Tanzania's Unusual Immigration Case

Tanzania's Unusual Immigration Case

mleta thread unaonekana hujatoka nje ya nchi yetu uone unavyofuatiliwa. Wafuate sheria period. Kutetea wanaoishi kinyume na sheria ni uhaini.hakuna nchi nyingine duniani utasikia ujinga kama wako. Kwa hili sina chama wala siasa Rais wetu big up. Tuelewe maana ya Uzalendo na utaifa.
WEWE ulietembea twaambie kwanini OBAMA anaangaika kuhalalisha maelfu ya so called wahamiaji haramu toka mexico
 
Pamoja na hayo zipo taarifa za uhakika kuwa wapo watu ambao wamezaliwa Tanzania lakini "wamefukuzwa" kwa kuwa ni "wahamiaji haramu".

Sielewi inakuwaje kumwita mtu ambaye amezaliwa Tanzania "mhamiaji haramu".

Yaani kweli mtu aliyezaliwa Tanzania anaweza kweli kuwa regarded as illegal immigrant?

Kama ni mhamiaji haramu, then alihamia kutokea wapi?


kuna mazuzu wanachekelea mambo ya kihuni yanayofanywa na serikali, huwezi kuamka asubuhi unaswaga watu on gun point watoke tanzania eti ni wahamiaji haramu bila kuthibitisha kuwa watu hao ni wahamiaji haramu.
 
Samaki mmoja akioza, 'SMOKE THE WHOLE BASKET!'

Kwa hiyo, siku ambayo Muungano utavunjika, which will be, basi na Wapemba wote wakiwepo wale waliozaliwa huku Bara wafukuzwe fasta kwa sababu kimenuka?
 
Sidhani kama anataka waishi ukimbizini. Ubinadamu unasema kuwa mtu akishaweka mizizi basi si mkimbizi tena. Utamuitaje mtu ambae amezaliwa Tanzania, amesoma Tanzania, ameoa Tanzania, amejenga Tanzania, anachangia uchumi wa Tanzania mkimbizi kwa vile tu wazazi wake hawakuomba uraia walipohamia kabla ya uhuru!

Kagame ingawa alikuwa raia wa Uganda alijitambua kama mtu wa Rwanda. Hawa tunaowaongelea ni watu wa kawaida ambao wanajitambua kama watanzania na sio wanyarwanda. Kwa wale ambao ni kama Kagame hawatangoja waambiwe toka! hatuwatendei haki hata kidogo.

Kwa mtindo huu, tutamalizana.

Amandla......

kumbuka hata kagame alienda uganda kama mtu wa kwaida tena mtoto mdogo wa miaka minne lakini karudi kwao rwanda, james kaberabe alizaliwa DRC na kupata stahili zote kama mkongo lakini aliwasaliti na kurudi rwanda achilia mbali mauaji ya halaiki anayoendeleza kwa nchi iliyomlea kupitia m 23! watusi ni watu wachafu sana
 
Kwa hiyo, siku ambayo Muungano utavunjika, which will be, basi na Wapemba wote wakiwepo wale waliozaliwa huku Bara wafukuzwe fasta kwa sababu kimenuka?

nina wasiwasi na uraia wako, huwezi kuwa mtanzania halisi wewe lazima mama yako atakuwa ni mtusi!
 
mleta thread unaonekana hujatoka nje ya nchi yetu uone unavyofuatiliwa.

Kutotoka nje ya nchi haina haina maana kuwa sijui sheria za uhamiaji, n.k.

In fact, Watanzania wengi wanafuatiliwa kwa makini wakisafiri nje ya nchi siyo tuu kwa sababu za uhamiaji bali pia kwa sababu ya biashara ya unga.

Wafuate sheria period.

Siyo tuu wafuate sheria, bali pia serikali itumie utawala wa sheria katika ku-administer hiyo sheria.

Kama mtu ametuma maombi yake ya kuomba uraia kwa mujibu wa sheria iliyowekwa na bunge lako tukufu kwa nini umfukuze kabla hata hujayatolea maamuzi mambi yake. Ndiyo kufuata sheria huko?

Ni fair kwa enforcer wa hiyo sheria kutaka mtuhumiwa aonyeshe ID identity card ili kudhibitisha uraia wake wakati hata Watanzania wengi "halali" hawana hizo ID cards?

Kutetea wanaoishi kinyume na sheria ni uhaini.

