The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,444
- 8,296
Ukisikia penye miti hakuna wajenzi ndo hii ligi yetu ya bongo. Sijui marefa wamesomea wapi?
Sishangai sana maana hata mechi za.kimataifa huwa hawaitwi. Ni ueledi mdogo..milungura au huwa wanchezesha kwa maelekezo kutoka juu?
Tukubamali ligi yetu ina matatizo makubwa sana upande wa referees. Kama nao wangekuwa wanasajiliwa basi TFF wangefanya hivyo ili haki itendeke uwanjani.
Sishangai sana maana hata mechi za.kimataifa huwa hawaitwi. Ni ueledi mdogo..milungura au huwa wanchezesha kwa maelekezo kutoka juu?
Tukubamali ligi yetu ina matatizo makubwa sana upande wa referees. Kama nao wangekuwa wanasajiliwa basi TFF wangefanya hivyo ili haki itendeke uwanjani.