Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 738
- 479
Balozi wa Tanzania Nchini Ufaransa Mhe. Ali J. Mwadini, tarehe 20 Disemba, 2023 amesaini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Kuwait mjini Paris kufuatia kifo cha Amir wa Kuwait, Sheikh Nawaf al-Ahmad Al-Sabah.