Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Kihistoria hizi shopping zilianzishwa baada ya wazungu wengi huko US kuanza kuishi nje ya mji (suburban). Hizi nazo zikawekwa maeneo ya huko.
Watu walifuata huduma hapo na magari na ndiyo kisa cha malls kuwa na parking kubwa sana. Kwa hiyi hizi malls huwa zinachukua eneo kubwa sana, eneo la jengo na parking.
Zilijengwa ili kutokana na utamaduni wa hao jamaa. Pia hawa jamaa utamaduni wao ni kununua vitu vya wiki nzima sisi ni kila siku au kila mlo tunaenda dukani/sokoni na sidhani kama wanayo masoko kama sisi huku. Temefautiana sana utamaduni.
Nilisikia mji wa Mbeya wanataka kujenga Mall katikati ya CBD! Hizi mall ni kweli tunazihitaji au tunajenga kwa kuiga bila kuangalia wenzetu walijenga kwanini!?
Nyie wakuu mnaonaje, kweli tunahitaji hizi mall au hutu tu strip mall(fremu) na masoko yanatosha?
Watu walifuata huduma hapo na magari na ndiyo kisa cha malls kuwa na parking kubwa sana. Kwa hiyi hizi malls huwa zinachukua eneo kubwa sana, eneo la jengo na parking.
Zilijengwa ili kutokana na utamaduni wa hao jamaa. Pia hawa jamaa utamaduni wao ni kununua vitu vya wiki nzima sisi ni kila siku au kila mlo tunaenda dukani/sokoni na sidhani kama wanayo masoko kama sisi huku. Temefautiana sana utamaduni.
Nilisikia mji wa Mbeya wanataka kujenga Mall katikati ya CBD! Hizi mall ni kweli tunazihitaji au tunajenga kwa kuiga bila kuangalia wenzetu walijenga kwanini!?
Nyie wakuu mnaonaje, kweli tunahitaji hizi mall au hutu tu strip mall(fremu) na masoko yanatosha?