Tanzania Now Faces Sanctions & Diplomatic Crisis Over Iran

Status
Not open for further replies.
Laana za wazee wa africa mashariki, na kuuwa watu ovyo kwa risasi tumeshuhudia sana kwa kipindi hiki, hiyo damu unadhani inapotea hivi hivi tu....
 
Not true Bush family has no any relationship with Barrick gold; he might

know the owner but no part

of owning the company... Prove me wrong!!!
nngu007,
Mzee Bush ni major shareholder katika kampuni ya Barrick. Na kupitia kwake ndivyo Sinclair alivyofanikiwa kuwakutanisha Bush mdogo na Kikwete katika ziara ya pili ya Kikwete hapa Marekani. He owns shares in the company.
 
Ni kama barua imetoka kwa mwanaume aliyeoa anamwandikia hawara yake ambaye naye ameolewa na mwanaume mwingine ila anamwonea wivu pale alipogundua kuwa kuna mtu wa pembeni anatoka naye.
 
Liwalo na liwe

Huu ni upepo tu utapita

hii ni ajali ya kisiasa

Wanaopata mimba ni kiherehere chao

Mh Mnyika ulinena vema JK kweli ni dhaifu,tena sana.piga picha sasa atatua lipi na nani maana kama timu yake ni ya kina mzee wa gombe-nyara ya serikali-wasira,na wengineo kama hao kuna suluhu kweli?
 

this shows how much insane you are. huyo jamaa ni member wa bunge dogo la marekani na hata siyo senator halafu anamwandikia barua raisi wa nchi anamchimba mkwala na bado unaona ni vyema tu hivi hapa Tanzania mbunge wa Tz anaweza hata kuonana na obama achana tu na kumwandikia barua.

kubali ukatae Raisi wenu anadharaulika sana pamoja ni kujikomba sana kwa hao wazungu(mzungu worshiper) lakini bado anadharaulika sana
 

we in the Congress would have no choice but to consider whether to continue the range of bi-lateral U.S. programs with Tanzania.

Sincerely,

Howard Berman
Ranking Democrat, House Foreign Affairs Committee
Jamani hii itatusaidia.
Baba Mwanaasha safari zake zitapungua walau kidogo.
Alipiga mkwara ni kama nape wao.
 


Mkuu wewe huijui USA unaleta porojo za bongo! mataifa kama Japan, China, India, Europe n.k yanasalim amri ndo iwe TZ.
Kataeni mengine rakini siyo hilo.
Iran na wauza mafuta wote wameshindwa kubadilisha mafuta yasiuzwe kwa USD pamoja na kwamba ni yao.
Chezea kwingine
 
Nilidhani ni juu ya ulegelege wa serikali,migomo isiyokwisha,au mafisadi na wezi kutokuchukuliwa hatua na serikali iliyopo madarakani,kumbe ni kwa mambo yao binafsi,wapeleke ushoga wao
Washington.
 
Tanzania ni inchi isiyo fungamana na upande wowote! hawa wamerekani wanatakiwa walijue hilo... ukoloni mambo leo ulipitwa na wakati!

Bravo USA-JK asituletee matatizo TZ imesaini mkataba wa kupambana na magaidi kwa nini magaidi watumie bendera yetu nasi tutaonekana tuna-support ugaidi,I support US.
 

bi-lateral U.S. programs with Tanzania!!!!! Hahahaha nani hapa anafaidika zaidi ? wao wanachukua dhahabu yetu, wanatolea mijichi mafuta na gesi yetu..wacha wasotoe hiyo misaada yao..\
EBOOO kwani mnaogopa vikwazo kwa sababu ya maslahi ya Mabeberu? wao ndio wanafaidi kutoka na rasilimali zetu kuliko misadaa ya CHANDARUA..ebo mbona mnatia aibu? hamjijui wala kujitambua...mnashabikia tu.
Walio sajili ni Zanzibar Maritime Authority na waziri wa zanzibar anaehusika amesha jibu suala hili..ni kwamba kuna ushindani katikA BIASHARA ya kusajili meli duniani na zanzibar wameweza kusajili meli kubwa na kuingiza mapato...
sasa hii ni fitina nyengine ya Tanganyika ya kujaribu kutumia mabeberu kuibana zanziabe kila kona...
lakini waziri wa zanziabr ametoa msimamo ni uchoyo wa kibiashara
 
Kwanini watz tulipe cost kisa RA, n rafiki yake JK? Tutaamua lini? Acha ndoto ww kama unategemea misaada kuishi kwny nchi hii iliyopaswa kuwa maziwa na asali
 
Mbona mr. dhaifu asiwanyang'anye. Nenda zako huko siku zenu zinahesabika.
 
Not true Bush family has no any relationship with Barrick gold; he might

know the owner but no part

of owning the company... Prove me wrong!!!
George Bush Sr has a stake in Barrick Gold. It goes way back to Nevada mines with Adnan Kashoggi (Barrick Gold Founder). Mambo ya dunia hii ni zaidi ya ujuavyo..mpaka uunganishe Dots ndio utapata picha kamili. Bush family wana utajiri mkubwa sana ..baadhi ya utajiri wao unatoka kwenye migodi yetu. Kwa hiyo usishangae kwa nini mkulu anapenda sana kwenda Marekani.
 
nngu007,
Mzee Bush ni major shareholder katika kampuni ya Barrick. Na kupitia kwake ndivyo Sinclair alivyofanikiwa kuwakutanisha Bush mdogo na Kikwete katika ziara ya pili ya Kikwete hapa Marekani. He owns shares in the company.

Barrick ilikuja wakati wa Mkapa na sio wakati wa Kikwete Mikataba yote Mibovu ilisainiwa wakati wa Utawala wa

Mkapa na si Kikwete
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…