Tanzania yatajwa miongoni mwa nchi kumi bora Afrika kwa uwekezaji. Tarajieni mafuriko ya wawekezaji

Wawekezaji sio wehu hatuna mfumo imara kitawala hivyo haitatokea anaweza akaja aina yamwendazake ikawa shida
 
Mtakumbuka pia mwezi uliopita SHIKANA & GROUP pia waliitaja Tanzania kushika nafasi ya nne ( 4 ) baada ya Mauritius,Rwanda & Kenya kwa kuwa na mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa ni jambo jema sana na lazima kumshukuru Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan, Mazingira mazuri ni pamoja na utulivu wa kisiasa,Sera tabirika za kodi, Upatikanaji wa nishati za uhakika,Upatikanaji wa miundombinu rafiki ya usafirishaj wa bidhaa,Upatikanaji wa masoko,Utawala wa sheria, Uhuru wa watu kutoa maoni, Usalama wa ndani na nje,Mambo yote haya ndio yanaifanya nchi kutajwa kuwa bora kwa watu wote duniani kuja kuwekeza hii si habari ndogo wala si habari ya kupuuzwa na kila anayelitakia mema Taifa hili,
EeeenHeeee!

Wewe jamaa, hii kazi ya kueneza 'propaganda' hapa JF ni kazi iliyo juu ya uwezo wako sana.

Hayo uliyotaja hapo juu siyo zawadi anayotoa mtu yeyote kwa Taifa lolote. Hiyo ni haki ya jamii ya taifa hilo ambayo hata ikiporwa, kama ilivyokuwa imeporwa chini ya Magufuli, watu wataidai na wataipata tu hakuna wa kuizuia.
Kwa hiyo Samia awepo asiwepo, hayo ni mambo ambayo yatapatikana tu.

Kuhusu kushabikia hicho kipeperushi ambacho pengine hata hujakisoma na kukielewa vizuri, uwekezaji wenye maana zaidi ni ule unaoshirikisha wananchi.
Haitoshi kushangilia uwekezaji, kumbe aina kubwa ya uwekezaji huo ni kupora mali za wananchi na kuzihamisha na kuzipeleka kwingineko. Kwa hiyo, mazingira mazuri ya uwekezaji ni lazima yaendane na juhudi za kuhakikisha kwamba uwekezaji huo ni lazima uwe na manufaa kwetu, na siyo kushangilia tu mradi watu wanakuja hapa kuzoa na kutuacha maskini.

Mwambie huyo 'best' wako, aimarishe maeneo yote yanayohusiana na uwekezaji ili pawe na uwezo wa kuhimili mitifuko inayohusika na watu hao, wengi wao wakiwa ni watu wadanganyifu na wasiojali tunabaki na nini wakati wao wanaponeemeka na mali zetu.

Mwambie 'Best' wako awe na mipango juu ya uwekezaji huo utakaohakikisha bila kubahatisha kuwa tunapata ujuzi tunapowakaribisha hao watu, ujuzi ambao utatuwezesha sisi wenyewe kusimama na kuendesha miradi ya aina wanayoleta hapa hao wawekezaji. Swala la kuajiliwa pekee halina maana sana kama kuajiliwa na kupata ujuzi wa kazi hiyo ili muhusika aweze kwenda akajisimamie mwenyewe kama atahitaji kufanya hivyo

Mwambie huyo 'Best' wako, kila mara anapoleta hao wawekezaji akumbuke kuwa wawekezaji wakuu tunaohapa sisi wenyewe, ambao tumeamua kuwatelekeza kuwa "Machinga". Hawa tunaowaona kila siku wakihangaikia maisha, hii ndio nguvu yetu itakayoliinua taifa hili, na siyo hao tunaotafuta kutoka huko nje. Kwa hiyo ni kazi yake kuunganisha uwekezaji huo na hawa Machinga wetu na wengine watakaolijenga taifa hili kwa uhakika kabisa.

Huyo 'Best' wako akifanya kazi katika misingi hiyo, nami nitaanza kukusifu wewe kwa kumsaidia kuona mwanga wa Tanzania upo wapi.
 
"Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed to consistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectors". Sina uhakika mleta uzi una uwezo mzuri wa kutafsiri lugha ya watu.
 
S

Sio kweli sijalipwa na Mungu ni shahidi,

Nahisi ni uzalendo wangu tu ndio unanisukuma,

Kuwa na amani tuendelee kuisemea vizuri nchi yetu pendwa
Mlikuwa mnasema hayati Magufuli ni best president lakini leo mnasema alikimbiza wawekezaji, hamuaminiki nyie
 
Hivi TTCL inafanya kitu gani ? Yule dogo pale amekalia propaganda tu atolewe anapoteza muda tu pale Mama vipi tena ?? Aweke watu wenye uwezo .....Kazaura was the best wapo wengine pia...wanaweza kuifumua kuisuka upya ikafanya vzr....wapo...
 
Kwakuwa mmesikia nafasi za Ma DED bado na Ummy kasema mademu wanawagombania mmeanza kuzisaka eee
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
 
Hivi TTCL inafanya kitu gani ? Yule dogo pale amekalia propaganda tu atolewe anapoteza muda tu pale Mama vipi tena ?? Aweke watu wenye uwezo .....Kazaura was the best wapo wengine pia...wanaweza kuifumua kuisuka upya ikafanya vzr....wapo...
Nani huyo mkuu?
 
amani iwe nanyi,

Jarida maarufu barani Africa na duniani la" Business Insider Africa "limechapisha taarifa toka benki ya Rand Merchant Bank ya watu wa Africa Kusini zenye kichwa cha habari " Here are the top 10 best African countries to invest in 2021"kwa tafsi isiyo rasmi " Hizi hapa nchi kumi bora zaidi kwa uwekezaji barani Africa mwaka 2021 "

Mtakumbuka pia mwezi uliopita SHIKANA & GROUP pia waliitaja Tanzania kushika nafasi ya nne ( 4 ) baada ya Mauritius,Rwanda & Kenya kwa kuwa na mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa ni jambo jema sana na lazima kumshukuru Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan, Mazingira mazuri ni pamoja na utulivu wa kisiasa,Sera tabirika za kodi, Upatikanaji wa nishati za uhakika,Upatikanaji wa miundombinu rafiki ya usafirishaj wa bidhaa,Upatikanaji wa masoko,Utawala wa sheria, Uhuru wa watu kutoa maoni, Usalama wa ndani na nje,Mambo yote haya ndio yanaifanya nchi kutajwa kuwa bora kwa watu wote duniani kuja kuwekeza hii si habari ndogo wala si habari ya kupuuzwa na kila anayelitakia mema Taifa hili,

RMB wanasema nanukuu, "
This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings " kwa tafsiri isiyo rasmi, mwaka huu Tanzania pia imeingia kwenye nchi kumi bora kwa uwekezaji baada ya kuwa nje kwa miaka ya 2020 na 2019,

Pongeza za pekee zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikiwa kuiingiza nchi yetu kwenye orodha ya nchi kumi tu zenye mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa, Hii maana yake nini Mtu|kampuni yoyote duniania ikitaka kuwekeza wanapitia orodha hii ndipo waje kuwekeza Africa, Watanzania tutarajie mafuriko ya wawekezaji kuanzia sasa,


.........Kazi iendelee .........



=========================

Here are the top 10 best African countries to invest in 2021

  • North Africa remains dominant, with Egypt ranking first as Africa’s leading investment destination, followed by Morocco.
  • Rwanda and Botswana are among the more prominent countries to have moved up the rankings at fourth and fifth positions, respectively.
  • This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings.
South African Rand Merchant Bank (RMB) has just released its list of top 10 investment attractive countries in Africa, aimed at investors targeting real assets in an economy or looking to expand businesses that rely on physical infrastructure.

According to the author, RMB Africa Economist Daniel Kavishe, a new world called for a new approach to the publication, and this year’s report assesses the extent of the pandemic’s impact by sketching the landscape of the continent pre-COVID-19 and then painting a picture of both its actual and potential outcomes through and post-pandemic.
Historically, investment destinations in Africa have been ranked based on the tenets of economic activity and business operating environment. However, this year’s approach required an extra layer of sophistication, taking into account key factors such as the operating environments, fiscal scores and development plans, all of which are key to investment attractiveness in a Covid world.
“We created a new set of rankings that incorporated some of the unavoidable COVID-19-induced challenges, of which the operating environment score was one,” Kavishe said.
She added that a fiscal score was also part of the methodology, and this was essential because fiscal scores are important indicators of how governments respond to COVID-19.
“Although the pandemic brought much devastation, it also enabled opportunities for reimagining policies and trade relationships. Increasingly clear now is that home-grown strategies to tackle poverty, inequality and unemployment across Africa must be implemented. If not, all of Africa suffers,” Kavishe noted, adding that capital will flow naturally to economies offering a good mix of opportunity and ease of doing business.


Here are the top 10 investment attractive countries in Africa in 2021, according to RMB

  1. Egypt: While Egypt’s economy was hard hit by the pandemic, it was also one of the first to bounce back to a path of growth. This, owing to the swift measures it introduced and the fact that it been on a stronger footing at the outbreak of COVID-19.
  2. Morocco: The economy of Morocco continues to benefit from political stability. A special fund to combat COVID-19 was established in 2020, representing 2.7% of GDP. Two-thirds of the funds were to be provided by private sources and one third by the government.
  3. South Africa: The southern-most country in Africa offers a strong manufacturing and retail base that will continue to support southern African regional economies with goods and services.
  4. Rwanda: Rwanda continues to benefit from the efforts it has made to improve its operating environment. Furthermore, as part of the National Strategy for Transformation (NST), various investments should support the construction and energy sectors over the next few years.
  5. Botswana: The country has high foreign exchange reserves, which have enabled it to weather the pandemic-induced economic storm better than most. The Pula Fund, a sovereign fund created in 1994 that finances a large part of the budget deficit, has meant that fiscal dependency on debt has been low.
  6. Ghana: Ghana entered the current crisis on a relatively stronger footing than its African peers. Structurally, its economy has seen major shifts over the past few years, positioning it for significant growth going forward. This is supported by primary-sector industries like oil and gold and accelerated development in the tertiary sector.
  7. Mauritius: Aided by an extremely favourable tax regime, its financial sector will remain one of the main drivers of Mauritius’ economy into the future – notably through cross-border investment activities and banking services.
  8. Côte d’Ivoire (CIV): A rise in private investment should continue to fuel construction, agri-industry and services (trade, transport and ICT in particular). Private investment will benefit from the impetus provided by public investment under the 2016-20 National Development Plan.
  9. Kenya: According to RMB, the Kenyan government’s efforts to ensure that implementation of the “Big Four” plan focused on industrialisation, universal health coverage, food security and affordable housing will invariably lead to fast economic growth.
  10. Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed to consistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectors.

VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1957136
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
amani iwe nanyi,

Jarida maarufu barani Africa na duniani la" Business Insider Africa "limechapisha taarifa toka benki ya Rand Merchant Bank ya watu wa Africa Kusini zenye kichwa cha habari " Here are the top 10 best African countries to invest in 2021"kwa tafsi isiyo rasmi " Hizi hapa nchi kumi bora zaidi kwa uwekezaji barani Africa mwaka 2021 "

Mtakumbuka pia mwezi uliopita SHIKANA & GROUP pia waliitaja Tanzania kushika nafasi ya nne ( 4 ) baada ya Mauritius,Rwanda & Kenya kwa kuwa na mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa ni jambo jema sana na lazima kumshukuru Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan, Mazingira mazuri ni pamoja na utulivu wa kisiasa,Sera tabirika za kodi, Upatikanaji wa nishati za uhakika,Upatikanaji wa miundombinu rafiki ya usafirishaj wa bidhaa,Upatikanaji wa masoko,Utawala wa sheria, Uhuru wa watu kutoa maoni, Usalama wa ndani na nje,Mambo yote haya ndio yanaifanya nchi kutajwa kuwa bora kwa watu wote duniani kuja kuwekeza hii si habari ndogo wala si habari ya kupuuzwa na kila anayelitakia mema Taifa hili,

RMB wanasema nanukuu, "
This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings " kwa tafsiri isiyo rasmi, mwaka huu Tanzania pia imeingia kwenye nchi kumi bora kwa uwekezaji baada ya kuwa nje kwa miaka ya 2020 na 2019,

Pongeza za pekee zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikiwa kuiingiza nchi yetu kwenye orodha ya nchi kumi tu zenye mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa, Hii maana yake nini Mtu|kampuni yoyote duniania ikitaka kuwekeza wanapitia orodha hii ndipo waje kuwekeza Africa, Watanzania tutarajie mafuriko ya wawekezaji kuanzia sasa,


.........Kazi iendelee .........



=========================

Here are the top 10 best African countries to invest in 2021

  • North Africa remains dominant, with Egypt ranking first as Africa’s leading investment destination, followed by Morocco.
  • Rwanda and Botswana are among the more prominent countries to have moved up the rankings at fourth and fifth positions, respectively.
  • This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings.
South African Rand Merchant Bank (RMB) has just released its list of top 10 investment attractive countries in Africa, aimed at investors targeting real assets in an economy or looking to expand businesses that rely on physical infrastructure.

According to the author, RMB Africa Economist Daniel Kavishe, a new world called for a new approach to the publication, and this year’s report assesses the extent of the pandemic’s impact by sketching the landscape of the continent pre-COVID-19 and then painting a picture of both its actual and potential outcomes through and post-pandemic.
Historically, investment destinations in Africa have been ranked based on the tenets of economic activity and business operating environment. However, this year’s approach required an extra layer of sophistication, taking into account key factors such as the operating environments, fiscal scores and development plans, all of which are key to investment attractiveness in a Covid world.
“We created a new set of rankings that incorporated some of the unavoidable COVID-19-induced challenges, of which the operating environment score was one,” Kavishe said.
She added that a fiscal score was also part of the methodology, and this was essential because fiscal scores are important indicators of how governments respond to COVID-19.
“Although the pandemic brought much devastation, it also enabled opportunities for reimagining policies and trade relationships. Increasingly clear now is that home-grown strategies to tackle poverty, inequality and unemployment across Africa must be implemented. If not, all of Africa suffers,” Kavishe noted, adding that capital will flow naturally to economies offering a good mix of opportunity and ease of doing business.


Here are the top 10 investment attractive countries in Africa in 2021, according to RMB

  1. Egypt: While Egypt’s economy was hard hit by the pandemic, it was also one of the first to bounce back to a path of growth. This, owing to the swift measures it introduced and the fact that it been on a stronger footing at the outbreak of COVID-19.
  2. Morocco: The economy of Morocco continues to benefit from political stability. A special fund to combat COVID-19 was established in 2020, representing 2.7% of GDP. Two-thirds of the funds were to be provided by private sources and one third by the government.
  3. South Africa: The southern-most country in Africa offers a strong manufacturing and retail base that will continue to support southern African regional economies with goods and services.
  4. Rwanda: Rwanda continues to benefit from the efforts it has made to improve its operating environment. Furthermore, as part of the National Strategy for Transformation (NST), various investments should support the construction and energy sectors over the next few years.
  5. Botswana: The country has high foreign exchange reserves, which have enabled it to weather the pandemic-induced economic storm better than most. The Pula Fund, a sovereign fund created in 1994 that finances a large part of the budget deficit, has meant that fiscal dependency on debt has been low.
  6. Ghana: Ghana entered the current crisis on a relatively stronger footing than its African peers. Structurally, its economy has seen major shifts over the past few years, positioning it for significant growth going forward. This is supported by primary-sector industries like oil and gold and accelerated development in the tertiary sector.
  7. Mauritius: Aided by an extremely favourable tax regime, its financial sector will remain one of the main drivers of Mauritius’ economy into the future – notably through cross-border investment activities and banking services.
  8. Côte d’Ivoire (CIV): A rise in private investment should continue to fuel construction, agri-industry and services (trade, transport and ICT in particular). Private investment will benefit from the impetus provided by public investment under the 2016-20 National Development Plan.
  9. Kenya: According to RMB, the Kenyan government’s efforts to ensure that implementation of the “Big Four” plan focused on industrialisation, universal health coverage, food security and affordable housing will invariably lead to fast economic growth.
  10. Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed to consistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectors.

VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1957136
Kundi la majizi yanakuja kwa upya mbabe mlinda raslimali hayupo,mtaandika sana ila Magufuli muhuri wake haufutiki,aliwanyoosha haswa
 
Safi sana go goo
amani iwe nanyi,

Jarida maarufu barani Africa na duniani la" Business Insider Africa "limechapisha taarifa toka benki ya Rand Merchant Bank ya watu wa Africa Kusini zenye kichwa cha habari " Here are the top 10 best African countries to invest in 2021"kwa tafsi isiyo rasmi " Hizi hapa nchi kumi bora zaidi kwa uwekezaji barani Africa mwaka 2021 "

Mtakumbuka pia mwezi uliopita SHIKANA & GROUP pia waliitaja Tanzania kushika nafasi ya nne ( 4 ) baada ya Mauritius,Rwanda & Kenya kwa kuwa na mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa ni jambo jema sana na lazima kumshukuru Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan, Mazingira mazuri ni pamoja na utulivu wa kisiasa,Sera tabirika za kodi, Upatikanaji wa nishati za uhakika,Upatikanaji wa miundombinu rafiki ya usafirishaj wa bidhaa,Upatikanaji wa masoko,Utawala wa sheria, Uhuru wa watu kutoa maoni, Usalama wa ndani na nje,Mambo yote haya ndio yanaifanya nchi kutajwa kuwa bora kwa watu wote duniani kuja kuwekeza hii si habari ndogo wala si habari ya kupuuzwa na kila anayelitakia mema Taifa hili,

RMB wanasema nanukuu, "
This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings " kwa tafsiri isiyo rasmi, mwaka huu Tanzania pia imeingia kwenye nchi kumi bora kwa uwekezaji baada ya kuwa nje kwa miaka ya 2020 na 2019,

Pongeza za pekee zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikiwa kuiingiza nchi yetu kwenye orodha ya nchi kumi tu zenye mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa, Hii maana yake nini Mtu|kampuni yoyote duniania ikitaka kuwekeza wanapitia orodha hii ndipo waje kuwekeza Africa, Watanzania tutarajie mafuriko ya wawekezaji kuanzia sasa,


.........Kazi iendelee .........



=========================

Here are the top 10 best African countries to invest in 2021

  • North Africa remains dominant, with Egypt ranking first as Africa’s leading investment destination, followed by Morocco.
  • Rwanda and Botswana are among the more prominent countries to have moved up the rankings at fourth and fifth positions, respectively.
  • This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings.
South African Rand Merchant Bank (RMB) has just released its list of top 10 investment attractive countries in Africa, aimed at investors targeting real assets in an economy or looking to expand businesses that rely on physical infrastructure.

According to the author, RMB Africa Economist Daniel Kavishe, a new world called for a new approach to the publication, and this year’s report assesses the extent of the pandemic’s impact by sketching the landscape of the continent pre-COVID-19 and then painting a picture of both its actual and potential outcomes through and post-pandemic.
Historically, investment destinations in Africa have been ranked based on the tenets of economic activity and business operating environment. However, this year’s approach required an extra layer of sophistication, taking into account key factors such as the operating environments, fiscal scores and development plans, all of which are key to investment attractiveness in a Covid world.
“We created a new set of rankings that incorporated some of the unavoidable COVID-19-induced challenges, of which the operating environment score was one,” Kavishe said.
She added that a fiscal score was also part of the methodology, and this was essential because fiscal scores are important indicators of how governments respond to COVID-19.
“Although the pandemic brought much devastation, it also enabled opportunities for reimagining policies and trade relationships. Increasingly clear now is that home-grown strategies to tackle poverty, inequality and unemployment across Africa must be implemented. If not, all of Africa suffers,” Kavishe noted, adding that capital will flow naturally to economies offering a good mix of opportunity and ease of doing business.


Here are the top 10 investment attractive countries in Africa in 2021, according to RMB

  1. Egypt: While Egypt’s economy was hard hit by the pandemic, it was also one of the first to bounce back to a path of growth. This, owing to the swift measures it introduced and the fact that it been on a stronger footing at the outbreak of COVID-19.
  2. Morocco: The economy of Morocco continues to benefit from political stability. A special fund to combat COVID-19 was established in 2020, representing 2.7% of GDP. Two-thirds of the funds were to be provided by private sources and one third by the government.
  3. South Africa: The southern-most country in Africa offers a strong manufacturing and retail base that will continue to support southern African regional economies with goods and services.
  4. Rwanda: Rwanda continues to benefit from the efforts it has made to improve its operating environment. Furthermore, as part of the National Strategy for Transformation (NST), various investments should support the construction and energy sectors over the next few years.
  5. Botswana: The country has high foreign exchange reserves, which have enabled it to weather the pandemic-induced economic storm better than most. The Pula Fund, a sovereign fund created in 1994 that finances a large part of the budget deficit, has meant that fiscal dependency on debt has been low.
  6. Ghana: Ghana entered the current crisis on a relatively stronger footing than its African peers. Structurally, its economy has seen major shifts over the past few years, positioning it for significant growth going forward. This is supported by primary-sector industries like oil and gold and accelerated development in the tertiary sector.
  7. Mauritius: Aided by an extremely favourable tax regime, its financial sector will remain one of the main drivers of Mauritius’ economy into the future – notably through cross-border investment activities and banking services.
  8. Côte d’Ivoire (CIV): A rise in private investment should continue to fuel construction, agri-industry and services (trade, transport and ICT in particular). Private investment will benefit from the impetus provided by public investment under the 2016-20 National Development Plan.
  9. Kenya: According to RMB, the Kenyan government’s efforts to ensure that implementation of the “Big Four” plan focused on industrialisation, universal health coverage, food security and affordable housing will invariably lead to fast economic growth.
  10. Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed to consistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectors.

VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1957136
 
Back
Top Bottom