Tanzania's CAG Report; March 2012

Tanzania's CAG Report; March 2012

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,134
Reaction score
128,774
Wanabodi,

Niko hapa Dodoma kwenye ukumbi wa mikutano ya waandishi wa habari Bungeni, ambapo CAG, Ludovick Uttouh, anazungumza na waandishi wa habari, kuhusu ripoti yake.

Kubwa kuliko ni serikali, imelifungua lile fuko kuu la hazina lililoko Benki Kuu ya Tanzania, na kujitotea kutoka fuko hilo, Shilingi, Bilioni 5.8 bila idhini ya Bunge!.

Kwa lugha rahisi, ni serikali imejichotea fungu hilo na kujitafunia, yenyewe bila kuomba kibali cha wenye fedha zao!.

Kuchukua kitu bila ruhusa ni wizi, regardless umefanyia nini hicho ulichochukua, hivyo serikali yetu imeiba Shilingi Bilioni 5.8 zetu!.

Wakuu wa zile oversight commitee za PAC-Cheyo, LAAC-Mrema na POAC-Zitto wapo hapa kutueleza serikali yetu iliyafanyia nini mabilioni hayo?.

Pascal.

attachment.php
 

Attachments

Wanabodi,

Niko hapa Dodoma kwenye ukumbi wa mikutano ya waandishi wa habari Bungeni, ambapo CAG, Ludovick Uttouh, anazungumza na waandishi wa habari, kuhusu ripoti yake.

Kubwa kuliko ni serikali, imelifungua lile fuko kuu la hazina lililoko Benki Kuu ya Tanzania, na kujitotea kutoka fuko hilo, Shilingi, Bilioni 5.8 bila idhini ya Bunge!.

Kwa lugha rahisi, ni serikali imejichotea fungu hilo na kujitafunia, yenyewe bila kuomba kibali cha wenye fedha zao!.

Kuchukua kitu bila ruhusa ni wizi, regardless umefanyia nini hicho ulichochukua, hivyo serikali yetu imeiba Shilingi Bilioni 5.8 zetu!.

Wakuu wa zile oversight commitee za PAC-Cheyo, LAAC-Mrema na POAC-Zitto wapo hapa kutueleza serikali yetu iliyafanyia nini mabilioni hayo?.

Endelea kufuatilia.

NB, nitaziaatach ripoti zenyewe soon.

Pascal.

Poa pasco! hongera kwa niaba ya jf.
 
5.8b hizo pesa ni nyingi sana lazima bunge likomae awajibike mtu hapa. Nchi ina matatizo lukuki lakini pesa zinafujwa kama watu hawana akili sasa ni wakati wa bunge letu kuonyesha umakini katika kuisimamia hii serekali chovu.
 
nchi hii ina viongozi wapumbavu sana...ni sawa na wewe pasco uvue shati lako kisha ulitundike dirishani halafu uzunguke nyuma ya nyumba na kuanza kunyata taratibu kuelekea pale ulipolitundika shati..kisha ukalikwapua na kukimbia nalo....
 
Kama mnajichotea hela mnavyotaka kwa nini msiibe? mara kulipa mawaziri wakatishie watu kwenye chaguzi ndogo, mara kutoa rambirambi, mara matembezi. Lazima wachote. Lakini ninahisi watajitetea kwa kivuli cha umeme wa dharura!
 
Press conference inaendelea, CAG Ludovic Uttoh anazidi kumwaga madudu ya serikali katika matumizi ya fedha za umma!.

Kwa kawaida press conference haitakiwi kuzidi one hour!, saa hizi Utouh mwenyewe, ameshakata, one hour, hapa bado Cheyo, Mrema na Zitto!.

Ikipita saa saba mchana ambayo ni time ya lunch, CAG atawajibika kuwaangalia hawa waandishi utaratibu wao wa lunch unakuwaje, na ndio kwenye matukio kama haya, ule uhalali wa sisi waandishi wa habari nasi tuangaliwe!.

Kwa waandishi wanaoripoti bunge, nao hukaa muda ule ule kama wa mheshimiwa mbunge anavyokaa kwenye kile kiti chake!, tofauti ya kiti cha mbunge, kinanesanesa na kuzunguluka zunguluka kunakopelekea hata wabunge kusinzia, viti vyetu havinesi, havizungungu wala hatuwezi kusinzia!, hivi nasi si tunastahili kulipwa kama wenzetu?!.

Endelea kufuatilia ripoti ya ukaguzi!
 
Pasco Sioi ameapishwa, mbona hutupi taarifa.
Aliyeapishwa ni shujaa Nassari, japo wafuasi wake wengi wamezuiliwa kuingia humu mjengoni, kumbe ile sare ya Chadema ni marufuku bungeni!.

Baadae leo nitahudhuria tafrija ya bkumpongeza Nasari, nitaiwakilisha jf!
 