This is ridiculous maana hata aliyeua kwa kusudia huwa wanatetewa mahakamani na wanapewa haki ya kusikilizwa.

hakuna nchi nyingine duniani utasikia ujinga kama wako. Kwa hili sina chama wala siasa Rais wetu big up.

At least utawala wa nchi nyingine zinaheshimu sheria na kufuata utawala wa sheria.

Tuelewe maana ya Uzalendo na utaifa.

I wish you knew maana halisi ya uzalendo na utaifa. In fact, I don't buy hizo slogans wanazotumia wanasiasa ili kuepuka kukosolewa.

I am a free mind person. Kama nimeona serikali imekosea niko free kuikosoa regardless ya uzalendo na utaifa wangu.
 
. Hii case ya bwana Matata hapo if it actually exists itapelekea zoezi zima kuingia mushkeli mkubwa. Kama huyo bwana ana miaka 63 na alizaliwa Tanganyika through hiyo chain aliyoielezea basi moja kwa moja anakidhi lile takwa la kikatiba kuwa raia maana alikuwapo Tanganyika hadi ule usiku wa 09 December 1961. Hizi ni baadhi tu ya case ambazo zimekuwa public, je kwa hakika tunafahamu kuna ndugu zetu wangapi yaweza kuwa wameathirika na hili?

.

Alikuwepo wapi? Uraiani au alikuwa Kambini kwa wakimbizi?

Kwanini hamtaki kuelewa? Huyu kAzaliwa na Mkimbizi kwahiyo na yeye ni Mkimbizi tu.
 
kumbuka hata kagame alienda uganda kama mtu wa kwaida tena mtoto mdogo wa miaka minne lakini karudi kwao rwanda, james kaberabe alizaliwa DRC na kupata stahili zote kama mkongo lakini aliwasaliti na kurudi rwanda achilia mbali mauaji ya halaiki anayoendeleza kwa nchi iliyomlea kupitia m 23! watusi ni watu wachafu sana

Hiyo generalization. Huwezi ku-base hizo case mbili kufanya maamuzi ambayo yanaadhiri watu wengi.

Each case should be determined based on its own circumstances.
 
Ni kweli watu wa huko wanajua machungu ya hao watu na tabia zao za ajabu. Wanamifugo mingi wanalisha mifugo yao kwenye mashamba, wanadharau isiyo kifani

If that is the case, serikali yao sikivu ilikuwa wapi muda wote huo mpaka hao "wahamiaji haramu" wakazaliana kiasi hicho?

Ilichokifanya serikali ni kutatua tatizo kutokana na events. Kama siyo hizo events kuna uwezekano mkubwa kuwa serikali wala isingehangaika.

Otherwise, nasubiri kuona kama hii operesheni itafanyika nchi nzima maana siyo watu wa Kagera pekee waliokuwa wanalalamika, bali hata wakazi wa Dar Es Salaam wamekuwa wakilalamika kuwa kazi zao zinachukuliwa na wageni.
 
nina wasiwasi na uraia wako, huwezi kuwa mtanzania halisi wewe lazima mama yako atakuwa ni mtusi!

Well, kama nilizaliwa Tanzania kwa mama mtusi na baba Mtanzania bado siwezi kuwa Mtanzania? Mkuu naona na wewe umeambukizwa ugonjwa wa wanasiasa hasa pale wanapozidiwa hoja na kuishia kuhoji uraia wa mhusika.

Nafikiri Watanzania wengi tumekuwa programmed jinsi tunavyofikiri na kuhoji mambo. We have been programmed to think in the same way tukidhani kufanya hivyo ndiyo kuonyesha uzalendo na utaifa. Ukiwa critical au ukihoji mambo hasa juu ya serikali unadhaniwa kuwa siyo mzalendo au mtaifa.

Hii kasumba imeenea mpaka kwenye vyama vya siasa. Ukihoji masuala fulani juu ya CCM, automatically WanaCCM wanakuweka katika kundi la Chadema. Pia ukihoji masuala ya Chadema, wafuasi wake wanakuweka katika kundi la CCM. Kwa hiyo, usidhani kuwa unaweza kunitisha na wasiwasi wako juu ya uraia wangu kwa kuwa wewe siyo mtu wa kwanza kunihisi hivyo. Who are you to question my nationality anyway?

