hata mimi ndo unaniambia now...sikutegemea iwepo
Kwa kweli hili hata mimi hili lilinishangaza. JNIA na JRO zote Wi-Fi inafanya kazi vizuri tu. Maajabu haya...
Mkuu Mwanakijiji, tumeshindwa kuchimba vyoo kwenye shule zetu za msingi na sekondari, tumeshindwa kusafisha miji yetu, tumeshindwa kusambaza maji safi na salama katika jamii zetu, tumeshindwa kudhibiti malaria na magonjwa mengine yatokanayo na uchaufu... Tutaiweza Ebora? Rushwa na ufisadi havitaturuhusu kufuata ushauri wako!Swali la leo: Tanzania iko tayari kwa kupata mgonjwa wa kwanza wa Ebola? Je, tunaangalia na kufuatilia wageni wanaoingia katika mipaka yetu na kuangalia kama yeyote kati yao ametokea Afrika ya Magharibi siku za hivi karibuni? Je, endapo itagundulika mtu ana dalili za ugonjwa huo ni protocol gani iliyoandaliwa kukabiriana na hili au tunaweza kujikuta tunafanya kama Nigeria kutengeneza protocol baada ya kuwa na mgonjwa?
Mapendekezo yangu:
a. Tuanze mara moja kumonitor watu wanaoingia kutokea nje hasa ambao kati pasi zao za kusafiria wanaonekana kupitia Afrika ya Magharibi hasa katika miezi hii mitatu au minne ya hivi karibuni.
b. Kuandaa vikosi vya afya (rapid response unit) karibu na viwanja vyetu na ndege vikiwa vimeandaliwa kupokea mtu mwenye dalili za maambukizi.
c. Hospitali kubwa karibu na maeneo ya mipakani ziandaliwe sehemu ya kuwatengea watu wenye dalili za ugonjwa huu (isolation units) pamoja na magari ya kuwasafirishia.
d. Tutenge fedha ya kutosha kukabiriana na hili.
Kama tulivyoona kwenye ugonjwa wa dengue kujiandaa kwa majanga ndio kujiepusha na maafa kama ambavyo nimewahi kusema mara nyingi. Isije kuwa tuna watu "wanaombea" kuwa Ebola isije kwetu. Kwamba uwezekano wa kutokea unaongezeka siku kwa kwa siku kwa kadiri ya kwamba watu bado wanaweza kusafiri kutokea nchi zenye maambukizi.
Vinginevyo, tusije kushangaa tutakapoambiwa kuwa kuna mtu ana Ebola itakuwa tayari mtu huyo alishatembelea Kariakoo, kwenye vilabu, n.k na tukajikuta tunashindwa hata pa kuanzia.
Hivi kwani hii nchi imejiandaa kwa Crisis ya aina gani ? au ghafla umekuwa mgeni wa hili taifa letu...
Jibu kwa swali ni kuwa hatupo tayari kuwa na mgonjwa wa Ebola. Nani anayetaka kukumbwa na majanga?
Hata kama ingekuwa ni marekani ambao wana uwezo mkubwa wa kukabili majanga watakujibu hawapo tayari kuwa na hilo janga.
MM hujamsikia JK anasema hili Tatizo la West Africa?huyu bwana sijui vipi.
Saudi Arabia wamereport cases za Ebola, na wako outside Africa, huyu anadhani TZ ni mwezini.If this disaster makes its way to TZ, people will die in hundreds, because of irresponsible leaders.here is to hope nature rescues our poor souls again.
MM hujamsikia JK anasema hili Tatizo la West Africa?huyu bwana sijui vipi.
Saudi Arabia wamereport cases za Ebola, na wako outside Africa, huyu anadhani TZ ni mwezini.If this disaster makes its way to TZ, people will die in hundreds, because of irresponsible leaders.here is to hope nature rescues our poor souls again.
Alivyotoa hoja yake mimi nilibaki mdomo wazi! Bado watu wa FC b7 Lumumba wanampongeza eti huo ulikuwa ni makakati wa kuvutia wawekezaji na utalii - please give me a break! Lakini siku hiyo hiyo tukasoma kwenye magazeti ya bongo kuwa nchi za SADC zinaandaa mkutano wa ku-address issue ya ebola. Nikajiuliza, washauri wake walikuwa bado hawajapata habari hizo - maana kwa mantiki hiyo angeunganisha hoja yake kwamba tatizo la mlipuko wa ebola huko WA ni tatizo linalohitaji jitihada za global community na hususan nguvu za umoja wa Afrika, na nchi za SADC tayari zinaanda mkutano!! John Kerry alikuwa tayari ameishawapa vidokezo kuwa dunia ya sasa ya mtandawazi imeshonana kama wavu.
Bossman unaona shuhuda mwingine huyo.....
Bado sijaona JRO INAVYOKUJA nilizoea kuita KIA...
Ulivyo mpuuzi unaomba Ebola ije tz coz upon u.s
inahitajika 'bajeti' na 'warsha' na 'semina' na vikao vya 'kupanga mikakati' ya kupambana na hilo gonjwa....kama Dengue ilivyo kuwa