Tanzania's Unusual Immigration Case

Tanzania's Unusual Immigration Case

..hiyo article imeandikwa na Andrew Mwenda, mwandishi aliyedai Salma Kikwete ni Mhutu.

..kwa msingi huo we have to take what ever he writes with a grain of salt.

..hili zoezi lina matatizo ya hapa na pale, na mfano ni hao jamaa ambao ni raia wetu lakini wamefukuzwa.

..pamoja na hayo, naamini serikali lazima ishughulikie zoezi hili la kutimua wahamiaji haramu. kinachopaswa kufanyika ni kuongeza ufanisi na umakini.
Pamoja na hayo, with all due respect, tatizo linaanza pale tunapoanza kuitana wahamiaji haramu! Hawa ambao wote tulikuwa sehemu ya German East Africa! Msamiati huu hauna nafasi katika hii nchi ambayo ina makabila kibao ambayo yanaingiliana na yale ya jirani (wajaluo, wamasai, wanyasa, wahaya, wanyakyusa, wamakua n.k.). Inabidi tuanze kuangaliana kwa kuangalia utu wetu badala ya vikaratasi. Mazoezi kama haya hayakawii kugeuka ethnic cleansing na kutumiwa na waovu kama njia ya kukomoana na kujinufaisha dhidi ya wale tunaowaonea wivu.

Amandla......
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Yes, some of us are coming back to our senses.

Mkuu, toka mwanzo nimeaongea mambo yanavyokwneda ndivyo sivyo. Niliwambia mara zote mipaka inauhusiano wa kidamu pande za nchi zinazopakana. Kwa bahati mbaya yanayowahangukia bahadhi ya wanaoitwa wahamiji haramu mkoa wa Kagera sivyo. Watu wengi hapa jf wanachukulia jambo hilo kishabiki na mchanganyiko wahistoria za uongo na kweli kuhusu watutsi na jk na pk na huko Congo then wana-victimaze watu.

..hakuna mpaka ktk Africa ambao uko perfect.

..sasa ulitaka tusiwe na sheria za uhamiaji na uraia nchi hii?

..huu mpaka una matatizo ya usalama kutokana na VURUGU zilizoko kwa majirani zetu.

..raia halali wa Tanzania ktk mikoa hiyo wanateseka sana kutokana na hali hiyo.

NB:

..kuna kipindi Tume ya Prof.Wangwe ilikuwa inakusanya maoni kuhusu EA federation. wananchi wa mikoa ya Kagera na Kigoma ndiyo walikuwa more vocal kukataa fast tracking to integration. Their main concern ilikuwa ni hali ya usalama na mifarakano ya kikabila kutoka Rwanda na Burundi.
 
Yes, some of us are coming back to our senses.

Mkuu, toka mwanzo nimeaongea mambo yanavyokwneda ndivyo sivyo. Niliwambia mara zote mipaka inauhusiano wa kidamu pande za nchi zinazopakana. Kwa bahati mbaya yanayowahangukia bahadhi ya wanaoitwa wahamiji haramu mkoa wa Kagera sivyo. Watu wengi hapa jf wanachukulia jambo hilo kishabiki na mchanganyiko wahistoria za uongo na kweli kuhusu watutsi na jk na pk na huko Congo then wana-victimaze watu.
Watanzania maisha yamekuwa magumu such that rationale thinking ime evaporate.tumeshindwa kutafuta solutions kutokana na uongozi mbovu sasa tunakimbilia maamuzi ya ku deviate the situation ili mradi tu temporary numb mapungufu yetu. CCM imeamua hii issue only because inahisi anything else VOTES will be lost
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Pamoja na hayo, with all due respect, tatizo linaanza pale tunapoanza kuitana wahamiaji haramu! Hawa ambao wote tulikuwa sehemu ya German East Africa! Msamiati huu hauna nafasi katika hii nchi ambayo ina makabila kibao ambayo yanaingiliana na yale ya jirani (wajaluo, wamasai, wanyasa, wahaya, wanyakyusa, wamakua n.k.). Inabidi tuanze kuangaliana kwa kuangalia utu wetu badala ya vikaratasi. Mazoezi kama haya hayakawii kugeuka ethnic cleansing na kutumiwa na waovu kama njia ya kukomoana na kujinufaisha dhidi ya wale tunaowaonea wivu.

Amandla......

..I understand.

..lakini hiyo isituzuie ku-enforce our immigration laws.
 
