Tanzania's 15 most eligible bachelors

Hao ndio anaowajua yeye jameni kachagua kutokana na kaharufu ka pesa na ka koo maarufu
 
Thuwein Makamba bado yupo yupo tangu hii list itoke??...am interested lol,earl is too handsome wale ukiwa nae unaogopa other girls wanavyojibamiza kwake.....
 
Yaani after 13 months hakuna hata mmoja aliyeoa jamani?? maana list ni ya mwaka jana

are talking of eligible bachelors or permanent bachelors?? maana duuuh:eyebrows:
 
we mama wee, kwani ile ya pindi chana tulivyojitokeza ni kwasababu hatumo jamani??

unaanza kuniudhi swahiba

Ile wachuchu, wachumba, na vishtobe vyenu havikuonekana kwenye orodha, mkawa na hasira! :D
 
Hii ni kwa mtazamo wa Mwanamke, tena Changudoa fulani. Tatizo linakuja pale watu wanaojitambulisha kama "Wanaume" nao kudiriki kuwatathmini "Wanaume" wenzao kwa kigezo cha "most eligible bachelors"...lol!
 
Ngoja na mie nitoe list ya 2011 eligible bachelors I could rewind my age to be their eligible cougar!
1 Figganigga
2 senetor
3 tanmo
4 speaker
5 kongosho (akiwa kabadili jinsia, ana switch u know?)
6... Narudi nimalizie
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom