MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
au Somalia ni nchi ambayo haihitaji Kulindwa na Jeshi la Tanzania kwakuwa haina Utajiri, ila zile zenye Utajiri wa Rasilimali kama Congo DR na Sudan Kusini ndizo zinatakiwa Kulindwa?
Mnajifanya Kuwapenda Wanajeshi wenu ( hasa hawa wanaoenda Kulinda Amani ) halafu mnawapunja Pesa zao badala ya kuwapa Tsh Millioni 100 kwa kila Kichwa ( Askari ) kama wanavyolipa UN nyie na Roho Mbaya zenu mnawapa Tsh Millioni 45 tu kila Kichwa ( Askari ) kiasi kwamba hivi sasa Wengi wao hawataki na wanakwepa kwenda huko katika Missions kwenye Machafuko, Vita na Mapigano.
Na mkithubutu tu kweli kuwapeleka Samalia Kulinda Amani hakikisheni mnaandaa pia na Majeneza yao pale JNIA ( Terminal I ) kwani Wapigani wa Somalia hawana Masihara, Huruma au Uwoga kama wa M23 ndiyo maana Jeshi la Marekani ni Hatari ila hawataki tena kwenda Somaliia kutokana na Ukatili waliofanyiwa huko miaka 10 au 12 iliyopita.
Mnajifanya Kuwapenda Wanajeshi wenu ( hasa hawa wanaoenda Kulinda Amani ) halafu mnawapunja Pesa zao badala ya kuwapa Tsh Millioni 100 kwa kila Kichwa ( Askari ) kama wanavyolipa UN nyie na Roho Mbaya zenu mnawapa Tsh Millioni 45 tu kila Kichwa ( Askari ) kiasi kwamba hivi sasa Wengi wao hawataki na wanakwepa kwenda huko katika Missions kwenye Machafuko, Vita na Mapigano.
Na mkithubutu tu kweli kuwapeleka Samalia Kulinda Amani hakikisheni mnaandaa pia na Majeneza yao pale JNIA ( Terminal I ) kwani Wapigani wa Somalia hawana Masihara, Huruma au Uwoga kama wa M23 ndiyo maana Jeshi la Marekani ni Hatari ila hawataki tena kwenda Somaliia kutokana na Ukatili waliofanyiwa huko miaka 10 au 12 iliyopita.