Wa mmoja
Member
- Aug 4, 2009
- 99
- 0
Baada ya mabomu kulipuka mbagala miezi michache iliyopita sasa tena mabomu yamelipuliwa hukooo Kagera yapatayo 250...
Inasemekana mabomu hayo yalikuwa kwenye shamba la mtu,mwenyewe alikuwa analima matuta yake ya viazi akayaona mabomu na kudhani ni dhahabu!!!Sasa hii si hatari kwa maisha yetu jamani?
Kwa kusaidiana na jeshi la wananchi Tanzania pamoja na Jeshi la polisi mkoani kagera walifanikiwa kulipua mabomu 250...Hatari kweli kweli!!!
Haya mabomu yaliwekwa kipindi cha Nduli Iddi Amini Dadaa nini?!
Usalama upo kweli kwa wa TZ...?!
Inasemekana mabomu hayo yalikuwa kwenye shamba la mtu,mwenyewe alikuwa analima matuta yake ya viazi akayaona mabomu na kudhani ni dhahabu!!!Sasa hii si hatari kwa maisha yetu jamani?
Kwa kusaidiana na jeshi la wananchi Tanzania pamoja na Jeshi la polisi mkoani kagera walifanikiwa kulipua mabomu 250...Hatari kweli kweli!!!
Haya mabomu yaliwekwa kipindi cha Nduli Iddi Amini Dadaa nini?!
Usalama upo kweli kwa wa TZ...?!
Last edited: