Tanzania to be the first country to own A220-300 in Africa

Status
Not open for further replies.
Yani tunachanganya madawa Bombardier, Airbus, Dreamliner?

Ndege tatu, kampuni tatu tofauti?

Where is the logic?

Where is the economy of scale?
Mkuu kama kizungu nimekielewa vizuri ni kwamba hiyo ndege ni ile Bombardier tuliyo iagiza A220-300.
Kilichotokea ni kwamba imekubalika kuingizwa ktk series za ndege za Airbus kutokana na ubora wake na mikataba yao kati ya Airbus na Bombardier.

Kwa kifupi ndege ni Bombardier ile ile ni sio Airbus series iliyotengenezwa na Airbus wenyewe pale Toulouse France. Hapa ni kama Airbus wame endorse tu ndege ya Bombardier lakini watahakikisha ndege hiyo inakidhi viwango vya Airbus kulinda brand.

Nadhani hii ndio sababu mdau kasema umekurupuka kwa vile ulichosema au kuhoji hakipo hivyo. Yaani hatujaongeza aina mpya ya ndege ktk mseto wetu wa Boeng na Bombardier kwa kuongeza Airbus.
 
hata Mungu akikuamsha salama unaweza shukuru au ukajikausha tu,maana ni wajibu wake si ndio??umeishajiuliza akikuamsha kipofu utamfanya kitu gani sababu hajatimiza wajibu wake??

yafaa usifie serikali yako ikifanya vyema,hii inatia moyo na kuiongezea ujasiri,lakini pia inakupa nafasi ya kuikosoa ikifanya vibaya,sasa kama unakosoa kila kitu jitafakari,yawezekana hufikirii sawa sawa.

Tunaelewa kwenye mnatoka watanzania.
Lakini hapa Kenya tuliacha kuona rais kama mungu miaka ya themanini.
 
Tunaelewa kwenye mnatoka watanzania.
Lakini hapa Kenya tuliacha kuona rais kama mungu miaka ya themanini.

kwanini mnapoteza muda kumlaumu mkijua ni binaadamu kama nyinyi!!hukosea,hutamani,hukasirika,hata huona wivu pia.
raisi wala serikali yake hawawezi kuwa Mungu.
 
Hujaeleza nimekurupuka wapi

Kichaa yeyote anaweza kusema "umekurupuka".

Kazi kuonesha.

Halafu, hujaniambia umejuaje mimi kijana.

Angalia wewe ndiye usiwe umekurupuka kumuita mtu usiyemjua kijana.
Kijana vipi. Povu zito kiasi hiki why?
Soma thread inaongelea nini.
Kisha uje uweke comment vizuri siyo kukurupuka tu na kuanza kutoa lawama na kulalama kama mtoto mchanga.
Acha kukurupuka kijana.


Pitia hapa:


Airbus has renamed the Bombardier CSeries jet to the A220-100/300 and set a target of at least 100 orders for the aircraft this year. Airbus aims to get major sales before the end of 2018. The new Airbus A220 livery was revealed in Toulouse.
 
uzalendo itawamaliza aki...kuwa LDC kweli ni matata...hawa watu hawako exposed..




uzalendo wa watanzania uko hivi....... mfano wewe umeoa halafu unaishi kwenye nyumba ya mkeo ambayo wewe umeikuta hujui umeipata wapi ... halafu unajisifu kuwa umeoa


tanzania tunakila sababu ya kujivunia na kusherekea kwa kuwa kila mradi tunaozinndua now ni 100% ni kwa pesa yetu wemyewe yaani ni sawa na mwanaume uwe na kila kitu mkeo akukute umeshajitafutia mali zote hapo una haki ya kujitamba utakavyo kwa wenzako
 
Mchina kaweka automation machines instruction kichinwaaa! The whole of Kenya is quiet afraid of asking and upsetting their master. Asije akagoma ku-finance the rest of construction. Mwendo wa ku-crame.

pqzalmr12gnox9jgv35b40c8cc04b2a.jpg


fgtuxsx56ofq8qr5b40c9368e7d1.jpg

Sasa hiyo shule wanayojisifu nayo iko wapi sasa.
Nimekuwa kwenye member na leader wa transaction advisory teams nyingi tu. Moja ya sharti (la kwenye mkataba) ambalo tunaweka kwa partiner(s) ambaye mteja wetu anataka kufanya naye kazi ni kwamba all hardware and software relating to the facility shall be handled to the other (public) partiner(s) without any condition. Now, if the necessary operating manual and other documents are in mandarin, who can read.use them after handling??
 
