Tanzania orders 1305 cows from Kenya sold

Kaka kwasababu umeingiza neno busara, kwamba unadhani hakimu hakutumia busara, hapo umetumia uhuru wako wa kutoa maoni kama raia wengine, hupaswi kushutumiwa wala kulaumiwa, swali ni je sheria inasemaje katika hilo?, kwa sababu hakimu lazima atumie sheria katika kutoa maamuzi yake, ili kesho na keshokutwa akiulizwa kwanini alifikia maamuzi hayo, aweze kuwa na kimbilio, akisema alitumia busara tu na kupindisha sheria, sijui kama wanasheria walio wengi watamuelewa, kwa sababu busara au si busara inategemeana na mambo mengi sana
Tanzania's sources of law are based on three main sources. These are; Constitution, Acts of Parliament/Local Law, Customary law and/or Religious law, Received Law, International Treaties and Conventions, By laws and/or Subsidiary Legislation and Orders/Circulars.
University of Minnesota Human Rights Library

Kutokana na bandiko hili utaona kuwa hata international treaties such as EAC protocols are binding laws which our court system can cite, use in its judgement honour them and law eforncement agencies such as police needs to honor and respect...
 
Kila mtu anatakiwa kuwa na identity. Kuwa mpakani hakumaanishi identity is not something of a concern. Kwa upande mwingine kufuga kwa aina yao kwa sasa hailipi
Vipi ukiwaonya na ukawapa mifugo yao.
Suala la mipaka ni muhimu wananchi wa pande zote wakashirikiana hii mipaka ilichorowa na wazungu kugawa jamii
 
Ingekuwaje Ama hao watu wapoje?
Wao hujipanga kwa muda wa mwezi mmoja hivi na kujakufanya mashambulizi kwa jamii zilizo mpakani, hususan jamii za wachungaji ili wakomboe mifugo wao na hili wanapolifanya huacha kijiji kizima kwa maombolezo
 
Tanzania's sources of law are based on three main sources. These are; Constitution, Acts of Parliament/Local Law, Customary law and/or Religious law, Received Law, International Treaties and Conventions, By laws and/or Subsidiary Legislation and Orders/Circulars.
University of Minnesota Human Rights Library

Kutokana na bandiko hili utaona kuwa hata international treaties such as EAC protocols are binding laws which our court system can cite, use in its judgement honour them and law eforncement agencies such as police needs to honor and respect...
Kaka mimi huwa ninakuwa mwoga sana kuzungumza kwa undani vitu ambavyo sio professional yangu, ninapenda kuzungumza zaidi vitu ambavyo ni common sense, kwa sababu mimi sio mwana sheria, ninahisi hata wewe sio mwana sheria, kwa hiyo hizi links ulizonitumia nitazisoma tu kupanua wigo wangu wa kuelewa mambo ya kisheria lakini sio kulumbana katika mambo ya sheria, huwa ninaheshimu sana professionalism sana.

Lakini kwa kutumia common sense yangu inaniambia kwamba customary law haiwezi kuvuka mipaka, hiyo inatumika tu ndani ya nchi, ukishavuka mpaka sheria inayotumika ni International relation governed by international law, sio vinginevyo, kama una jamaa yako ni mwanasheria muulize na atakuthibitishia hilo
 
Wazo zuri pia. Ila sheria nazo zipo. Kwahiyo wakae na kuamua maana hawajaonewa. Wamevunja sheria kuingia na mifugo bila vibali






Vipi ukiwaonya na ukawapa mifugo yao.
Suala la mipaka ni muhimu wananchi wa pande zote wakashirikiana hii mipaka ilichorowa na wazungu kugawa jamii
 
Kweli hata mimi Nakumbuka sana wale wasomali walikua wakisumbua sana mpaka Mabasi ya abiria wanawaibia ila sijui waliyeyukia wapi baada ya jwtz kutuma vijana wake?

Ni kama kibiti wanavyouwawa mpaka jana waarabu watatu wamekula shaba walikua na mabom na silaha police wamewaulia mbali
Waarabu? Jana? Hii mbona sijaisikia mkuu, nipatie link kama unayo.
 
Mkuu, nakuelewa. Sources ya sheria za Tanzania zimegawanyika katika mafungu kadhaa. Moja ni zile ordinances, yani sheria tulizorithi kutoka kwa Muingereza za kabla ya mwaka 1920. Lakini pia kuna sheria zinaitwa customary laws. Hizi ni sheria zilizojengeka kutokana na mazoea fulani.
Sasa kama kumekuwa na mazoea ya watu wa mipakani kuvuka mipaka bila kufuata taratibu na hakuna mtu ambaye aliwahi kushtakiwa kwa kosa hilo, ina maana customary laws zinaruhusu watu wa mipakani kuvuka mipaka bila kufuata formality.
Muulize huyo 'hakimu wako' kuhusu customary laws naye atakuhadithia maana wanasheria wooote wanafahamu juu ya uwepo wa 'customary laws'...
Wewe ni pumbavu wa wapi ni sheria gani inaruhusu kuchunga kwenye hifadhi ama shamba la mtu hebu ilete hapa! Ama sheria gani insruhusu kuvusha mifugo bila kibali! Ilete hspa!
 
Wewe ni pumbavu wa wapi ni sheria gani inaruhusu kuchunga kwenye hifadhi ama shamba la mtu hebu ilete hapa! Ama sheria gani insruhusu kuvusha mifugo bila kibali! Ilete hspa!
Mkeo anasifiwa kwa kuwa na kiuno chembamba kama dondola.. Unapoandika upuuzi kama huu sijui na wewe unataka usifiwe kwa kuwa na akili nyembamba kama kiuno cha dondola?
 
Wewe ni pumbavu wa wapi ni sheria gani inaruhusu kuchunga kwenye hifadhi ama shamba la mtu hebu ilete hapa! Ama sheria gani insruhusu kuvusha mifugo bila kibali! Ilete hspa!
Kichwa chako kimejaa utoko ndio maana unakuwa mgumu kuelewa.. Sheria zote nimeshazitaja hapo juu kwa lugha ya kiingereza.. Sasa wewe unaulizia sheria gani tena?
 
Wewe ni pumbavu wa wapi ni sheria gani inaruhusu kuchunga kwenye hifadhi ama shamba la mtu hebu ilete hapa! Ama sheria gani insruhusu kuvusha mifugo bila kibali! Ilete hspa!
Kabla ya kupayuka payuka uwe kwanza unasoma kilichoandikwa na kukielewa. . Tatizo unawashwa washwa kuchokoza wanaume ili wakujibu upate kiki.. Mimi sijibishani na wendawazimu wasiokuwa na mbele wala nyuma kama wewe.
 
Wewe ni pumbavu wa wapi ni sheria gani inaruhusu kuchunga kwenye hifadhi ama shamba la mtu hebu ilete hapa! Ama sheria gani insruhusu kuvusha mifugo bila kibali! Ilete hspa!
ujinga.jpg
 
Wewe ni pumbavu wa wapi ni sheria gani inaruhusu kuchunga kwenye hifadhi ama shamba la mtu hebu ilete hapa! Ama sheria gani insruhusu kuvusha mifugo bila kibali! Ilete hspa!
umemaliza namuona kijana anabweka sasa.
 
mna bahati sana kuwa hawa ni wamaasai...ingekuwa wengine kule northern kenya, damu ingemwagika...tena nyingi sana...those people dont care about the law or borders ...they have weapons and they can be very ruthless...ingekuwa ni hawa, mngewapatia ng'ombe wao roho safi na kuwaomba msamaha...

Hizo Takataka haziwezi kufanya lolote kwenye nchi yenye JWTZ.

Tungepukutisha nusu ya Kenya yote.

Eti uje Tanzania na bunduki zako unafuata mifugo iliokamatwa na serikali.

Tungewanyoosha hadi Amnesty International wangeingilia kati.
 
kukurupuka tu...nimkwambia fanya utafiti...kenya sio nchi ya ujamaa:D:D:D:D ambapo mmezoea kujikusanya chini ya mti na kuharibu haribu hewa mnapo suluhisha migogoro kwa mazungumzo...huko northern Kenya wanaishi na AK47...mtachinjwa mirija na watakapomaliza wanaacha mto wa damu ukitiririka...:eek::eek:
Why Kenya's cattle raids are getting deadlier
STO05713KEN.jpg
a78794f1bdd8b2ecf8cb6e485934052c_L.jpg
665003303001_3274716371001_201431102217498734-20.jpg
Mkikuyu at his hypocrisy jana mlikuwa mnampigia kelele Wanjigi kuwa na AK47 tano. Leo mnajitamba uwepo wake kwa hata maskini!
 
Back
Top Bottom