwani ashaanza kujipa uraia sio wake! Mpiga kura Tanzania ni raia tu! Huyu vipi? Na eti analaumu kuondoshwa kisa aliolewa na mTZ!.She got married to a Tanzanian man with whom they begot four children. She was kicked out and left her entire family behind. She says she had a residence permit and voting card both of which were confiscated when she was crossing the border, a sign that policy implementation has more than what the policy says.
Huku kunaitwa KUTUPANDIKIZA CHUKI!..many refugees think that the call to expel illegal migrants is a disguised form of a war against people who share Kinyarwanda culture.
Kabla ya kutuchonganisha, asome kwanza sheria juu ya taratibu za kupata uraia wa TZ. Hapo kwenye red ndo pameharibu kila kitu .aende tu!Vedasti Nkurunziza, 33, migrated to Tanzania in 2004. He married a Tanzanian and now they have two children together and a pregnancy. They are expecting a child in September. However, he was forced to leave his family. He registered for citizenship because he was eligible as a migrant married to a Tanzanian. But he was kicked out before he could get his papers approved or rejected. Therefore, although he did not have residence papers at the time he was expelled, he was on track to get his citizenship as the law states.
Hili si ajabu kusemwa na mnyarwanda yeyote. Hata wanaoondoka wanamlaumu Kagame kwa kuropoka."The whole campaign against illegal migrants is a disguised xenophobia against Banyarwanda. Local officials have been spewing anti-Banyarwanda propaganda, which the government of Tanzania seems to have bought line, hook and sinker."
Unataka kusema yanatimizwa maagizo ya PM?The process of expulsion has not been without violence. All too often, those being expelled are subjected to beatings .
Unachekesha mambo mengine!"But how can one ethnic group be accused of all these crimes," the activist asked, "It is clear that they want to expel Rwandans in order to confiscate their property and share it among themselves. The local officials become rich while officials in Dar Es Salam are rewarded with political support for giving their voters free assets."
Yupo kwao huyu .Asitafute huruma kijanja. Kama ni mTZ kwa nini asipiganie hili? Kususa kunamkomoa nani?"I cannot go back to Tanzania even if they allow me to," she said as tears rolled down her face, "Tanzania is the only country I have known since I was born yet they treated me badly. Rwanda is not my country but so far they have treated me with decency. These are proper human beings. Although I left all my friends and relatives in Tanzania, I don't want to go back to that country."
Hakuna kitu kama hiki ..msimsingizie Nyerere. Kama uhuru umekukuta we si raia uliendelea kubaki sio raia FULL STOP!. Therefore, the 1961 blanket citizenship on the eve of independence was understood as aimed at helping Tutsi refugees in the country feel at home.
Sheria iko wazi. Huyu sio raia! Kwa sasa nikomee hapa.Serestin Ben, 26, born in Ngara is a second generation Tanzanian. His parents migrated to Tanzania in 1959. The father died in 1992. The mother then got married to another man who is a Tanzanian-Rwandan. When Kikwete issued his expulsion order, he says, Tanzanian officials came to his home saying "you resemble Banyarwanda."