Sasa hiyo shule wanayojisifu nayo iko wapi sasa.
Nimekuwa kwenye member na leader wa transaction advisory teams nyingi tu. Moja ya sharti (la kwenye mkataba) ambalo tunaweka kwa partiner(s) ambaye mteja wetu anataka kufanya naye kazi ni kwamba all hardware and software relating to the facility shall be handled to the other (public) partiner(s) without any condition. Now, if the necessary operating manual and other documents are in mandarin, who can read.use them after handling??
It is pretty obvious Chinese are there to stay forever!
 
The folly of masquerading linguistic prowess as intellectual finesse lies in the utter farce that that demeanor imparts on the caricaturing comedian partaking in the whole unfortunate chicanery and grotesque charade .
Ahahahah, mhmm hichi ni kajuluo au kusungu??
 
Ahahahah, mhmm hichi ni kajuluo au kusungu??
The popular pugilist, pious Pope of pugnaciously pungent protracted power palavers in poisonous palpitated pulses like a perfectly punctuated Plantagenet professional poise is pausing from political power plays to pee on putative pedestrians who pitter patter on this ploretarian playground.
 
The popular pugilist, pious Pope of pugnaciously pungent protracted power palavers in poisonous palpitated pulses like a perfectly punctuated Plantagenet professional poise is pausing from political power plays to pee on putative pedestrians who pitter patter on this ploretarian playground.
Ahahahah kama umenitukana na wwe hivo hivo
 
Yani tunachanganya madawa Bombardier, Airbus, Dreamliner?

Ndege tatu, kampuni tatu tofauti?

Where is the logic?

Where is the economy of scale?
In the first place they wanted to have a fleet of Bombardier aircrafts and boeing only due to issues like maintenance costs and cockpit commonality.When they approached boeing to buy two Boeing 737 MAX 8 and one Boeing 787-8 they were told that they will have to wait until 2019 for the MAXs.For them it was too long and dont ask me why they didnt consider an option of leasing 737s first and instead they went for CS series.C series is a great aeroplane but it is not good idea to be a launch customer.
 
In the first place they wanted to have a fleet of Bombardier aircrafts and boeing only due to issues like maintenance costs and cockpit commonality.When they approached boeing to buy two Boeing 737 MAX 8 and one Boeing 787-8 they were told that they will have to wait until 2019 for the MAXs.For them it was too long and dont ask me why they didnt consider an option of leasing 737s first and instead they went for CS series.C series is a great aeroplane but it is not good idea to be a launch customer.
This is a book of gratuitous calumny prefaced by wanton chicanery.

A bottomless money pit hastily dug at the sacrificial altar of political grandeur.
 
Umekurupuka kijana. Soma kwanza na ufuatilie kisha comment.
Swalilakeni zurinafrom Aviation point of view ni vyema ukimaintain aina moja y ndege kwa nchi masikini kama zetu.Inasaidia kupunguza gharama zaMafunzo.Msiojua marubani wanapokwenda kusoma wanasomea ndege nafeatures zake zote na kujua how each component works.Sasa manufactureres wanajua changamotoza gharamanindio maana ndege za kampuni moja wana maintain commonalities kuanzia vifaa mpaka cockpit.Unakuta kwa sasa kama airline wana B737-B787 B777 au A220-A330-A350-A340 kutoka ndege mojampaka nyingine rubani anafanya type rating kwa muda wa siku tano tu.ukipeleka marubani unalipape diem ya siku 7 umemaliza.Ila kama Mfuko upo sawa unaweza changanya tu
 
Swalilakeni zurinafrom Aviation point of view ni vyema ukimaintain aina moja y ndege kwa nchi masikini kama zetu.Inasaidia kupunguza gharama zaMafunzo.Msiojua marubani wanapokwenda kusoma wanasomea ndege nafeatures zake zote na kujua how each component works.Sasa manufactureres wanajua changamotoza gharamanindio maana ndege za kampuni moja wana maintain commonalities kuanzia vifaa mpaka cockpit.Unakuta kwa sasa kama airline wana B737-B787 B777 au A220-A330-A350-A340 kutoka ndege mojampaka nyingine rubani anafanya type rating kwa muda wa siku tano tu.ukipeleka marubani unalipape diem ya siku 7 umemaliza.Ila kama Mfuko upo sawa unaweza changanya tu

Tanzania sio nchi ya kwanza kuwa na ndege tofauti na zote ziko kwenye shirika moja. Its depend with what you want to archive with those type of aircraft and how quick they can be delivered. Unakuwa na ndege kutokana na demand, sio kila mara utakuwa na rubani anataka kufanya type rating, It happen once in blue moon. Once you have choose your aircraft and you've them delivered, then you shop around for pilots.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom