Tanzania sio kichwa cha mwendawazimu

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Aug 13, 2009
3,804
1,871
Kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio lelemama, ni lazima uwe umekamilika katika nyanja zote. Ninaelewa kuwa kila mmoja wa watanzania takriban 40 mil, angependa kuwa raisi wa Tanzania japo kwa siku moja katika maisha yake. Lakikini hali halisi sio hiyo.

Mheshimiwa Slaa ni mbunge ninayemheshimu sana, lakini kugombea kiti cha urais ni utani uliokithiri. Mapungufu aliyekuwanayo ni makubwa, kama nikiyaorodhesha yote basi mtachoka hata kusoma, na bado sijaeleza mapungufu ya chama CHADEMA. Mapungufu mawili ya Slaa ni kuwa na elimu ya jicho moja, nikimaanisha kuwa ana elimu isiyo na upeo wa kuwaelewa na kuwakubali watanzania wote(usiponielewa mpaka hapo niulize nitakufafanulia). Pungufu la pili ni mtu asiyeelewa au kuwa na vision ya uchumi, kitu ambacho ni changamoto kubwa ktk nchi yetu sasa hivi. Na pungufu la tatu si la Slaa bali ni la chama chake, ambalo ni kushindwa kuwa na wabunge wa kutosha kumuunga mkono puindi atapokuwa Raisi. Ni dikteta peke yake anaweza kuongoza nchi akiwa na chini ya 20% ya wabunge wa nchi nzima, kitu ambacho CHADEMA haiwezi kuzidi namba hiyo.

Hatutaki vurugu tunataka muendelezo wa demokrasia, madhara ya kujaribu kuwa Rais bila uwezo ni makubwa sana, tunaona yanayotokea huko Madagaskari 'Demokrasia bila Amani'

Ushauri wangu kwa Slaa: Jitoe ktk kugombea urais na badala yake saidia kupiga kampeni ya wabunge katika majimbo mbali mbali. Urais hutauweza kamwe na ni hatari kwa nchi yenye martaumaini kama TZ. Hatuhitaji Revolution bali tunahitaji Evolution kutokana na matatizo yaliyopo Tanzania.
 

Asilimia 20 ya wabunge + wabunge 10 wa kwa nafasi ya uraisi wanatosha sana kuunda baraza la mawaziri lenye ufanisi mkubwa
 
...Mbona kwa Miaka mitano Iliyopita tumekuwa kichwa cha mwendawazimu kwa kinyozi ambaye alikuwa hajajiandaa kuwa Kinyozi kweli bali alikuwa anataka ile sifa tu ya kuwa Kinyozi ????
 

Asilimia 20 ya wabunge + wabunge 10 wa kwa nafasi ya uraisi wanatosha sana kuunda baraza la mawaziri lenye ufanisi mkubwa
Hapo sikuwa na maana idadi ya wabunge wataotosheleza kujaza nafasi za Mawaziri, bali nilikuwa na maana ya BUNGE KAMA MHIMILI UNAOPIMA UFANISI WA SERIKALI NA WENYE MADARAKA HATA YA KUPIGA KURA OF NO CONFIDENCE. Hivyo nia ilikuwa ni kuutazama msuguano kati ya Serikali na Bunge, bila kusahau upitishwaji wa Bajeti.
 
wewe umeamkia wapi leo?miaka mitano iliyopita raisi wako alikuwa anapata anajifunza sa kutufanya sisi wendawazimu sasa anataka tumpe tena madaraka ili aanze kufanya kazi,huo ni uendawazimu uliokithiri, slaa ndo ukombozi wa mtanzania
 
Kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio lelemama, ni lazima uwe umekamilika katika nyanja zote. Ninaelewa kuwa kila mmoja wa watanzania takriban 40 mil, angependa kuwa raisi wa Tanzania japo kwa siku moja katika maisha yake. Lakikini hali halisi sio hiyo.

Mheshimiwa Slaa ni mbunge ninayemheshimu sana, lakini kugombea kiti cha urais ni utani uliokithiri. Mapungufu aliyekuwanayo ni makubwa, kama nikiyaorodhesha yote basi mtachoka hata kusoma, na bado sijaeleza mapungufu ya chama CHADEMA. Mapungufu mawili ya Slaa ni kuwa na elimu ya jicho moja, nikimaanisha kuwa ana elimu isiyo na upeo wa kuwaelewa na kuwakubali watanzania wote(usiponielewa mpaka hapo niulize nitakufafanulia). Pungufu la pili ni mtu asiyeelewa au kuwa na vision ya uchumi, kitu ambacho ni changamoto kubwa ktk nchi yetu sasa hivi. Na pungufu la tatu si la Slaa bali ni la chama chake, ambalo ni kushindwa kuwa na wabunge wa kutosha kumuunga mkono puindi atapokuwa Raisi. Ni dikteta peke yake anaweza kuongoza nchi akiwa na chini ya 20% ya wabunge wa nchi nzima, kitu ambacho CHADEMA haiwezi kuzidi namba hiyo.

Hatutaki vurugu tunataka muendelezo wa demokrasia, madhara ya kujaribu kuwa Rais bila uwezo ni makubwa sana, tunaona yanayotokea huko Madagaskari 'Demokrasia bila Amani'

Ushauri wangu kwa Slaa: Jitoe ktk kugombea urais na badala yake saidia kupiga kampeni ya wabunge katika majimbo mbali mbali. Urais hutauweza kamwe na ni hatari kwa nchi yenye martaumaini kama TZ. Hatuhitaji Revolution bali tunahitaji Evolution kutokana na matatizo yaliyopo Tanzania.

Du!!!!!!!!! kwanza habari ya siku mingi? Wenzio wameshakubali na ahata hawaonekani jukwaani siku hizi, mpaka nilikusahau! Anyways ulikuwa wapi mpaka JK sasa anachezea chini ya 50%
 
Du!!!!!!!!! kwanza habari ya siku mingi? Wenzio wameshakubali na ahata hawaonekani jukwaani siku hizi, mpaka nilikusahau! Anyways ulikuwa wapi mpaka JK sasa anachezea chini ya 50%
Hapa JF ok. Lakini hali halisi waulize REDET
 
Du!!!!!!!!! kwanza habari ya siku mingi? Wenzio wameshakubali na ahata hawaonekani jukwaani siku hizi, mpaka nilikusahau! Anyways ulikuwa wapi mpaka JK sasa anachezea chini ya 50%

mwenzako alikuwa na maoni yafuatayo aliposomo takwimu za REDET.

"wadau msihangaike sana kujua sample space, mara accumulative curve n.k Kama uliwaangalia vizuri wale jamaa wakati wanasoma ile taarifa yao(tafiti), walikuwa na ''luck of confidence''. Pili lile benchi la ufundi lilionyesha wazi kwa nyuso zao kwamba ile ni chakachua, nobody alikuwa happy kwenye lile benchi ukiachilia mbali yule Phd feki na yule dada pembeni. Isitoshe wale REDET walisema utaratibu wao ni after every 6 month ndipo wanatoa tafiti, maana nyingine ni kwamba tafiti zao zinakuwa within 6 month. Sasa kwa kadri yao, hii tafiti imefanywa kwenye mikoa 26(sijajumuisha wilaya na vijiji vyake), kwa sample size ya watu 2000 ni kwamba kila mkoa umejumuisha watu 75 tu. Uki'assume' kila mkoa una wilaya 5 utapata kila wilaya inahusisha watu 15 tu, na tukisema kila wilaya ina vijiji 20 , ni kwamba kila kijiji kinajumuisha kuwauliza mtu 1 tu...what foolish is this?yaani kila kijiji kaulizwa mtu 1 tu??inaingia akillini nyie watu wa REDET na MA-Phd zenu??yaani kwa miezi yote hiyo 6 mmeuliza mtu mmoja kwa kila kijiji??...ndipo hapo tunaposema kwamba watu hao waliohojiwa ni WATENDAJI WA CCM TU......Nawakil"

NI KAWAIDA YA WATANZANIA KUTOKUBALI UKWELI.
 
