Kuna tofauti kati ya jeshi bora na kikosi bora. Kijeshi, kwa mfano Tanzania ina artillery bora na rada bora kuliko majirani zake ambao wana ndege bora. Sababu ni location ya miji mikuu kutoka mpakani. Ni vigumu kuufikia mji wa Dar kwa artrillery wakati ni rahisi kuitwaa Nairobi au Kampala kwa artillery. Hiyo ni choice ya kimkakati.
Tukirudi kwenye mada, vikosi maalum/elite/special forces ni commandos. Unaweza kuwa nao 5000 tu kwa ajili ya shughuli maalum za kijeshi. Hawa ni wanajeshi wanaoenda kwenye special missions. Tanzania ina special forces zilizotulia na hii inajulikana sasa.
TPDF special forces huwa zinaalikwa SOFEX na huwa zinashindana na elite forces za Europe, asia na America. Huwa kunawekwa mazingira ya kimjini, porini, majini, jangwani n.k na huwa wanaitwa ku-test silaha mpya. Hili msibishe.
halafu, hayo ni maoni ya critics wa mambo ya kijeshi ambao wana interest na masuala haya. Na huchukua data kutokana na mambo mengi ikiwamo missions ambazo special forces imeshinda na missions nyingine ni siri, lakini huwa zinafanywa.
Kwa hiyo msione ajabu nchiu maskini kuwa na vikosi special am bavyo ni highly trained na wamepata fursa ya ku-prove. Inawezekana sana tu na hii haitegemei utajiri wa nchi bali ushupavu wa watu wake.