Tanzania uchawa, viongozi kujipendekeza kwa viongozi wakuu lishakuwa janga la kitaifa

Escrowseal1

JF-Expert Member
Dec 17, 2014
4,432
4,222
Tuache unafiki kama nchi something has to be done kukomboa hii jamii. Kati ya malengo makuu ya Elimu ni kufanya mhusika kujiamini na kuyakabiri mazingira anayoishi.

Jamii yetu kwa miaka ya hivi karibuni imeonyesha kwa kiwango kikubwa wasomi wake kupoteza mwelekeo kutokana na neno uchawa.

Haina mantiki kiongozi kwa mfano unakutana na Wamiliki wa baa lakini kusifia Rais inakuwa moja ya main agenda na mifano mingi tu.

Vijana wengi hawaamini katika kujibidiisha na kufanikiwa bila kuwaimbia mapambio wenye nafasi. Vijana wa kitanzania wamefanywa waoga wa kupindukia wakiamini ili kufanikiwa ni lazima kuwasifia wakubwa.

Wizara ya elimu iwajibike kutafsiri malengo ya elimu kwani ki ukweli watu wetu wamekosa confidence ya kuyakabiri maisha ambalo binafsi naona ni janga kwa Taifa letu.
 
Ona hii kunguni hapa
20231209_105134.jpg
 
Tuache unafiki kama nchi something has to be done kukomboa hii jamii. Kati ya malengo makuu ya Elimu ni kufanya mhusika kujiamini na kuyakabiri mazingira anayoishi.

Jamii yetu kwa miaka ya hivi karibuni imeonyesha kwa kiwango kikubwa wasomi wake kupoteza mwelekeo kutokana na neno uchawa.

Haina mantiki kiongozi kwa mfano unakutana na Wamiliki wa baa lakini kusifia Rais inakuwa moja ya main agenda na mifano mingi tu.

Vijana wengi hawaamini katika kujibidiisha na kufanikiwa bila kuwaimbia mapambio wenye nafasi. Vijana wa kitanzania wamefanywa waoga wa kupindukia wakiamini ili kufanikiwa ni lazima kuwasifia wakubwa.

Wizara ya elimu iwajibike kutafsiri malengo ya elimu kwani ki ukweli watu wetu wamekosa confidence ya kuyakabiri maisha ambalo binafsi naona ni janga kwa Taifa letu.
Kuna watu ni wapumbavu Sana

Kwa mafano hii ishu ya sada wanamkingia kifua kwamba hausiki

Wakati watu wanazalia chini
 
"Nchi hii imejaa watu wajinga sana, Rais anapata shida kwani wanaomshauri wengi hawana uelewa wa kutosha wa mambo" Dkt. Godwin Mollel, mbunge wa jimbo la Siha na Naibu Waziri wa Afya
 
Tuache unafiki kama nchi something has to be done kukomboa hii jamii. Kati ya malengo makuu ya Elimu ni kufanya mhusika kujiamini na kuyakabiri mazingira anayoishi.

Jamii yetu kwa miaka ya hivi karibuni imeonyesha kwa kiwango kikubwa wasomi wake kupoteza mwelekeo kutokana na neno uchawa.

Haina mantiki kiongozi kwa mfano unakutana na Wamiliki wa baa lakini kusifia Rais inakuwa moja ya main agenda na mifano mingi tu.

Vijana wengi hawaamini katika kujibidiisha na kufanikiwa bila kuwaimbia mapambio wenye nafasi. Vijana wa kitanzania wamefanywa waoga wa kupindukia wakiamini ili kufanikiwa ni lazima kuwasifia wakubwa.

Wizara ya elimu iwajibike kutafsiri malengo ya elimu kwani ki ukweli watu wetu wamekosa confidence ya kuyakabiri maisha ambalo binafsi naona ni janga kwa Taifa letu.
UCHAWA UMEKUWA WA KUTISHA WAZEE WANAJIPENDEKEZA KWA VIJANA WENYE MADARAKA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom