Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Inawezekana nchi hizo zimekubaliana Sera ile maarufu watu wa jinsia mija kuoana
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Tanzania ni Nchi yenye viongozi VILAZA, wanaotamka wasioyaishi, wanaotamka maneno bila kujua madhara yake.

Kifupi Tanzania ina Viongozi kama Mateja na Majinga sana, wakiwakilishwa na DAUDI BASHITE.

Bora tunyimwe kwasababu CCM wangechukua waingize kwenye kampeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TB mnatibiwa bure kwa fedha zao, Dawa za ukimwi mnapewa bure zimelipiwa na wao. Dawa za maralia mnanunua kwa nusu bei, mnajua nani analipia nusu iliyobaki? Safari hii mwambieni rafiki yenu mchina awasaidie
Dawa za Ukimwi nasikia hazitolewi tena, bure waathirika wanachukua dozi kwa sh 15000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania ni Nchi yenye viongozi VILAZA, wanaotamka wasioyaishi, wanaotamka maneno bila kujua madhara yake.

Kifupi Tanzania ina Viongozi kama Mateja na Majinga sana, wakiwakilishwa na DAUDI BASHITE.

Bora tunyimwe kwasababu CCM wangechukua waingize kwenye kampeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kuchukua fomu ya kugombea ubunge mwaka huu mkuu
 
Tangu mwanzo hatukuonyesha nia ya dhati kupamabana na COVID, hata yale waliofanya nchi za wenzetu na majirani zetu sisi tulipuuza kabisa. matokeo tunayaona na misiba inatuumbua . hadi taarifa sasa tunaficha!
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Sisi ni donor country hatutaki pesa ya mabeberu. Halafu nadhani wanaona serikali haijachukua hatua za uhakika
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Pale mpumbavu anapoudhihirisha upumbavu wake.

Afrika **** nchi 54 ukitoa 25 zinabaki 29 ambazo ni zaidi ya nusu, kwa hiyo katika nchi 29 kwako Tanzania ndio imekua na ugomvi na Marekani peke yake?

Vipi kuhusu vigezo vya kutoa msaada huo ni vipi? Au vigezo utajadili na Mbowe pale ufipa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom