Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,233
- 9,679
Ndugu zangu watanzania,
Kwa Sasa Tanzania ndio Habari ya mjini katika suala Zima la Kasi ya ukuaji wa uchumi, Tanzania imeviteka vyombo na Taasisi mbalimbali za kimataifa juu ya kufanya vizuri katika uchumi, Tanzania inatabiliwa kufanya kiuchumi vizuri kupita nchi zote za ukanda huu wa Afrika mashariki, kutokana na mazingira mazuri ya kiuwekezaji na kibiashara ,Sera nzuri za kiuchumi, kuimarika kwa demokrasia nchini,utawala Bora na kuheshimu misingi ya kisheria katika kuendesha nchi,Uhuru wa vyombo vya habari ,mahakama ,Sera zinazotabilika ,Miundombinu imara na Bora ,umeme wa uhakika hasa kuanzia mwakani tutakapoanza uzalishaji wa umeme wa kutosha baada ya kukamilika na kuanza Uzalishaji Wa Umeme kupitia Bwawa la mwalimu Nyerere.
Hali hii imeiteka mioyo ya wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa kutoka maeneo mbalimbali Duniani, Ikumbukwe ya kuwa wawekezaji wanapenda kuwekeza pesa zao sehemu na mahali penye amani ,usalama na utulivu,Sera nzuri za kiuchumi na zinazotabirika,utawala Bora, Demokrasia ya kutosha n.k.
Sasa Tanzania chini ya Nahodha wetu na jemedari wetu,jasusi wa kiuchumi,komandoo wa kisiasa,nguli wa Diplomasia,Jasiri muongoza njia ,shujaa wa Uchumi mama Samia suluhu Hassani ni salama Sana ,Tulivu Sana,Sera nzuri za kiuwekezaji, demokrasia na utulivu wa kisiasa , mazingira mazuri ya kiuwekezaji na kibiashara imekuwa ulimbo na sumaku ya kuwanasa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa.
Sasa macho,kiu ya wawekezaji ni kuleta madollar Yao kuja kuwekeza Tanzania,Ni kuja Kufungua mabiashara Yao Tanzania,ni kuja na mafursa ya kiuchumi Tanzania,maana imeonekana Tanzania kwa Sasa Ndio eneo linalolipa kiuwekezaji na kibiashara.
Hii ni kwa kuwa Hakuna mwekezaji ambaye anaweza kuhatarisha fedha zake na kuwekeza mahali palipo na migogoro ya kisiasa,Sera mbovu za kiuchumi,Sheria mbaya kiuwekezaji,udikiteta,Sera zisizo tabirika,viongozi wasiozingatia utawala Bora na wenye kuzingatia misingi ya kisheria ,matamko ya kisiasa kuwa yenye nguvu na juu kuliko sheria na Sera.
Ndio maana Tanzania inaendelea kukomba na kubeba wawekezaji wote wanaotua katika Bara la Afrika,ndio maana Tanzania inaendelea kufanya vizuri Sana kiuchumi kutokana na kuongezeka kwa uwekezaji hapa nchini,ndio maana mapato yameongezeka kufikia Trioni mbili kwa Mwezi,ndio maana mzunguko wa fedha Ni mzuri Sana na wenye Afya mitaani,ndio maana ajira zinaendelea kuongezeka mitaani kutokana na miradi inavyoendelea kujengwa mitaani,ndio maana Hali ya kimaisha ya watanzania Ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.
Ndio maana Tanzania na watanzania ni wenye furaha,amani na matumaini makubwa Sana katika mioyo Yao,ndio maana kipato na maisha ya kaya moja moja inaendelea kuwa njema na nzuri,ndio maana kwa Sasa kila mtanzania Anayo matumaini ya kutimiza Ndoto zake, ndio maana Biashara zinaendelea kushamiri mitaani na kufanya vizuri, ndio maana shughuli za kiuchumi na kibiashara zinafunguliwa kwa wingi Sana mitaani.
Ndio maana watanzania wanaheshimika Sana kwa Sasa,ndio maana kwa Sasa Tanzania inaaminika Sana na Taasisi na jumuia za kimataifa,ndio maana sauti ya Tanzania inaheshimika na kusikilizwa kimataifa,ndio maana Tanzania Ni Kama ufunguo ufunguao kila kufuri,ndio maana Tanzania inapata chochote itakacho kutoka popote na kwa yeyote na ndio maana Tanzania kwa Sasa inaandikwa kwa mazuri kimataifa na kupongezwa kwa mengi mazuri,ndio maana kwa Sasa Tanzania Ni nchi inayopigiwa mfano katika ukuaji na Sera nzuri za kiuchumi.
Hii yote Ni kutokana na maono makubwa aliyo nayo Rais wetu mama Samia suluhu Hassani aliyeamua kuifungua nchi na kuleta fursa nchini,aliyeamua kuitambulisha Tanzania na fursa za kiuwekezaji zilizopo katika anga la kimataifa,aliyeamua kuifanya Tanzania kuwa sumaku ya wawekezaji wote,aliyeamua Kuiteka mioyo ya wawekezaji kwa Sera nzuri za kiuwekezaji,Ni Rais Samia na serikali yake Ndio wameleta Neema hii kwa Taifa letu, Ni Rais Samia wetu na serikali yake walioleta heshima hii kwa Taifa letu ,Ni Rais Samia na serikali yake ya CCM wanayoifanya Tanzania miaka michache ijayo kuwa DUBAI ya Afrika na nchi ya ahadi.
Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Habari hizo
Kwa Sasa Tanzania ndio Habari ya mjini katika suala Zima la Kasi ya ukuaji wa uchumi, Tanzania imeviteka vyombo na Taasisi mbalimbali za kimataifa juu ya kufanya vizuri katika uchumi, Tanzania inatabiliwa kufanya kiuchumi vizuri kupita nchi zote za ukanda huu wa Afrika mashariki, kutokana na mazingira mazuri ya kiuwekezaji na kibiashara ,Sera nzuri za kiuchumi, kuimarika kwa demokrasia nchini,utawala Bora na kuheshimu misingi ya kisheria katika kuendesha nchi,Uhuru wa vyombo vya habari ,mahakama ,Sera zinazotabilika ,Miundombinu imara na Bora ,umeme wa uhakika hasa kuanzia mwakani tutakapoanza uzalishaji wa umeme wa kutosha baada ya kukamilika na kuanza Uzalishaji Wa Umeme kupitia Bwawa la mwalimu Nyerere.
Hali hii imeiteka mioyo ya wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa kutoka maeneo mbalimbali Duniani, Ikumbukwe ya kuwa wawekezaji wanapenda kuwekeza pesa zao sehemu na mahali penye amani ,usalama na utulivu,Sera nzuri za kiuchumi na zinazotabirika,utawala Bora, Demokrasia ya kutosha n.k.
Sasa Tanzania chini ya Nahodha wetu na jemedari wetu,jasusi wa kiuchumi,komandoo wa kisiasa,nguli wa Diplomasia,Jasiri muongoza njia ,shujaa wa Uchumi mama Samia suluhu Hassani ni salama Sana ,Tulivu Sana,Sera nzuri za kiuwekezaji, demokrasia na utulivu wa kisiasa , mazingira mazuri ya kiuwekezaji na kibiashara imekuwa ulimbo na sumaku ya kuwanasa wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa.
Sasa macho,kiu ya wawekezaji ni kuleta madollar Yao kuja kuwekeza Tanzania,Ni kuja Kufungua mabiashara Yao Tanzania,ni kuja na mafursa ya kiuchumi Tanzania,maana imeonekana Tanzania kwa Sasa Ndio eneo linalolipa kiuwekezaji na kibiashara.
Hii ni kwa kuwa Hakuna mwekezaji ambaye anaweza kuhatarisha fedha zake na kuwekeza mahali palipo na migogoro ya kisiasa,Sera mbovu za kiuchumi,Sheria mbaya kiuwekezaji,udikiteta,Sera zisizo tabirika,viongozi wasiozingatia utawala Bora na wenye kuzingatia misingi ya kisheria ,matamko ya kisiasa kuwa yenye nguvu na juu kuliko sheria na Sera.
Ndio maana Tanzania inaendelea kukomba na kubeba wawekezaji wote wanaotua katika Bara la Afrika,ndio maana Tanzania inaendelea kufanya vizuri Sana kiuchumi kutokana na kuongezeka kwa uwekezaji hapa nchini,ndio maana mapato yameongezeka kufikia Trioni mbili kwa Mwezi,ndio maana mzunguko wa fedha Ni mzuri Sana na wenye Afya mitaani,ndio maana ajira zinaendelea kuongezeka mitaani kutokana na miradi inavyoendelea kujengwa mitaani,ndio maana Hali ya kimaisha ya watanzania Ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.
Ndio maana Tanzania na watanzania ni wenye furaha,amani na matumaini makubwa Sana katika mioyo Yao,ndio maana kipato na maisha ya kaya moja moja inaendelea kuwa njema na nzuri,ndio maana kwa Sasa kila mtanzania Anayo matumaini ya kutimiza Ndoto zake, ndio maana Biashara zinaendelea kushamiri mitaani na kufanya vizuri, ndio maana shughuli za kiuchumi na kibiashara zinafunguliwa kwa wingi Sana mitaani.
Ndio maana watanzania wanaheshimika Sana kwa Sasa,ndio maana kwa Sasa Tanzania inaaminika Sana na Taasisi na jumuia za kimataifa,ndio maana sauti ya Tanzania inaheshimika na kusikilizwa kimataifa,ndio maana Tanzania Ni Kama ufunguo ufunguao kila kufuri,ndio maana Tanzania inapata chochote itakacho kutoka popote na kwa yeyote na ndio maana Tanzania kwa Sasa inaandikwa kwa mazuri kimataifa na kupongezwa kwa mengi mazuri,ndio maana kwa Sasa Tanzania Ni nchi inayopigiwa mfano katika ukuaji na Sera nzuri za kiuchumi.
Hii yote Ni kutokana na maono makubwa aliyo nayo Rais wetu mama Samia suluhu Hassani aliyeamua kuifungua nchi na kuleta fursa nchini,aliyeamua kuitambulisha Tanzania na fursa za kiuwekezaji zilizopo katika anga la kimataifa,aliyeamua kuifanya Tanzania kuwa sumaku ya wawekezaji wote,aliyeamua Kuiteka mioyo ya wawekezaji kwa Sera nzuri za kiuwekezaji,Ni Rais Samia na serikali yake Ndio wameleta Neema hii kwa Taifa letu, Ni Rais Samia wetu na serikali yake walioleta heshima hii kwa Taifa letu ,Ni Rais Samia na serikali yake ya CCM wanayoifanya Tanzania miaka michache ijayo kuwa DUBAI ya Afrika na nchi ya ahadi.
Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Habari hizo