Press conference inaendelea, CAG Ludovic Uttoh anazidi kumwaga madudu ya serikali katika matumizi ya fedha za umma!.

Kwa kawaida press conference haitakiwi kuzidi one hour!, saa hizi Utouh mwenyewe, ameshakata, one hour, hapa bado Cheyo, Mrema na Zitto!.

Ikipita saa saba mchana ambayo ni time ya lunch, CAG atawajibika kuwaangalia hawa waandishi utaratibu wao wa lunch unakuwaje, na ndio kwenye matukio kama haya, ule uhalali wa sisi waandishi wa habari nasi tuangaliwe!.

Kwa waandishi wanaoripoti bunge, nao hukaa muda ule ule kama wa mheshimiwa mbunge anavyokaa kwenye kile kiti chake!, tofauti ya kiti cha mbunge, kinanesanesa na kuzunguluka zunguluka kunakopelekea hata wabunge kusinzia, viti vyetu havinesi, havizungungu wala hatuwezi kusinzia!, hivi nasi si tunastahili kulipwa kama wenzetu?!.

Endelea kufuatilia ripoti ya ukaguzi!

Mkuu husahau bahasha? wasukuma mikokoteni wasemeje? wataomba wafungiwe viyoyozi ili kukabiliana na jua kali wawapo kazini. ongeza seriousness
 
Aliyeapishwa ni shujaa Nassari, japo wafuasi wake wengi wamezuiliwa kuingia humu mjengoni, kumbe ile sare ya Chadema ni marufuku bungeni!.

Baadae leo nitahudhuria tafrija ya bkumpongeza Nasari, nitaiwakilisha jf!

Shabash! kumbe kweli, gwanda moja = chani kiwiti 30, ccm ikaogopa ikidhani na wageni wanaweza sema siooooooo!!
 
Unaongelea 5.8billion!
Tz kwa sasa izo ni ela za kawaida tuu kuiba ndo maana wakaona hamna haja ya kuomba kupitia bungeni!
Watu nowdays wanapiga atleast 100B
 
Yawezekana ndo hizo wabunge walizo kuwa wakijilipa posho
 
Kwa kawaida press conference haitakiwi kuzidi one hour!, saa hizi Utouh mwenyewe, ameshakata, one hour, hapa bado Cheyo, Mrema na Zitto!.

Ikipita saa saba mchana ambayo ni time ya lunch, CAG atawajibika kuwaangalia hawa waandishi utaratibu wao wa lunch unakuwaje, na ndio kwenye matukio kama haya, ule uhalali wa sisi waandishi wa habari nasi tuangaliwe!.
Mkuu tumbo kwanza siyo? Komaa upate habari ya kuandika mkuu vitu vingine vitafuata!

CAG hana posho labda muombe kwa Spika.
 
Pasco tunafuatilia, haswa hizo report tunazisubiri kwa hamu toka kwako.
Endelea kutuhabarisha. Hii ndio raha ya JF
 
Twende mbele turudi nyuma, muulizeni CAG kama pesa imechotwa bila idhini ya Bunge au kwa maana nyingine bila kufuata sheria inakuwaje kwa wahusika? Ama kwa maana nyingine sheria inasemaje kwa mtu aliyehusika kuidhinisha pesa kuchotwa bila kibali cha Bunge?
 
Thanks Pasco, tumekaa mkao wa kupokea tu!! Mwaga mambo mkuu!
 
Press conference inaendelea, CAG Ludovic Uttoh anazidi kumwaga madudu ya serikali katika matumizi ya fedha za umma!.

Kwa kawaida press conference haitakiwi kuzidi one hour!, saa hizi Utouh mwenyewe, ameshakata, one hour, hapa bado Cheyo, Mrema na Zitto!.

Ikipita saa saba mchana ambayo ni time ya lunch, CAG atawajibika kuwaangalia hawa waandishi utaratibu wao wa lunch unakuwaje, na ndio kwenye matukio kama haya, ule uhalali wa sisi waandishi wa habari nasi tuangaliwe!.

Kwa waandishi wanaoripoti bunge, nao hukaa muda ule ule kama wa mheshimiwa mbunge anavyokaa kwenye kile kiti chake!, tofauti ya kiti cha mbunge, kinanesanesa na kuzunguluka zunguluka kunakopelekea hata wabunge kusinzia, viti vyetu havinesi, havizungungu wala hatuwezi kusinzia!, hivi nasi si tunastahili kulipwa kama wenzetu?!.

Endelea kufuatilia ripoti ya ukaguzi!

Penye red


Habari unazokusanya huko Bungeni unaziuza wapi? Huko unakozipeleka hawakulipi? Kama ni kwa ajili ya JF, tutakufikiria sis member wa JF lakini kama ni kwa ajili ya vyombo huru vya habari sioni sababu ya wewe kutaka kumega kodi zetu
 
Back
Top Bottom