Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,306
- 271,580
Hivi ndivyo vyombo vya habari vilivyoripoti , hatujui kama huko ndio kuupiga mwingi au la !
Huna kazi wewe
Wacha weeee !!!!Huna kazi wewe
Duh!!!....Tanzania yetu 🎶Hivi ndivyo vyombo vya habari vilivyoripoti , hatujui kama huko ndio kuupiga mwingi au la !
View attachment 2895458
noma sana !Duh!!!....Tanzania yetu 🎶
Anayo lakini mimi naifananisha na ile ya yule mdudu anayesukuma zigo la mavi mida wote asijue anaelekea wzpi!!Huna kazi wewe
Anayo lakini mimi naifananisha na ile ya yule mdudu anayesukuma zigo la mavi mida wote asijue anaelekea wzpi!!
Unajua hata Nyerere alivyokuwa anadai Uhuru wa Tanganyika wako Mamluki walimuona yule mzee ni falaAnayo lakini mimi naifananisha na ile ya yule mdudu anayesukuma zigo la mavi mida wote asijue anaelekea wzpi!!
Utofauti ni kuwa Nyerere alikuwa hadafuti ruzuku, alikuwa anazikataa.Unajua hata Nyerere alivyokuwa anadai Uhuru wa Tanganyika wako Mamluki walimuona yule mzee ni fala
Ila alikubali kupewa nauli kwenda UNO kudai uhuru wa Tanganyika !Utofauti ni kuwa Nyerere alikuwa hadafuti ruzuku, alikuwa anazikataa.
😆😆😆Ila alikubali kupewa nauli kwenda UNO kudai uhuru wa Tanganyika !
Walisema bado tunakopeshekaHivi ndivyo vyombo vya habari vilivyoripoti , hatujui kama huko ndio kuupiga mwingi au la !
View attachment 2895458
Serikali ulipe,iache kuwaonesha wakandarasi wa ndani.Hivi ndivyo vyombo vya habari vilivyoripoti , hatujui kama huko ndio kuupiga mwingi au la !
View attachment 2895458