BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,021
hivi lotus ndiyo yule aliyefanana na shabba ranks?
HA HA..mkuu mbona hii weekend umeniachia kicheko cha mwaka..ha ha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi lotus ndiyo yule aliyefanana na shabba ranks?
Mungu tuepushe na balaa hii la BBA
MKuu ebu jaribu kuongezea urefu wa uzi,eti ni masharti gani hayo amevunja huyu mtz??
HA HA..mkuu mbona hii weekend umeniachia kicheko cha mwaka..ha ha
Kibali wamempa WASHENZI wooote wanaokaa na kupiga CHABO kwenye TV.
Halafu leo wanakuja na kuanza kulaani yanatokea huko ndani, kwani ulifikiri ni TV ya Dini?
Mmeyataka wenyewe na kuangalia TV za namna hii. Mvumilie tu.
Nawapa HONGERA hao vijana kwa kuonyesha Dunia ya kweli ya sasa ilivyo na si UNAFIKI.
Kama watu wasingeangalia na hata kuja kuweka vilawama vyao hapa au pongezi, BBA ingelikufa.
Hamna haja ya viboko wala nini. Wote wanao-NGONOA huko, ndiyo wanaofaa kwenye BBA na si hawa wanakwenda na kujifanya watu wa dini. Dunia sasa inataka SKENDO na si watu wenye nidhamu. Hao kawatafute kwenye majumba ya dini, ingawa hata huko nako kumeshaingiliwa.
Mie napenda Mabinti wanaoonyesha kila kitu kwenye TV. Hao ndiyo wanafaa maana macho yanafaidi huku ukisubiri Jumapili na Ijumaa zifike ili tukafute/kutubu dhambi zetu, AMEN.
(Akili za Mbayuwayu utumie unaposoma maneno yangu...........)
Mkuu bora useme wewe, manake mi nashindwa kuelewa inakuwakuwaje tunalazimishwa kuwa tunawakilishwa katika huu upumbavu wa BBA. Hao wajinga wanajiwakilisha wenyewe tu period.hapo kwenye red sisi tuondoe
katika maswala haya hakuna utaifa
sijui wamepelekwa na nani? wazara ya michezo na utamaduni ina habari?
kweli BJ... yaani nikimuona nakumbuka champion lover
Sa kama ishu ni kuishi maisha halisi,,iwaje wakipigana wanafukuzwa??
Kwani kwenye maisha halisi watu hawagombani??
Kumbe sio reality show wala nini.