Tanzania orders 1305 cows from Kenya sold

The government need to be fair for the pastoralists from Kagera, Arusha and Kilimanjaro because they share the same ancestral origin with those of the same ethnic group from the neighbouring countries of Rwanda, Uganda and Kenya. There are a lot of intermarriages in these groups and handling their cases requires reason of its own kind for purpose of maintaining good neighborhood and good diplomatic ties.
There is nothing like that , Tanzania sio shamba la Bibi... Huo undugu wa kwenye shida kuja kutulilia ikitokea neema mnafanyiwa fitina wabongo hawataki hizo bangi tena
 
There is nothing like that , Tanzania sio shamba la Bibi... Huo undugu wa kwenye shida kuja kutulilia ikitokea neema mnafanyiwa fitina wabongo hawataki hizo bangi tena
My brother/sister once we subscribe to Mwl. J.K. Nyerere and Kwame NKrumah Philosophy of having an Africa with a united front you will understand my concern. In Kagera we have uncles and aunts, nephews and nieces from the neighbouring countries of Uganda and Rwanda. As much as we may be hard on these issues reason should prevail, this will guarantee us a better cross border security.
 
Baada ya serikali ya tz kusema itaanza kubet ili iongeze mapato sasa wameanza kuiba hadi na ngombe wa jirani pia? Okay.
 
Baada ya serikali ya tz kusema itaanza kubet ili iongeze mapato sasa wameanza kuiba hadi na ngombe wa jirani pia? Okay.
Naskia hao wafugaji huwa wanavuka boda kuja Tz, wanalisha mashamba ya wakulima watz halafu wanakimbilia Kenya na mifugo yao,
Unfortunately, this time they were unlucky, it hasn't been possible.
We've auctioned them all.
 
My brother/sister once we subscribe to Mwl. J.K. Nyerere and Kwame NKrumah Philosophy of having an Africa with a united front you will understand my concern. In Kagera we have uncles and aunts, nephews and nieces from the neighbouring countries of Uganda and Rwanda. As much as we may be hard on these issues reason should prevail, this will guarantee us a better cross border security.
Every country has its own order did you ask yourself why they brought their cattle in Tanzania while they have big land for posture in their country?

Tanzania we have common conflicts between farmers and pastoralists we have in big danger of deforestation and environmental hazards caused by grazing of cattle in prohibited areas, all these are participated by outsiders while they left their land nourishing and blooming,

Brother we will not tolerate such stupidity by the name of pan africanism never our generations will curse us for not taking measures.
 
My brother/sister once we subscribe to Mwl. J.K. Nyerere and Kwame NKrumah Philosophy of having an Africa with a united front you will understand my concern. In Kagera we have uncles and aunts, nephews and nieces from the neighbouring countries of Uganda and Rwanda. As much as we may be hard on these issues reason should prevail, this will guarantee us a better cross border security.
United what? Pmbavu,kma mnalijua hilo,msingefanya upuuzi kma ule wa EAC.ni hivi hatuwatakiiiiiiiiii.
 
Every country has its own order did you ask yourself why they brought their cattle in Tanzania while they have big land for posture in their country?

Tanzania we have common conflicts between farmers and pastoralists we have in big danger of deforestation and environmental hazards caused by grazing of cattle in prohibited areas, all these are participated by outsiders while they left their land nourishing and blooming,

Brother we will not tolerate such stupidity by the name of pan africanism never our generations will curse us for not taking measures.

There is land degradatione all over from Shinyanga to Songea, Mara to Mtwara, Kilimanjaro to Kigoma, Mbeya to Morogoro. We are already a cursed society. How many people are building, farming and herding in water catchments areas?.

Which water catchment area is safe in Ruvuma, Morogoro, Kilimanjaro, Kagera, Rukwa etc?.Let us be serious and avoid missing our senses.

Our children are already asking where did the waterfalls in Morogoro mentioned by Baraka M.M.? The answer is they are nowhere to be seen! Where were the thick Miombo forests in Tabora? The answer is they have disappeared because and they are nowhere to be seen. Where have the big rivers gone? Some rivers appear season yet they were flowing throughout the year. What happened to them?. Provide the answer to these questions and tell us if we are not a cursed society!
 
United what? Pmbavu,kma mnalijua hilo,msingefanya upuuzi kma ule wa EAC.ni hivi hatuwatakiiiiiiiiii.
Jenga hoja acha matusi unaponitukana kuhusu kilichofanyika EAC na mimi kipindi kile nilikua bado sijazaliwa. Hivyo, najaribu kujenga hoja kuonesha kuwa mazungumzo ndiyo suluhisho la mambo yote yanayojitokeza kwa sasa. Na tukizingatia uonevu wa kihistoria ni muhimu, bali kulipiza kisasi hakuwezi kutusaidia kwenda mbele.
 
Kama mahakama imeamua, basi hakuna namna.
Tukiamua kufuata utawala wa sheria maana yake tunawachana na mila na mazoea,
Khy ujirani mwema ni kitu kizuri lkn ni mhm ujirani mwema uwe chini ya sharia ya nchi,
Tukumbuke siku hizi kuna magaidi ambao wanaweza kutumia hizi loop holes za ujirani mwema kutekeleza mambo yao,
Ndio maana siku hizi hata maofisini watu wanajuana lkn kama umesahau pass card yako huwezi fungua mlango na ni kosa kuingia kwa kutumia ya mwenzako kwaajili ya usalama.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom