Tanzanian Activists Storm U.S. Congress Over Human Rights Violations

Tanzanian Activists Storm U.S. Congress Over Human Rights Violations

Jamani mlio karibu na Mama Abdul, hivi anajisikiaje kuona Watanzania walio na akili kubwa kumpinga düniani kote? Mama Abdul anajidanganya kujiweka karibu na machawa (Steve Nyerere, Mwijaku, Baba Levo, Dotto Magari, na wasanii wa fleva) wasio na akili kuhisi watanzania wote wako na akili kama wao. Kwa habari hizi za kupigwa vita na wananchi wake walio na akili kubwa, itatufanya Watanzania sasa tupigwe ban kwenda Marekani kwa ujinga wa CCM.
 
Uchaguzi ujao,ccm itafanya,ila Kuna Kila dalili ccm kuunda serikali ambayo haiatambulika huko duniani
 
  • Dislike
Reactions: UCD
09 June 2025
View attachment 3363585
Such a great opportunity to speak to Senator Reverend Warnock's office regarding the deterioration of human rights, infringement of freedom of religion, speech, and assembly in Tanzania.

As diaspora members, we have to step up when voices of dissent are silenced and democracy is at stake.

View attachment 3363583
😂😂😂😂 Kwei failure is an orphan

Dogo kapigwa sana huku home kila alipokuja kugombea chakandumu primaries lakini sasa kaona apige harakati tu
 
Jamani mlio karibu na Mama Abdul, hivi anajisikiaje kuona Watanzania walio na akili kubwa kumpinga düniani kote? Mama Abdul anajidanganya kujiweka karibu na machawa (Steve Nyerere, Mwijaku, Baba Levo, Dotto Magari, na wasanii wa fleva) wasio na akili kuhisi watanzania wote wako na akili kama wao. Kwa bio hizi za kupigwa vita na wananchi wake walio na akili kubwa, itatufanya Watanzania sasa tupigwe ban kwenda Marekani kwa ujinga wa CCM.
Katika hao wawili yupi Ana akili?
 
Jamani mlio karibu na Mama Abdul, hivi anajisikiaje kuona Watanzania walio na akili kubwa kumpinga düniani kote? Mama Abdul anajidanganya kujiweka karibu na machawa (Steve Nyerere, Mwijaku, Baba Levo, Dotto Magari, na wasanii wa fleva) wasio na akili kuhisi watanzania wote wako na akili kama wao. Kwa bio hizi za kupigwa vita na wananchi wake walio na akili kubwa, itatufanya Watanzania sasa tupigwe ban kwenda Marekani kwa ujinga wa CCM.
1749603408396.jpg
 
😂😂😂😂 Kwei failure is an orphan

Dogo kapigwa sana huku home kila alipokuja kugombea chakandumu primaries lakini sasa kaona apige harakati tu
Kila akija Mbarali anachezea kichapo
 
What about them?
What do they have to do with Tanzania

I see, you mean Samia Suluhu Hassan is bringing Gaza to Tanzania?

She will not be allowed to do that.
Not,you got it wrong simigo
 
Umeelewa lakini..huyo sijui akivisiti uchwara anateseka kwa kuukosa ubunge mara zote hapa Mbeya
Hilo ni suala jingine, lakini kama nchi tuna matatizo sasa hivi ambayo yanatakiwa kufanyiwa kazi yasije kudhuru wengine na kuota mizizi ikawa ni kidonda sugu.
 
Back
Top Bottom