Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Msichokijua... kuna ujumbe ambao ulitumwa na Marekani kwenda Ikulu yetu na kutoa pendekezo ambalo litakuwa wazi kabisa kwa Kenya kukubali. JK akiwa ndiye Mwenyekiti wa AU akaubeba ujumbe ule bila kuuchujisha. Ulipowekwa mezani hakukuwa na jinsi isipokuwa kukubali.
Hivi hamjajiuliza wakati Kofi aliweka manyanga chini na kususpend negotiations ikawaje apate moyo wa kuendelea tena. Marekani isipotaka jambo inakuwa vigumu kweli jambo hilo kufanyika. Baada ya nchi za Kiafrika kuachiliwa wajiamulie mambo yao wenyewe, Marekani ikaona isaidia katika kuamua mambo hayo.
Kwenye mkoba wa JK kulikuwa carrots na sticks zilizoandikwa "Made in USA". Walipoziona siyo Kibaki wala Raila aliyeweza kukataa...
Hivi hamjajiuliza wakati Kofi aliweka manyanga chini na kususpend negotiations ikawaje apate moyo wa kuendelea tena. Marekani isipotaka jambo inakuwa vigumu kweli jambo hilo kufanyika. Baada ya nchi za Kiafrika kuachiliwa wajiamulie mambo yao wenyewe, Marekani ikaona isaidia katika kuamua mambo hayo.
Kwenye mkoba wa JK kulikuwa carrots na sticks zilizoandikwa "Made in USA". Walipoziona siyo Kibaki wala Raila aliyeweza kukataa...