walibishana na mabishano yakapelekea hasira na kufikiaLotus kumpiga kibao Luclay(msauzi)
wakati Lotus ameondelewa, Luclay kapewa adhabu ya kuosha viombo vya washiriki wingine.
hivi lotus ndiyo yule aliyefanana na shabba ranks?
Sure, utakuta mibaba na mi mama imekaa na watoto wao kuangalia ujinga
Bora katoka, yeye si ndio alikuwa anataka mwenzake atoke ili abaki pekee??
hivi lotus ndiyo yule aliyefanana na shabba ranks?
hujakosea mkuu
hii bb bado ipo? Angalieni tu mnaoona inafaa. Siku za nyuma nilikua naiona kwenye baa moja. Nilikua sikosi shower hour. Baadae nikajirudi, sikuangalia tena. Lakini siwashangai au kuwalaumu wanaoangalia
Ndio maana kuna wakati nataka bongo itawaliwe kwa SHARIAH LAW.
Sawa mkuu lakini mtanzani huyu aliyetolewa kwanza anaonekana kama CHANGUNDO ,TEJA ANAPOLEWA,KUVAA AJUI,KATOBOA PUA KAMA WASAGAJI,MCHAFU,SIKU YA KWANZA KUMUONA NDANI YA JUMBA HILO NILIKATAA KAMA NI MTANZANI KWELI NI MKONGO ANAYEISHI TANZANIA,somo kwa wanaochangua kutuwakilisha.HATA ALIYEBAKI ILIONYESHA KUFANYA NGONO KWENYE POOL AKIWA KALEWA AJITAMBUI.Hakuna jambo ninaloona kuwa ni upumbavu, upuuzi, ushenzi na la kijinga kama hayo mashindano ya BB! Waafrika tunachezewa kama midoli na sisi tunakubali, upumbqvu gani huu jamani! Najisikia hata kichefuchefu, ptuuuu!!