Tanzania yetu vs Taiwani!

Tanzania yetu vs Taiwani!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Tanzania tuko zaidi ya watu milioni 45, ukubwa wa nchi yetu ni km² 945, 087 (laki 9), Taiwani wako milioni 23, ukubwa nchi ya Taiwani km² 36,179 (elfu 36), Mkoa wa Arusha una km² 37 000 (elfu 37)!

Tanzania yetu inazalisha umeme < 1 500 Megawatt wakati Taiwani inazalisha 48 480 MW.

Fikiria hiyo tofauti sisi MW 1500 vs Taiwani MW 48 000, halafu sisi tunakimbizana na vimegawatt 2000 na bado kuna watu wanataka kutushika mashati kwamba tusijenge hata hizo 2000 tusizalishe kwa sababu ya Wanyama, nasema mwambie huyo Muzungu wako aje kuchukuwa hawa Wanyama awapelelke kwao hatuwahitaji tunataka Umeme, ...
 
Mzee baba tayari ameshawafahamu hawa wanafiki, jana waziri mkuu alikuwa eneo la mradi amefurahishwa na clearance na usafi pia katoa agizo kwa IGP kuwa ahakikishe ulinzi wa kutosha wakati wa utekelezaji, long story short ni kwamba ujenzi ni uko tayari kuanza
 
Usilinganishe nchi ya Taiwani na nchi ya ajabu ajabu..... tafuta nchi kama Malawi Burundi au Zambia ndo ufanye ulinganisho wa maana.
Tanzania tuko zaidi ya watu milioni 45, ukubwa wa nchi yetu ni km² 945, 087 (laki 9), Taiwani wako milioni 23, ukubwa nchi ya Taiwani km² 36,179 (elfu 36)!

Tanzania yetu inazalisha umeme < 1 500 Megawatt wakati Taiwani inazalisha 48 480 MW

Fikiria hiyo tofauti sisi MW 1500 vs Taiwani MW 48 000, halafu kuna watu bado wnatuambia kwamba eti tusizalishe MW 2000 zaidi kwa sababu ya Wanyama, nasema mwambie huyo Muzungu wako aje kuchukuwa hawa Wanyama awapelelke kwao hatuwahitaji tunataka Umeme, ...
 
Wee Barbarosa, mbona hivi aiseee!!! hahahahahaah
Halafu kuhusu ile ya JPM kusema wanaume waoe wanawake wawili wawili kupunguza ukahaba, Ikulu imekanusha sio kweli hajasema hivyo
 
Tanzania tuko zaidi ya watu milioni 45, ukubwa wa nchi yetu ni km² 945, 087 (laki 9), Taiwani wako milioni 23, ukubwa nchi ya Taiwani km² 36,179 (elfu 36)!

Tanzania yetu inazalisha umeme < 1 500 Megawatt wakati Taiwani inazalisha 48 480 MW

Fikiria hiyo tofauti sisi MW 1500 vs Taiwani MW 48 000, halafu kuna watu bado wnatuambia kwamba eti tusizalishe MW 2000 zaidi kwa sababu ya Wanyama, nasema mwambie huyo Muzungu wako aje kuchukuwa hawa Wanyama awapelelke kwao hatuwahitaji tunataka Umeme, ...
Nasikia kwenye gas tunatumia less 10%
 
Taiwan is a barren rock in a typhoon-laden sea with no natural resources to live off of — it even has to import sand and gravel from China for construction — yet it has the fourth-largest financial reserves in the world. Because rather than digging in the ground and mining whatever comes up, Taiwan has mined its 23 million people, their talent, energy and intelligence — men and women. I always tell my friends in Taiwan: “You’re the luckiest people in the world. How did you get so lucky? You have no oil, no iron ore, no forests, no diamonds, but you are wealthier.



Usilinganishe nchi ya Taiwani na nchi ya ajabu ajabu..... tafuta nchi kama Malawi Burundi au Zambia ndo ufanye ulinganisho wa maana.
 
