Tanzania sio nchi masikini

Tanzania sio nchi masikini

Tunafanya km nepal safisha safisha kwnz hawatakiwi kuishi ni risasi tu
Ni jambo jema ila huo ndio umwagaji damu niliokua nauzungumzia, huwezi kupata haki kwa mdomo kama huwezi vita ni bora ukatulia maisha yaendelee...
 
Tanzania tumebarikiwa Mungu ametupa ila kitu isipokuwa akili tu ya kutumia vitu hivyo vizuri tuna madini ya kila aina dhahabu, almasi ,makaa ya mawe ,graphite, ruby ,tanzanite n.k
Mbuga za wanyama nzuri yenye kuvutia milima mizuri kma kilimanjaro maziwa na bahari nzuri lkn hivo vitu vyote bado tanzania ni nchi masikini how??
Viongozi wachumia tumbo wapigaji wanaiharibu nchi yetu
Ufisadi wakufa mtu anamiliki madola ndani inatia kichefuchefu
Ujinga ni kuamini mmebarikiwa kila kitu.
 
Ni sawa je unawaza kuhusu wajukuu zako kuwa watakuja kuishi kwenye nchi yao kama watumwa?
Hapa panyewe tulipo ni kama watumwa, sina haja ya kutumia nguvu kuwaza maisha ya mtu mwingine ajaye, ninacho weza kufanya kwa sasa ni kumtengenezea njia ya maisha yake hapo baadae..
 
Hapa panyewe tulipo ni kama watumwa, sina haja ya kutumia nguvu kuwaza maisha ya mtu mwingine ajaye, ninacho weza kufanya kwa sasa ni kumtengenezea njia ya maisha yake hapo baadae..
Wewe hapo kwa sasa una Access ya kununua hata ardhi heka500 wajukuu zako hadi awe na mabilioni ya shilingi kumilki hiyo ardhi weka miaka 30 mbele tu kama tutaendelea kuongozwa na ccm
 
Nchi tajiri yenye rasilimali zote isipokuwa rasilimali watu(watu ndio wana umasikini wa akili).
 
Nchi tajiri yenye rasilimali zote isipokuwa rasilimali watu(watu ndio wana umasikini wa akili).
Hasa vizazi hivi vya ujima miaka ya 90 wakifutika nchi itafanya mageuzi
 
Back
Top Bottom