Ni kweli haibadilishi katiba yetu, lakini ina athari kwa taifa. Na athari hizo ndizo zitakazotufanya tuamue kubadilisha katiba.Hukumu yao haibadilishi katiba yetu, katiba yetu ndio njia ya maisha watanzania waliyojichagulia
Rais hapatikani mahakamani anapatikana kwenye box la kuraMahakama ya Africa ya haki za binaadamu (ACHPR) imeipa siku 45 Serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoa utetezi wake, kwenye kesi iliyofunguliwa na Wakili Advocate Jebra inayohoji ni kwanini "matokeo ya Urais nchini Tanzania hayapingwi mahakamani?" na badala yake baada ya Tume ya Uchaguzi kumtangaza Mshindi wa Urais, moja kwa moja anakuwa ndio Rais wa Tanzania.
Mahakama imeonya kwamba endapo haitapata majibu ndani ya kipindi hicho, mahakama inaweza kusikiliza ushahidi wa upande mmoja na kutoa hukumu.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,1977.
41.-(6) Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote.
(7) Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake.
Akikusikia Mbowe atakuchapa makofi hii katiba ndio inampa ruzuku na wewe unapata hapo hela ya mbege!
Mi nadhani ulishapewa maelekezo na wazazi wako kuwa kwa umri ulionao hutakiwi kucheza na wanaume sasa ww nashangaa bado unacheza na wanaume sijui lengo lako unataka tufungwe au??Tuliza mshono huo
In God we Trust
Mi nadhani ulishapewa maelekezo na wazazi wako kuwa kwa umri ulionao hutakiwi kucheza na wanaume sasa ww nashangaa bado unacheza na wanaume sijui lengo lako unataka tufungwe au??
Muda ni huuKama kuna muda ambao watanzania wanatakiwa waungane kupata katiba bora ni sasa katiba inaihitajika kua makin ni kipindi hiki kuliko vipindi vyote toka nchi hii imepata uhuru maana presha ya kutumia bad laws na kuzitunga zingine imekua kubwa sana nyingi ya hizi bad laws zilikuwepo lakin hazikuwai kutumika au kujionyesha makucha yake kama awamu hii, na sio tu zinaanza tumika kuna pia presha ya kuziongeza makali na kutunga zingine.
Waliamua na Nani upuuzi huo... mbona jibu lake rahisi sana? Ni Katiba ya nchi ndivyo inavyotaka. Wananchi wa Tanzania kupitia Katiba yao waliamua utaratibu uwe hivyo!
Hahahaa ww jibu hapo juu kua si ulishakatazwa kucheza au kuongea na wanaume tangu ulipovunja ungo sasa unanifata fata sijui unataka kunifunga miaka 30Tatizo lako unafikiri kwa kutumia masaburi
In God we Trust
Nadhani mwalimu alikua sahihi kwa sababu ilikua ni zama za chama kimojaSijui mwalimu na watu wake walikua wanawaza nini na kwa maslahi ya nani?
Najua na ninaamini kuwa hili ni kati ya maswali mepesi sana yaliyowahi kuulizwa na Mahakama hii, hivyo ni swali rahisi sana kujibiwa na Serikali yetu. Hiyo Mahakama inaheshimu Katiba za wanachama wake hivyo jibu ni rahisi sana. Subiri uone!Mahakama ya Africa ya haki za binaadamu (ACHPR) imeipa siku 45 Serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoa utetezi wake, kwenye kesi iliyofunguliwa na Wakili Advocate Jebra inayohoji ni kwanini "matokeo ya Urais nchini Tanzania hayapingwi mahakamani?" na badala yake baada ya Tume ya Uchaguzi kumtangaza Mshindi wa Urais, moja kwa moja anakuwa ndio Rais wa Tanzania.
Mahakama imeonya kwamba endapo haitapata majibu ndani ya kipindi hicho, mahakama inaweza kusikiliza ushahidi wa upande mmoja na kutoa hukumu.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,1977.
41.-(6) Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote.
(7) Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake.
Ah ah ah akili zangu sasa,mbona jibu liko wazi,hayapingwi sababu katiba yetu hairuhusuMahakama ya Africa ya haki za binaadamu (ACHPR) imeipa siku 45 Serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoa utetezi wake, kwenye kesi iliyofunguliwa na Wakili Advocate Jebra inayohoji ni kwanini "matokeo ya Urais nchini Tanzania hayapingwi mahakamani?" na badala yake baada ya Tume ya Uchaguzi kumtangaza Mshindi wa Urais, moja kwa moja anakuwa ndio Rais wa Tanzania.
Mahakama imeonya kwamba endapo haitapata majibu ndani ya kipindi hicho, mahakama inaweza kusikiliza ushahidi wa upande mmoja na kutoa hukumu.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,1977.
41.-(6) Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote.
(7) Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake.
Umesoma charter yake?Matokeo ya uchaguzi hayapingwi kwenye hio mahakama ya Africa bali zetu ndani ya nchi. Kumbe hujui hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma charter yake?
Tatizo la hizo mahakama hazina enforcement, zinaweza kutoa hukumu kuwa hiyo sheria ni mbovu lazima ifutwe lakini hiyo mahakama ina chombo gani chenye nguvu kitakacho ilazimisha Tanzania kufuta hiyo sheria? Sababu hakina jeshi au mamlaka inayo weza kuilazimisha Tanzania kufuta hiyo sheria.Umesoma charter yake?