Tanzania vs Malawi

Leo ni Simba+Azam+Mtibwa v/s Malawi.
Mi nipo upande wa Malawi lazima combine ya Simba ichezee kichapo.
 
ILITAKIWA WACHEZAJI WOTE WASEME wanaenda jangwani kwenye mkutano
 
wadau mlioko taifa mtupe updates za mech ya leo jion
IMG_6560.jpg
 
Wangeandika simba mseto waache kutumia jina la Timu ya Taifa.Pambaf kwanza hawajala kichapo fisi hao
 
Kiko wapi sasa? wee mwache(Kim) tutakaporudi toka Abidjan na KAPU letu(la magoli) ndo atakapogundua kuwa kuna wachezaji wengine wenye msaada kuliko hao aliowabeba amewaacha,mi navuta subira tu.
 
Wangeandika simba mseto waache kutumia jina la Timu ya Taifa.Pambaf kwanza hawajala kichapo fisi hao
Huu unazi unakotupeleka sio, nakumbuka kuna timu ya Taifa iliitwa ilikuwa na wachezaji wawili tu wa Simba, Salum Kanoni na Musa Mgosi lakini sikuona huu wendawazimu unaofanywa hivi sasa, sasa kuona wachezaji wengi wanatoka timu usioishabikia na kuamua kuiita Simba mseto sijui hata tunaelekea wapi, hivi ikifikia Tanzania ikawa na wachezaji wengi wanaocheza nje ya Tanzania na ndo wakatumika kuunda timu ya Taifa kwa maana hiyo kama na washabiki wa Simba wakiwa na akili kama hizi itakuwa inaitwa timu ya wawekezaji au mtakuwa mnaiita jina gani.
 
Masuke unajadili na watu walio na uchungu wa goli Hamsa, 5 unategemea nini kama sio bitterness.Waache wabubujike na machozi kwanza kipindi hichi kikipita akili zitawarudia.Watahama sana na timu za nje na kuzishangilia mwaka huu.
 
Huu unazi unakotupeleka sio, nakumbuka kuna timu ya Taifa iliitwa ilikuwa na wachezaji wawili tu wa Simba, Salum Kanoni na Musa Mgosi lakini sikuona huu wendawazimu unaofanywa hivi sasa, sasa kuona wachezaji wengi wanatoka timu usioishabikia na kuamua kuiita Simba mseto sijui hata tunaelekea wapi, hivi ikifikia Tanzania ikawa na wachezaji wengi wanaocheza nje ya Tanzania na ndo wakatumika kuunda timu ya Taifa kwa maana hiyo kama na washabiki wa Simba wakiwa na akili kama hizi itakuwa inaitwa timu ya wawekezaji au mtakuwa mnaiita jina gani.

Wala usihangaike nao kwani ni utoto ndio unawasumbua. Wakikua wataacha.
 
Pambav zake,mechi ya kirafk kafanya sub moja tu!! Yangu macho.Hata jon boko galasa hajamchezesha
 
Kiko wapi sasa? wee mwache(Kim) tutakaporudi toka Abidjan na KAPU letu(la magoli) ndo atakapogundua kuwa kuna wachezaji wengine wenye msaada kuliko hao aliowabeba amewaacha,mi navuta subira tu.
Tuondolee fix zako hapa, wachezaji wenye msaada wako wapi, wameshindwa kuisaidia timu yao dhidi ya kina Kipre tchetche ndo waje wasaidie dhidi ya kina Toure na Drogba, unacheza wewe.
 
Tuondolee fix zako hapa, wachezaji wenye msaada wako wapi, wameshindwa kuisaidia timu yao dhidi ya kina Kipre tchetche ndo waje wasaidie dhidi ya kina Toure na Drogba, unacheza wewe.

Sasa ile si alichezesha Israel Nkongo,au na hii(against Ivory Coast) atachezesha yuleyule Israel Nkongo?
 
Huu unazi unakotupeleka sio, nakumbuka kuna timu ya Taifa iliitwa ilikuwa na wachezaji wawili tu wa Simba, Salum Kanoni na Musa Mgosi lakini sikuona huu wendawazimu unaofanywa hivi sasa, sasa kuona wachezaji wengi wanatoka timu usioishabikia na kuamua kuiita Simba mseto sijui hata tunaelekea wapi, hivi ikifikia Tanzania ikawa na wachezaji wengi wanaocheza nje ya Tanzania na ndo wakatumika kuunda timu ya Taifa kwa maana hiyo kama na washabiki wa Simba wakiwa na akili kama hizi itakuwa inaitwa timu ya wawekezaji au mtakuwa mnaiita jina gani.

Kama mimi sijali wachezaji wengi wanatoka pande ipi ninachojali mimi ni wenye uwezo wawe utilized effectively for the betterment of Tanzania's footbal....kipindi kile Simba ilivyokuwa na Kanoni na Mgosi tu tulikuwa tunapata matokeo ndo maana hata tuliingia CHAN Kombe la Mataifa ya Africa wa wachezaji wa ndani,lkn hii team yenu ya sasa hivi ya kushinda kwa sare nani anaitaka?
Huyu Mzungu ananiacha hoi sana,nimeanza kuwa na wasiwasi na taaluma yake ya ufundishaji,mechi ya kujipima nguvu anapiga Sub 1 hapohapo anadai hajapata kikosi cha kwanza,sasa atapataje kikosi cha kwanza kama hajaribu wachezaji wake kwenye mechi za kirafiki,au anasubiri mechi za mashindano ndo aje kujaribu wachezaji?....haya anachagua makinda halafu ndo anategemea wasimame kwenye mechi kubwa,mfano yule midfielder wa kutoka Ruvu(Frank Dumayo)...sawa ni kinda na ana kipaji lkn mechi zenyewe za Ligi kuu hana uzoefu nazo(amecheza ligi kuu akitokea mchangani msimu mmoja tu) ndo itakuwa mechi za kimataifa,halafu cha ajabu zaidi kocha anataka amtegemee pale kwenye dimba la kati kwa dakika 90 zote za mechi,huu si ukichaa...yaani atoke pale uwanja wa Twiga Tabata Kisiwani tulipokuwa tunakabana naye hadi kwenda kukabana na kina Toure? halafu tunategemea kushinda....tukijitahidi tutakuwa tunashinda hivihivi kwa sare.
 
Back
Top Bottom