P J O
JF-Expert Member
- May 3, 2024
- 241
- 316
Umewahi kununua Bendera ya Tanzania kuweka ghetto au kwenye gari?
Umewahi kufanya maandamani ya amani ya kumbukizi ya uhuru ukiwa na shati hata ya Tanzania?
Wimbo wa taifa mara ya mwisho kuuimba ilikua lini?
Sherehe za kimkoa za uzalendo, nje ya zile za chama lini umewahi kushiriki?
Je, viongozi wa Nchi wanahubiri uzalendo na Nationalism?
Mengine niwaachie mjitafakari ninyi....
Umewahi kufanya maandamani ya amani ya kumbukizi ya uhuru ukiwa na shati hata ya Tanzania?
Wimbo wa taifa mara ya mwisho kuuimba ilikua lini?
Sherehe za kimkoa za uzalendo, nje ya zile za chama lini umewahi kushiriki?
Je, viongozi wa Nchi wanahubiri uzalendo na Nationalism?
Mengine niwaachie mjitafakari ninyi....