Nimeshaambiwa mara kibao kuwa mimi siyo mzalendo na mtaifa na hivyo mhaini. Kwa mfano, Taifa Stars ilishafungwa, nikahoji kiwango chao cha soka nikaambiwa ni mhaini. Nilihoji ushauri alioutoa JK kwa PG in another perspective, nikahisiwa kuwa ni mtusi, though Marais hao walikuja kuonekana wakishikana mikono huku wakicheka to the disappointment ya watu wengi. Kuna mchangiaji mwigine kaniambia kwenye uzi huu huu kuwa yoyote anayehoji suala la wahamiaji haramu ni mhaini.

Pale tunaposhindwa kutetea hoja zetu, tunakuwa na tabia ya kujaribu kuwagawa watu kama siyo kivyama, basi kwa kutumia maneno kama uzalendo, utaifa na hata kuhoji uraia wa mhusika. Tunakopi na kupaste maneno wanayotumia wanasiasa hasa pale wanapokosolewa. I will never fall in that trap.

In fact, sitamsifia mtu mzima au serikali kwa kufanya kazi kwa mujibu wa majukumu yao. They are not babies ili wasifiwe kila mara. Neither have they done something extraordinary to the extent ya kupewa nishani ya kusifiwa. Wanatimiza tuu majukumu yao na ahadi walizozitoa wakati wakiomba kura.

So, what I expect from them is a pay back. Hivyo, sitasita kuikosoa serikali pale nitakapodhani kuwa imefanya kazi yake chini ya kiwango kinachotegemewa au ilichohaidi kufanya. Uzalendo na utaifa wangu ni kuikosoa serikali yoyote ile iliyo madarakani ili next time isirudie makosa iliyoyafanya huko nyuma.
 
  • Thanks
Reactions: bht
Watu wanaulizwa waonyeshe vitambulisho vya taifa, vipi hivyo? Vile ambavyo karibuni waligawana rais na wenye nchi wenzie?
Kitambulisho cha taifa ninachotakiwa kuonyesha hasa ni kipi? Cheti cha kuzaliwa, pasi ya kusafiria au kadi ya kura?
 
Watu wanaulizwa waonyeshe vitambulisho vya taifa, vipi hivyo? Vile ambavyo karibuni waligawana rais na wenye nchi wenzie?
Kitambulisho cha taifa ninachotakiwa kuonyesha hasa ni kipi? Cheti cha kuzaliwa, pasi ya kusafiria au kadi ya kura?

I just wish aliyedai hivyo alikuwa hasemi ukweli.

Lakini kama alikuwa anasema ukweli, sidhani kama ilikuwa ni fair kuulizwa ID card wakati hata Watanzania hawana hizo ID.

Wengine hata hawajawahi kuona hata cheti cha kuzaliwa.

Suala lingine kama alivyozema mchangiaji mwingine hapo juu baadhi ya watu wanaweza kutumia hii kamatamata kuwafanyia mbaya wale walio na bifu nao na hata kudai rushwa ili mtu aendelee kuwa "Mtanzania".
 
kumbuka hata kagame alienda uganda kama mtu wa kwaida tena mtoto mdogo wa miaka minne lakini karudi kwao rwanda, james kaberabe alizaliwa DRC na kupata stahili zote kama mkongo lakini aliwasaliti na kurudi rwanda achilia mbali mauaji ya halaiki anayoendeleza kwa nchi iliyomlea kupitia m 23! watusi ni watu wachafu sana

mokala again...nimeshasema damu yako ni ya wale wahutu wa zamani 1994 kurudi nyuma hadi kabla ya wabelgiji....huna unalojadili ni chuki zako kama kawaida yako.....ila yote yana mwisho...kama umeambiwa ukiwachukia watutsi zaidi utaishi zaidi umedanganywa...utakufa utawaacha yanini kumchukia mtu hivo....mwanaharam
 
Tunatia aibu. Hawa tunaowaita "illegal immigrants" wametukosea nini? Hizi ni siasa za chuki, vindictiveness na xenophobia. Hazikutakiwa kuwa na nafasi katika nchi kama yetu.

Amandla.....
Intarahamwe walianza kama hawa unaowatetea wewe...........! Tusicheke na ngedere, tutavuna mabua. Kwa nini wasijihalalishe angalau? Waende tu...tushachoka!
 
Tanzania is free and sovereign state so its territory and frontiers must be respected by Nations as well as individuals
 
Back
Top Bottom