Tanzania tuko zaidi ya watu milioni 45, ukubwa wa nchi yetu ni km² 945, 087 (laki 9), Taiwani wako milioni 23, ukubwa nchi ya Taiwani km² 36,179 (elfu 36), Mkoa wa Arusha una km² 37 000 (elfu 37)!

Tanzania yetu inazalisha umeme < 1 500 Megawatt wakati Taiwani inazalisha 48 480 MW

Fikiria hiyo tofauti sisi MW 1500 vs Taiwani MW 48 000, halafu sisi tunakimbizana na vimegawatt 2000 na bado kuna watu wanataka kutushika mashati kwamba tusijenge hata hizo 2000 tusizalishe kwa sababu ya Wanyama, nasema mwambie huyo Muzungu wako aje kuchukuwa hawa Wanyama awapelelke kwao hatuwahitaji tunataka Umeme, ...
Kweli Sauli umekuwa Paulo sasa. Hebu wauliza CCM miaka hamsini na saba(57) ya kuiongoza hii nchi mbona wamezalisha umeme wa MegaWatt 1500 tu?
 
Taiwan is a barren rock in a typhoon-laden sea with no natural resources to live off of — it even has to import sand and gravel from China for construction — yet it has the fourth-largest financial reserves in the world. Because rather than digging in the ground and mining whatever comes up, Taiwan has mined its 23 million people, their talent, energy and intelligence — men and women. I always tell my friends in Taiwan: “You’re the luckiest people in the world. How did you get so lucky? You have no oil, no iron ore, no forests, no diamonds, but you are wealthier.
Naunga mkono hoja. Wenzetu wamewekeza kwenye brain za watu wao ndyo maana wamepata maendeleo kwa kasi.kwa upande wetu huku africa tumekaririshwa kuamini kuwa rasilimali ni zilizopo ardhini pekee, kumbe rasilimali watu waliopikwa vizuri wakapikika ndyo rasilimali yenye thamani zaidi kuliko hta hyo madini na mafuta

NB: kuweka kumbukumbu sawa kuwa kuwekeza kwa watu kuna thamani kubwa kuliko madini na mafuta, angalia kampuni km uber. Leo hii uber ina thamani kuliko migodi yote iliyopo africa
 
Jana PM Majaliwa aliomba mradi ulindwe maana kuna maadui wa ndani na nje hawataki ukamilike
kiufupi tunawajua maadui wa nchi hii
 
Kama ni hivyo hapo sasa tuko pamoja na JPM 🙂
Unaanza vizuri unamalizia vibaya?
Hizo takwimu zako Tanzania vs Taiwan zimepata baraka za Serikali au una lengo la kuichafua na kuikosoa serikali yetu tukufu?
 
Kama ni hivyo hapo sasa tuko pamoja na JPM 🙂
Ndio hivyo Msigwa ameandika kule Twitter kuwa ni uzushi tu wa mtandaoni, JPM hajawahi kusema kitu kama hicho. kama unaingia Twitter nenda kwenye page ya Gerson Msigwa utaona. Ametolea maelezo mazuri
 
Tanzania tuko zaidi ya watu milioni 45, ukubwa wa nchi yetu ni km² 945, 087 (laki 9), Taiwani wako milioni 23, ukubwa nchi ya Taiwani km² 36,179 (elfu 36), Mkoa wa Arusha una km² 37 000 (elfu 37)!

Tanzania yetu inazalisha umeme < 1 500 Megawatt wakati Taiwani inazalisha 48 480 MW.

Fikiria hiyo tofauti sisi MW 1500 vs Taiwani MW 48 000, halafu sisi tunakimbizana na vimegawatt 2000 na bado kuna watu wanataka kutushika mashati kwamba tusijenge hata hizo 2000 tusizalishe kwa sababu ya Wanyama, nasema mwambie huyo Muzungu wako aje kuchukuwa hawa Wanyama awapelelke kwao hatuwahitaji tunataka Umeme, ...
MW 2000 zinapatikana from gas pia.
Kwani ni maji tu?
Hao wazungu waje na hela za kufund alternatives to hiyo Stieglers Gorge sio tu kusema tusiijenge.
 
