Tanzania sio Mwanza pekee Rais Magufuli!

Tanzania sio Mwanza pekee Rais Magufuli!

We lofa mie ni msukuma tena wa misungwi!!.. Halafu sijaangalia sentensi moja tu hebu nambie tamko gani mheshimiwa alilitoa watu wa jangwani dsm walipovunjiwa nyumba, watu wa ubungo alitoa tamko?, je watu wa kimara alisema nini?.. iweje inapokuja Mwanza anasimama!..
Na mie nimesimamia ishu hii ya kuijali sana Mwanza sikatai Nyumba ni Nyumbani lakini hakukuhitajika nguvu inayotumika hadi tunaona!.
Matokeo yake nikisimama na kujiita msukuma naonekana mkanda/katili/mbinafsi wakati hatupo hivyo!..
Wasukuma tupo almost Tanzania yote na tunajulikana wapole wajali maendeleo ya sehemu tulizopo lasivo tungekua tumeujenga sana ukanda huo kuliko mikoa tuliyopo!.
Kwa mzee nani ili tutulije mzee wako!! Wewe ni mchaga acha kuzuka!!
 
We lofa mie ni msukuma tena wa misungwi!!.. Halafu sijaangalia sentensi moja tu hebu nambie tamko gani mheshimiwa alilitoa watu wa jangwani dsm walipovunjiwa nyumba, watu wa ubungo alitoa tamko?, je watu wa kimara alisema nini?.. iweje inapokuja Mwanza anasimama!..
Na mie nimesimamia ishu hii ya kuijali sana Mwanza sikatai Nyumba ni Nyumbani lakini hakukuhitajika nguvu inayotumika hadi tunaona!.
Matokeo yake nikisimama na kujiita msukuma naonekana mkanda/katili/mbinafsi wakati hatupo hivyo!..
Wasukuma tupo almost Tanzania yote na tunajulikana wapole wajali maendeleo ya sehemu tulizopo lasivo tungekua tumeujenga sana ukanda huo kuliko mikoa tuliyopo!.
Nvya ya kila!
 
Mi nasubili hili lijamaa litoke madarakani,hamna marefu yasiyo na ncha,
Hana jipya,ni mwendo wa kiki tu,mbwembwe zote za makinikia,zimeishia ukingoni,Buzwagi inafungwa siku si nyingi,
Bombadia,zimedakwa na wanaotudai,Maelezo hakuna,hata waziri mwenye dhamana,kafyata mkia,
Mahakama ya mafisadi ,hamna kitu mpaka Leo,
Huyu jamaa ni,ikulu bahati mbaya
 
Kama inakuuma jitundike!! Nani kakuuliza wewe kabila gani?? Nyanoko!!
Nisingetoa declaration nazani ungekuja uliza mie wa wapi au ungenihukumu mie mchaga!...
Usipende kuja na majibu ya mfukoni kwenye mada za watu!.
By the way mie wazazi wangu walikuwa CCM na hadi leo wapo CCM niliwahi jitoa kipindi fulani wakati wa M4C lakini 2015 nikarudi CCM nikijua tumepata mtu sahihi all in all he's also a human being anahitaji marekebisho anapokosea!.
 
Ila watawala wakumbe..watu wanaweka record...ipo siku hata kama ni miaka 20 ijayo...watakuja kuhukumiwa...


Kuna mifano ya Marais wastaafu wa nchi za nje wamepandishwa vizimbani kwa madhambi waliyoyatenda pindi wakiwa madarakani....wengine imetokea after 40 years wakidhani wapo salama



Ipo ssiku...ipo siku...ipo siku...
 
Nisingetoa declaration nazani ungekuja uliza mie wa wapi au ungenihukumu mie mchaga!...
Usipende kuja na majibu ya mfukoni kwenye mada za watu!.
By the way mie wazazi wangu walikuwa CCM na hadi leo wapo CCM niliwahi jitoa kipindi fulani wakati wa M4C lakini 2015 nikarudi CCM nikijua tumepata mtu sahihi all in all he's also a human being anahitaji marekebisho anapokosea!.
Nyanoko!
 
Hata mi nishamuona huyu jamaa ana ka ukabila fulani hasa baada ya kumchagua AG msukuma......kumbuka hata mi ni msukuma ila sifurahishwi na haya anyoyafanya
 
Kwa mzee nani ili tutulije mzee wako!! Wewe ni mchaga acha kuzuka!!
Ili iweje ukimjua mzazi wangu!?..Nikihitaji umjue nitaomba Mods waniverify from there you may know us!..
 
Hata mi nishamuona huyu jamaa ana ka ukabila fulani hasa baada ya kumchagua AG msukuma......kumbuka hata mi ni msukuma ila sifurahishwi na haya anyoyafanya
Nashukuru kwa declaration yako!..In the long run these acts may ruin our reputations!...Mpare kuitwa bahili haikuwa just a one night trip!.
 
Kuna wakati unadhanani labda anatania tu ila siku zinavyozidi kwemda mbele unaona kauli hizi zikijirudia tena eneo lile lile.
Nahisi yale maombi yamekataliwa mbona kila siku watu wanamuombea lakini nafuu hakuna kabisa zaid ya matatizo.
Mkuu, kama taifa tunalo jaribu kubwa sana.

Hili ni jaribu kama majaribu mengine.

Ni imani yangu kwa uweza wa Mungu tutalishinda.
 
Ukanda wake unaweza kufanya Mwanza ichelewe kimaendeleo maana miundombinu haitajengwa kwa sababu ya wana CCM.
 
Back
Top Bottom