Nawazaga posta kwa nini wasiwe na virtual postal box . Yaani sio lazima uwe na funguo wawe na mfumo unaomwezesha mtu kufungua box na kuweka anuani ya makazi itasaidia mtu kupata mzigo au barua moja kwa moja sio lazima kwenda kufungua box na kuangalia . Pia itaongeza wateja maana itakua rahisi kila anayetaka kutumia huduma zao kufungua account yake na kulipia mwenyewe