Tanzania tuko zaidi ya watu milioni 45, ukubwa wa nchi yetu ni km² 945, 087 (laki 9), Taiwani wako milioni 23, ukubwa nchi ya Taiwani km² 36,179 (elfu 36), Mkoa wa Arusha una km² 37 000 (elfu 37)!

Tanzania yetu inazalisha umeme < 1 500 Megawatt wakati Taiwani inazalisha 48 480 MW.

Fikiria hiyo tofauti sisi MW 1500 vs Taiwani MW 48 000, halafu sisi tunakimbizana na vimegawatt 2000 na bado kuna watu wanataka kutushika mashati kwamba tusijenge hata hizo 2000 tusizalishe kwa sababu ya Wanyama, nasema mwambie huyo Muzungu wako aje kuchukuwa hawa Wanyama awapelelke kwao hatuwahitaji tunataka Umeme, ...
Kama wao wana moyo mbona wao waliwaua wanyama wote ili kujiletea maendeleo yao?
 
Kama wao wana moyo mbona wao waliwaua wanyama wote ili kujiletea maendeleo yao?


Siyo kweli kwamba wanapenda Wanyama bali hawataki tuendelee, hilo ndo lengo la Muzungu!
 
Taiwan is a barren rock in a typhoon-laden sea with no natural resources to live off of — it even has to import sand and gravel from China for construction — yet it has the fourth-largest financial reserves in the world. Because rather than digging in the ground and mining whatever comes up, Taiwan has mined its 23 million people, their talent, energy and intelligence — men and women. I always tell my friends in Taiwan: “You’re the luckiest people in the world. How did you get so lucky? You have no oil, no iron ore, no forests, no diamonds, but you are wealthier.


kama tunakuwa wakweli nchi hii yetu inasikitisha sana. Kama inataka kuwa na viwanda vya ukweli inabidi iwe na mikakati ya kutoa at least megawatt 20,000 in 5 years time.

Viwanda haviendeshwi kwa maneno bali nishati ya ukweli, masoko, mazingira mazuri kwa wawekezaji wa ndani na wa nje.

Hakuna sababu ya kuwatosha kodi kubwa watanzania wazalendo wanaotaka kusaidia nchi yao isimame au wawekezaji wa nje, hawa wote ni wadau kusaidia maendeleo ya nchi yetu.

Waache wasimame ndio uanze kuwakaba, mtoto mdogo anayekuwa ukimkaba shingo utamuua.

Kama tunamaanisha inabidi tuweke sheria zetu zote, kanuni zote, masharti yote wazi na rafiki kama Dubai au London au Singapore. Pale Watu wote dunia nzima wanawekeza sana kwa sehemu hizo ukubwa kama Dar tu pato lao ni zaidi la mara kumi ya Tanzania.

Hawana chochote zaidi ya kuweka mazingira sahihi kwa wananchi wao na wawekezaji, halafu pesa zinatiririka, zinaingia ndani ya nchi.

Hivi hatuwezi kuwatuma watu kujifunza huko au kuwaajiri wao kwa eneo dogo kama Tanga, Morogoro, lindi, ruvuma tuwaachie kila kitu waendeshe wao wakifuata sheri zetu kwa muda fulani kama wachina walivyofanya hadi wakaendelea. (Pilots project tujifunze).

Dunia ya leo mazingira ya kibiashara, uhuru wa kuanzisha biashara, kupata leseni haraka, kufanya vitu chap chap ndio kila kitu.

Kwa ufupi mazingiza rafiki kwa wafanyabiashara wa ndani na wa nje.

Akili kubwa inaweka mazingira rafiki kwa wananchi wao na wawekejazi wa nje.
 
Back
Top Bottom