King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
Sababu ziko nyingi moja wapo Ni ccm kugeuka kutoka kuwa chama cha siasa mpaka kuwa chama cha kigaidi mchana kweupe bila aibu wala soni .
Niliunga mkono mengi uliyoorodhesha.Kenya ina siasa chafu, sisi zina kasoro moja ndogo tu
Kama unategemea CCM wataondoka madarakani ni kujidanganya, CCM kwa mfumo ambao umejikita Tanzania tunachoweza kufanya ni: Au wote tubadilike tuwe CCM, Au upinzani tuwameze ili tupate watu wa kutosha kutoka CCM.Tanzania tuna wapenda madaraka CCM na sio wapenda maendeleo ni kuangalia matumbo yao tu
Wako tayari kuua kwa yeyote anayetaka kuhatarisha kula yao na sio maendeleo ya watanzania.
Ccm watakapoondoka madarakani kwa njia yeyote ndipo Tanzania tutapata mafanikio makubwa kuwahi kutokea.
Tuondoe nidhamu ya woga ccm haitufai pamoja na washirika wake wote.
Asante sana kumbe wapo wenye taarifa muhimu na sahihi. Asante.Ulivyo anza mada yako inaonyesha kwamba huijui Tanzania (Tanganyika) kabla ya uhuru na huijui Kenya kabla ya uhuru! Pia hujui Tanganyika na Kenya zilivyopata uhuru. Ukiyajua hayo, hutalinganisha Tanzania na Kenya mpaka unakufa!
Niliunga mkono mengi uliyoorodhesha.
Mwisho ukavuruga kila kitu na hayo maneno niliyo'quote' hapo juu.
Kama unaamini "...siasa zetu zina kasoro moja 'ndogo' tu? Basi inanibidi niseme haupo makini hata kidogo na unayoandika hapa.
Lini umeshurutishwa kamanda mwenzangu? Chadema yetu imejaa madikteta ambao wamesababisha tushindwe
Anatumia udhaifu wetu kufanya anavyotaka
Mleta mada anajifanya anaijua kenya kumbe hakuna kokote.Inabidi pia ueleze watu Kenya anapatia kwenye nini.
Kenya inaongoza kwa tatizo la ajira ukanda huu
Kenya inaongoza kwa rushwa mbaya ukanda huu
Kenya ina raia wenye maisha duni zaidi ukanda huu
Kenya gharama za maisha ziko juu zaidi, mbali ya kwamba wana uchumi mkubwa wakiwa wachache zaidi yetu
Kenya ina siasa chafu, sisi zina kasoro moja ndogo tu
Ukabila na ukosefu wa umoja wa kitaifa ni tatizo sugu Kenya
Kwa kukutaarifu tu, wana mabaya mengi zaidi kuliko mazuri machache waliyotuzidi, ambayo hata hivyo yanakwenda yakibadirishwa kuwazidi siku si nyingi.
Msiishi kwa stori za mitandaoni, tembeeni.
Kenya Waliiba Vyanzo vya Mapato vya Jumuia ya Afrika Mashariki baada ya kuvunjika.
Nchi zilizokuwa wanachama wakati huo ilikuwa ni Tanzania, Uganda na Kenya ; Lakini Kenya Wakatumia lupooo hiyo kujimilikisha Viwanda, Ndege, Nyumba za Mashirika, Reil n.k. na ndivyo vinavyoongeza thamani ya Uchumi wa Kenya.
Kutokana na ujanjaujanja wao walitaka kujimilikisha mpaka utalii na Madini ya Tanzanite kabla ya kujengwa ukuta.
So nchi ya Kenya iko hivyo kutokana na walivhoifanyia EAC
Ulivyo anza mada yako inaonyesha kwamba huijui Tanzania (Tanganyika) kabla ya uhuru na huijui Kenya kabla ya uhuru! Pia hujui Tanganyika na Kenya zilivyopata uhuru. Ukiyajua hayo, hutalinganisha Tanzania na Kenya mpaka unakufa!
National resources Kama hazitunufaishi ni bure bora zisingekuwapo.Cooked gdp data put them on top. We are endowed with abundance of natural resources and yet they beat us on gdp!!! Don't think so.
Kama unategemea CCM wataondoka madarakani ni kujidanganya, CCM kwa mfumo ambao umejikita Tanzania tunachoweza kufanya ni: Au wote tubadilike tuwe CCM, Au upinzani tuwameze ili tupate watu wa kutosha kutoka CCM.
Sisi ama ni wakazi ama wazaliwa wa Kilimanjaro tunao mfano halisi wakuuona na tunauishi. Tume wapiga chini miaka 20 lakini mapenzi ya chama chao bado ni ya kufa mtu.
Ukipita uchaguzi utadhani wamekwisha. Wakiamshwa atadhani wamezaliwa jana, kuna elimu tunapata kuhusu mapenzi kwa chama chao .
Asante sana kumbe wapo wenye taarifa muhimu na sahihi. Asante.