Tanzania sio Mwanza pekee Rais Magufuli!

Tanzania sio Mwanza pekee Rais Magufuli!

kuna barabara kukufuata au wewe kufuata barabara. wale watu hawajafuata uwanja uwanja umewafuata
sasa huwezi linganisha na watu waliojenga mabondeni acheni chuki binafsi fanyeni kazi huyo rais ni mtu. nukta
 
kuna barabara kukufuata au wewe kufuata barabara. wale watu hawajafuata uwanja uwanja umewafuata
Mkuu nimekosa mfano wa kukupa hebu nikupe huu!.
Una watoto wawili pacha wa kike!..
Siku moja Kulwa akaenda cheza nyumba ya jirani kwenye watoto wa kiume ukamfata na makofi juu!.
Baada ya siku kadhaa Doto akafatwa na wale watoto wakaenda cheza nae kwao ukamfata na kuomba asiende tena cheza huko!.
Je wewe ni baba bora!?..
 
Kwa hili Raisi wangu umeniangusha, Matamko kama haya yanagawanyisha watu, Hata Mimi nimeskia, Ungetumia lugha nyingine ya Kisiasa Ila hapa Umedhoofisha Roho yangu..
 
Ujue wanasema OLD IS GOLD lakin sisi wazee wetu wa nchi sijui wanamaana gani ukitukana unakuwa kama kimondo
 
Cjui kwanin,ila waliompigia kula ni wananchi wrote wakiwemo wa kusini.ifike mahali abadilishe mtazamo lasivyo,watu hawahawa wakusini ndo watakao amua hatima ya uchumi wake baada ya mwaka huu!!
 
Back
Top Bottom