Nadhani kitu kimoja tunachokosea ni kuwahukumu wakimbizi kuwa wakimbizi maisha yao yote, wao na vizazi vyao. Ni lazima tukubali kuwa kuna baadhi hawatarudi kwao na tuanzishe taratibu za kuwaingiza katika jamii yetu. Mikmbizi ajue kuwa kuna njia iliyo wazi ya yeye kuwa raia wa nchi hii iliyompokea. Hata ulaya, mkimbizi akikaa muda fulani bila kuonyesha tabia mbovu na kuonyesha nia ya kuwa raia bora anapewa uraia. Leo kwetu tuna jeneresheni za wakimbizi ambao tukiona ni politically expedient kwetu tunawatimua. Tuwape nafasi ya kuwa raia wema na tuwachukulie hatua wale tu ambao wanaonekana hawana nia nzuri nasi. Tusiadhibu jamii nzima kwa makosa ya wachache baina yao.

Amandla......
 
Tunatia aibu. Hawa tunaowaita "illegal immigrants" wametukosea nini? Hizi ni siasa za chuki, vindictiveness na xenophobia. Hazikutakiwa kuwa na nafasi katika nchi kama yetu.

Amandla.....
Wewe huna nchi, na siasa zako peleka kwa wa'South', tuliowasaidia sana kwenye harakati zao za ukombozi, uone kama 'HUJATOLEWA BERENGE!'
 
Wewe huna nchi, na siasa zako peleka kwa wa'South', tuliowasaidia sana kwenye harakati zao za ukombozi, uone kama 'HUJATOLEWA BERENGE!'

Kweli sina nchi.

Kwa hiyo kwa sababu wa South wanatutimua basi na sisi tuwageukie wanyonge wetu, wanyarwanda! Au ulidhani kwa sababu babu zako walijitoa mhanga katika harakati za ukombozi basi ndio inakupa blank cheque kwenda kuwauzia unga?

Amandla......
 
..Paul Kagame alikuwa raia wa Uganda lakini alirudi kwao Rwanda.

..sasa kwanini analazimisha hawa wenzake waendelee kuishi ukimbizini?

..Habyarimana naye alikuwa na mitizamo kama hii ya RPF na Andrew Mwenda. Alikuwa hataki kusikia habari ya Wanyarwanda wanaoishi ukimbizini kurudi kwao.

MKUU JokaKuu WAAMBIE BWANA! MAANA HAWA JAMAA NI MABINGWA MNO WA 'MULTIPLE-STANDARDS!'
 
Tunatia aibu. Hawa tunaowaita "illegal immigrants" wametukosea nini? Hizi ni siasa za chuki, vindictiveness na xenophobia. Hazikutakiwa kuwa na nafasi katika nchi kama yetu.

Amandla.....

Rais Kikwete ni mtu wa visasi, asiyejali na mkatili! Na mfano mzuri ni jinsi alivyomkomalia Hussein Bashe eti siyo raia wa Tanzania kisa tu haelewani na Ridhiwani!! Hata unyama aliofanyiwa Dr Ulimboka ni kwa maelekezo yake!
 
kum displace mtu ina fall katika crimes against humanity as per the geneva convention-hopefull kikwete will be answerable siku mmoja

Utter nonsense, and if it's an ideological problem, then we better leave it with those who have it and, may be, ...... Deal with it later!
 
..hakuna mpaka ktk Africa ambao uko perfect.

..sasa ulitaka tusiwe na sheria za uhamiaji na uraia nchi hii?

..huu mpaka una matatizo ya usalama kutokana na VURUGU zilizoko kwa majirani zetu.

..raia halali wa Tanzania ktk mikoa hiyo wanateseka sana kutokana na hali hiyo.

NB:

..kuna kipindi Tume ya Prof.Wangwe ilikuwa inakusanya maoni kuhusu EA federation. wananchi wa mikoa ya Kagera na Kigoma ndiyo walikuwa more vocal kukataa fast tracking to integration. Their main concern ilikuwa ni hali ya usalama na mifarakano ya kikabila kutoka Rwanda na Burundi.
Ni kweli watu wa huko wanajua machungu ya hao watu na tabia zao za ajabu. Wanamifugo mingi wanalisha mifugo yao kwenye mashamba, wanadharau isiyo kifani
 
Pamoja na hayo, with all due respect, tatizo linaanza pale tunapoanza kuitana wahamiaji haramu! Hawa ambao wote tulikuwa sehemu ya German East Africa! Msamiati huu hauna nafasi katika hii nchi ambayo ina makabila kibao ambayo yanaingiliana na yale ya jirani (wajaluo, wamasai, wanyasa, wahaya, wanyakyusa, wamakua n.k.). Inabidi tuanze kuangaliana kwa kuangalia utu wetu badala ya vikaratasi. Mazoezi kama haya hayakawii kugeuka ethnic cleansing na kutumiwa na waovu kama njia ya kukomoana na kujinufaisha dhidi ya wale tunaowaonea wivu.

Amandla......

Mkuu FM, bilashaka Joka kuu anakuelewa. Na nimjibu pia hapa kuwa ni muhimu sheria za migration zifuatwe. Ni kwa bahati mbaya hazikufuatwa na sioni viongozi imara kwa wakati huu watakao zifuata. Na kwa sababu yuko-interested na mchakato huu naomba afatilie kwa karbu aone mwisho wake.
 
Nadhani kitu kimoja tunachokosea ni kuwahukumu wakimbizi kuwa wakimbizi maisha yao yote, wao na vizazi vyao. Ni lazima tukubali kuwa kuna baadhi hawatarudi kwao na tuanzishe taratibu za kuwaingiza katika jamii yetu. Mikmbizi ajue kuwa kuna njia iliyo wazi ya yeye kuwa raia wa nchi hii iliyompokea. Hata ulaya, mkimbizi akikaa muda fulani bila kuonyesha tabia mbovu na kuonyesha nia ya kuwa raia bora anapewa uraia. Leo kwetu tuna jeneresheni za wakimbizi ambao tukiona ni politically expedient kwetu tunawatimua. Tuwape nafasi ya kuwa raia wema na tuwachukulie hatua wale tu ambao wanaonekana hawana nia nzuri nasi. Tusiadhibu jamii nzima kwa makosa ya wachache baina yao.

Amandla......

Samaki mmoja akioza, 'SMOKE THE WHOLE BASKET!'
 
..hiyo article imeandikwa na Andrew Mwenda, mwandishi aliyedai Salma Kikwete ni Mhutu.

..kwa msingi huo we have to take what ever he writes with a grain of salt.

..hili zoezi lina matatizo ya hapa na pale, na mfano ni hao jamaa ambao ni raia wetu lakini wamefukuzwa.

..pamoja na hayo, naamini serikali lazima ishughulikie zoezi hili la kutimua wahamiaji haramu. kinachopaswa kufanyika ni kuongeza ufanisi na umakini.

Pamoja na hayo zipo taarifa za uhakika kuwa wapo watu ambao wamezaliwa Tanzania lakini "wamefukuzwa" kwa kuwa ni "wahamiaji haramu".

Sielewi inakuwaje kumwita mtu ambaye amezaliwa Tanzania "mhamiaji haramu".

Yaani kweli mtu aliyezaliwa Tanzania anaweza kweli kuwa regarded as illegal immigrant?

Kama ni mhamiaji haramu, then alihamia kutokea wapi?
 
..sasa ulitaka tusiwe na sheria za uhamiaji na uraia nchi hii?

Mkuu,

Kuna tofauti kati ya kuwa na sheria na jinsi hizo sheria zinavyokuwa administered. Having the law is different from justice and fairness.

As Martin Luther King, Jr. once said "Law and order exist for the purpose of establishing justice and when they fail in this purpose they become the dangerously structured dams that block the flow of social progress."

Walichotendewa wanaoitwa "wahamiaji haramu" huo Kagera hakina tofauti na kile ambacho Watanzania wasio "wahamiaji haramu" wamekuwa wakilalamika kila siku cha kutokuwepo kwa utawala wa sheria, fairness and justice.

Hata serikali ya Uingereza ilipokuja na pilot scheme ya kutembeza hii van kwenye mitaa ya London ilileta kizaazaa ikabidi waindoe fasta.

Kuna njia nzuri za ku-manage migration, lakini siyo kwa ku-dispense justice and fairness. Kuna "wahamihaji haramu" Kagera hawakupewa hata ile haki ya kusikilizwa, which is a cardinal principle of natural justice ambayo hata "Watanzania halali" wengi wanalalamika kuwa hawasikilizwi na serikali yao "sikivu".

1480812388.jpg
 
mleta thread unaonekana hujatoka nje ya nchi yetu uone unavyofuatiliwa. Wafuate sheria period. Kutetea wanaoishi kinyume na sheria ni uhaini.hakuna nchi nyingine duniani utasikia ujinga kama wako. Kwa hili sina chama wala siasa Rais wetu big up. Tuelewe maana ya Uzalendo na utaifa.
 
Wewe huna nchi, na siasa zako peleka kwa wa'South', tuliowasaidia sana kwenye harakati zao za ukombozi, uone kama 'HUJATOLEWA BERENGE!'

Kwa hiyo, ule usemi wa Kitanzania unaosema kuwa "tenda wema uende zako, siyo relevant tena siku hizi?

Ulitegemea nini in return baada ya kuwasaidia Wasouth Afrika?

Huko huko Congo unategemea nini in return baada ya kuwasaidia dhidi ya M23?

Probably, ndiyo maana watawala wetu wanatutendea vibaya. Tena wanatenda vibaya na hawaendi zao.
 
Back
Top Bottom