Vipi kuhusu hii nyumba ya mwalimu wa shule kule kanda ya kati tanzania?

nyumba3.jpg
 
Kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio lelemama, ni lazima uwe umekamilika katika nyanja zote. Ninaelewa kuwa kila mmoja wa watanzania takriban 40 mil, angependa kuwa raisi wa Tanzania japo kwa siku moja katika maisha yake. Lakikini hali halisi sio hiyo.

Mheshimiwa Slaa ni mbunge ninayemheshimu sana, lakini kugombea kiti cha urais ni utani uliokithiri. Mapungufu aliyekuwanayo ni makubwa, kama nikiyaorodhesha yote basi mtachoka hata kusoma, na bado sijaeleza mapungufu ya chama CHADEMA. Mapungufu mawili ya Slaa ni kuwa na elimu ya jicho moja, nikimaanisha kuwa ana elimu isiyo na upeo wa kuwaelewa na kuwakubali watanzania wote(usiponielewa mpaka hapo niulize nitakufafanulia). Pungufu la pili ni mtu asiyeelewa au kuwa na vision ya uchumi, kitu ambacho ni changamoto kubwa ktk nchi yetu sasa hivi. Na pungufu la tatu si la Slaa bali ni la chama chake, ambalo ni kushindwa kuwa na wabunge wa kutosha kumuunga mkono puindi atapokuwa Raisi. Ni dikteta peke yake anaweza kuongoza nchi akiwa na chini ya 20% ya wabunge wa nchi nzima, kitu ambacho CHADEMA haiwezi kuzidi namba hiyo.

Hatutaki vurugu tunataka muendelezo wa demokrasia, madhara ya kujaribu kuwa Rais bila uwezo ni makubwa sana, tunaona yanayotokea huko Madagaskari 'Demokrasia bila Amani'

Ushauri wangu kwa Slaa: Jitoe ktk kugombea urais na badala yake saidia kupiga kampeni ya wabunge katika majimbo mbali mbali. Urais hutauweza kamwe na ni hatari kwa nchi yenye martaumaini kama TZ. Hatuhitaji Revolution bali tunahitaji Evolution kutokana na matatizo yaliyopo Tanzania.

Unasema sawa. Miaka mitano ya Kikwete tumeona matokeo yake: UFISADI, USULTANI na UBABAISHAJI. Swali kwako: Je kuna shule ya uraisi?
 
Mheshimiwa Slaa ni mbunge ninayemheshimu sana, lakini kugombea kiti cha urais ni utani uliokithiri. Mapungufu aliyekuwanayo ni makubwa, kama nikiyaorodhesha yote basi mtachoka hata kusoma, na bado sijaeleza mapungufu ya chama CHADEMA. Mapungufu mawili ya Slaa ni kuwa na elimu ya jicho moja, nikimaanisha kuwa ana elimu isiyo na upeo wa kuwaelewa na kuwakubali watanzania wote(usiponielewa mpaka hapo niulize nitakufafanulia).Pungufu la pili ni mtu asiyeelewa au kuwa na vision ya uchumi, kitu ambacho ni changamoto kubwa ktk nchi yetu sasa hivi. Na pungufu la tatu si la Slaa bali ni la chama chake, ambalo ni kushindwa kuwa na wabunge wa kutosha kumuunga mkono puindi atapokuwa Raisi. Ni dikteta peke yake anaweza kuongoza nchi akiwa na chini ya 20% ya wabunge wa nchi nzima, kitu ambacho CHADEMA haiwezi kuzidi namba hiyo.
Are you serious or do you expect us to take you serious after this balderdash?

Huyu JK wenu mcheza disco ndiyo kiongozi mnayemwona wa maana?

Hivi wewe ni mnajimu sasa unajua hata matokeo ya wabunge yatakuwaje?

My God, give us a break, man........unajiongelea kama vile ndiyo kwanza umetoka usingizini. Amka na utulie kabla ya kurukia hoja za kimsingi

Be serious, Man. We expect more from you!!!!!!!!!!!!
 
Zawadi unawapa Chadema 20% ya wabunge wa kuchaguliwa!
Nina uhakika wa 100% kwamba Chadema hawatopata hiyo asilimia, labda (NARUDIA TENA LABDA) huyo slaa ndio anaweza fika 20% ya kura za urais,,,,,

niko tayari kuja kukumbushwa haya baada ya uchaguzi kama itatokea vyenginevyo...
 
Zawadi unawapa Chadema 20% ya wabunge wa kuchaguliwa!
Nina uhakika wa 100% kwamba Chadema hawatopata hiyo asilimia, labda (NARUDIA TENA LABDA) huyo slaa ndio anaweza fika 20% ya kura za urais,,,,,

niko tayari kuja kukumbushwa haya baada ya uchaguzi kama itatokea vyenginevyo...

crap
 
Mshirazi said:
Zawadi unawapa Chadema 20% ya wabunge wa kuchaguliwa!
Nina uhakika wa 100% kwamba Chadema hawatopata hiyo asilimia, labda (NARUDIA TENA LABDA) huyo slaa ndio anaweza fika 20% ya kura za urais,,,,,

niko tayari kuja kukumbushwa haya baada ya uchaguzi kama itatokea vyenginevyo...

Mshirazi,

..itakuwa balaa kama CCM wataendelea kushika nafasi ya Uraisi pamoja na kuwa na majority bungeni.

..lazima CCM wa-lose, ama Uraisi, au majority kwenye bunge, ili demokrasia yetu ifanye kazi na nchi iweze kusonga mbele kimaendeleo.
 
Tatizo lako unachora graph kwa kutumia point moja... Ebu mchukue huyo unayedhani anafaa.... Wenziwe wote wanaogombea urais ni madaktari na maprofesa wa kusomea... yeye kupewa tu wa jina basi anajitangaaaaaza!! Aende darasani kwanza... ndo maana nchi inakwenda mrama tangu mwaka 2005 hadi anaahidi kufanya kazi zinazostahili kufanywa na balozi wa nyumba kumi. Au na wewe ndo mmoja wao?
 
Zawadi najua roho inakuuma sana japo unajifanya ujui ualisia wa mambo, JK maji ya shingo, Ajira aliyopewa 2005 performance yake ilikuwa na ufanisi katika yafuatayo
- kuongeza mfumuko wa bei
-Kupunguza akiba ya serikali ya fedha za kigeni kwa matanuzi ya nje
-Kushusha thamani ya shilingi
-Kushusha hari ya wafanyakazi kila sekta
- kukumbatia mafisadi na wezi wa mali ya umma.
- Kukubali barabara na hoteli kuaribu ecologia ya serengeti(mbuga kubwa duniani na inayo vutia kwa wingi wa wanyama wa aina mbalimbali) kwa masilahi binafsi.
-kuwaambia wanafunzi na raia kupata mimba na ukimwi ni kihererehere, Je yeye Yu salama?
Je kwa haya unasababu ya kumpigia JK kura?
Sasa kura yako mpe mtendaji makini Dr Wilbroad Peter Silaa(P.hD)
=Silaha anaheshimu umma, akurupuki, anachambua na kuangalia probability of profit and loss ndiyo sababu anatoa data zilizoivya ya vinavyowezekana, sio kutoa ahadi isiyotekelezeka kuwa utajenga uwanja wa ndege mpwapwa, for what Economical purpose?
= Bungeni ulimuona anaongea kwa data na kila waziri alikiri silaa ni kisiki cha mpingo, ni daktari aliyebobea.

Mwenye mengine aongezee
 
...Mbona kwa Miaka mitano Iliyopita tumekuwa kichwa cha mwendawazimu kwa kinyozi ambaye alikuwa hajajiandaa kuwa Kinyozi kweli bali alikuwa anataka ile sifa tu ya kuwa Kinyozi ????

Dr Silaha will expel Indians out of this country because of his personal hatred over Asians!
While Tanzanians of Asian origin have been successful due to hard work, perseverance, and personal sacrifices, majority of you Bantus have been lazy, singing Bongo Flavor, spending your precious time running your big mouths at the beer pubs, and ignorant. CCM knows it very well, and that's why they do not have any beef with us. The opposition and majority of their supporters perceive our success as attributed to corruption and tax evasion! I have a message for you all....CCM will win by a landslide!
While we will continue to run the show economywise, you will have no choice but to go with the flow.
Good night!
 
Back
Top Bottom