Ni kweli inahitajika mabadiliko makubwa kuanzia kwenye mtazamo, Sera na Mkazo wa uwekezaji. Amini tunaelekea huko, bank nyingi zilikuwa hazitaki kopesha wakulima, lakini leo kuna kila aina ya mikopo ya WakulimaTatizo ni hilo hilo la siasa uchwara. Kilimo hapa kwetu kimekuwa kinabadili tu kauli mbiu, mara kilimo cha kufa na kupona, kilimo ni UTI wa mgongo, sijui kilimo kwanza na utapeli wa aina hiyo. Lakini ni rahisi zaidi kuwa masikini kwa kujiingiza kwenye kilimo kuliko pengine popote. Na wakulima wengi ndio masikini hapa nchini.
Kama huamini, nenda bank kakope hela ya kwenda kwenye kilimo, na mwingine akope anataka kufungua bar, uone nani atapewa mkopo haraka.
Hakuna suala la mashamba ya serikali hapa,NAFCO...nakumbuka mashamba haya pia kule Mbeya maeneno ya Chimala, Rujewa, Igurusi ilikuwa chanzo cha ajira kikubwa, Serikali inaweza fufua mashamba haya. Bashe anaweza simamia hili
kwani wangalikuwa wapinzani wasingelifanya hayo?Mkuu..ukiacha utani, Uchaguzi ukifanyika leo, CCM saa nne asubuhi wanachukua nchi. Achana na mambo ya mitandao nenda vijiji uone Shule, Vituo vya Afya, Zahanati, Barabara etc zilivyojengwa. Watanzania wanahitaji huduma za Jamii na zinatolewa
Usijisahaulishe kuhusu BBTkabisa,hajabu serikali inawekeza pesa ndefu kwenye miradi ambayo kupata return ni zaidi ya miaka 50 au zaidi.
wakati pesa hizo zingeelekezwa kwenye kilimo&mifugo ndani ya miaka mitano tu uchumi wa kweli ungestawi.sio huu uchumi wa janjajanja wa kwenye makablasha.
iyo ni takataka.Usijisahaulishe kuhusu BBT
Mtaala umejaa Arabic na Islamic na Divinity - Kilimo kitaishia kwa babu zetu.Tanzania ni moja ya Nchi Duniani ambayo imebarikiwa na kila kitu.
Tanzania imebarikiwa Madini ya kila aina, pongezi kubwa kwa Serikali na Wizara ya Madini kwa kuendelea kuwekeza fedha nyingi kwenye utafiti na sasa Madini adimu kabisa ya Lithium yamegunduliwa na utafiti unaendelea.
Tanzania tumebarikiwa ardhi ya kutosha, tumebarikiwa mito ya kutosha, maziwa, Chemchem za kutosha na bahari pia.
Kama yakifanyika mapinduzi ya Kilimo, zao gani ambalo halistawi Tanzania? . Mipango mikubwa ya Kilimo ipelekwe Njombe, Mbeya, Rukwa, Kigoma, etc, ili Kilimo cha kisasa chenye uhakika cha kutokutegemea mvua kikafanyike..
Pengine ni muda sahihi wa kuanza Mipango ya baada ya miaka 20 ijayo kutumia bahari yetu kwa Kilimo. Yes inawezekana, maji ya bahari ikawa chanzo cha maji ya kutumia majumbani, viwandani na mashambani. Kama imewezekana kufanya miradi mikubwa ya SGR, inawezekana kutoa maji ya Bahari kutoka Tanga kwenda Kigoma.
Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
Hapo Bashe kuweza kusimamia ondoa hilo jina ,hana uwezo huo,NAFCO...nakumbuka mashamba haya pia kule Mbeya maeneno ya Chimala, Rujewa, Igurusi ilikuwa chanzo cha ajira kikubwa, Serikali inaweza fufua mashamba haya. Bashe anaweza simamia hili
Bashawi, kuwaunga mkono wakulima sio kuwapa pesa ili walime, ni kuwawezesha tu, kwa sababu tayali wanalima , na ukulima wao ndio ajira yao,Hakuna suala la mashamba ya serikali hapa,
Watu binafi wapewe kivutio ili wawekeze kwenye kilimo kama akina Bakhresa, Mo na mabepari wengine ili wazalishe chakula kwa wingi wauze ndani na nje ya nchi.
Usisikie Marekani au Ukraini wanalima na kulisha dunia ujuwe si mashamba ya Umma bali watu Binafsi zaid .
Suala la Mashamba ya Umma ni kurudisha ushumi wa kijamaa uliokwisha kufeli.
Watu kikawaida huwa hawawajibiki vilivyo kwenye projects za Serikali, lakini za mtu binafsi hakuna cha mchezo.
Naunga nkono hoja endapo serikali itatilia mkazo Andishi hili
Kuwaunga mkono wakulima wakubwa na wale wa kati .Waachane na wakulima wadogo kabisaa ,Haiwezekani kila mtu akawa mkulima.
Hawa wakulima wadogo wanatia wingi tuu huku hawana mitaji ya kuendeleza kilimo wala ujuzi wala vifaa,
Wacha wakulima wadogo wafanyekazi chini ya Mabepari na wakulima wa kati.
Hii ndiyo maana ya kutengeneza Ajira na kukuza uzalishaji nchini.
Ruvuma ,Mbeya , Morogoro ,Rukwa , Singida, Bukoba , Kilimanjaro sehemu
Ruvuma , Rukwa - mahindihizo zinaweza kuweka mazao ya kimkakati watu wakafika mbali.
Unfortunately ,tunajenga makao makuu ya nchi kule Dodoma ,pesa zinaenda huko.