certified mdokozi
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 1,403
- 809
FDC'S ziko wapi ? VETA wanasoma nn ? ndo tufikilie viwanda
Ww ni jinga lao kweli. Hiyo buku 7 za mzee pole pole unatumia mpaka ma.ka.li.o kufikiri.Punguza kucopy mawazo ya wajjane na masuria ka mangee...jadili hoja kwa kina,
Asante, Muungwana akivuliwa nguo huchutama.wewe ndo huelewi kenge
Mdogo mdogo na kwa haraka pia yote yatawezekanaViwanda msitegeme kuanzishwa na serikali hii!
Ni blah blah tu.....
LEO nilikuwa mingoi,bagamoyo kuna Jamaa nmeenda mtembelea Yuko ktk mchakato wa kuanzisha kiwanda cha kutengeneza mabati...
Watu wanafanya mambo kimya kimyaaa siyo kwa maneno....
Ova