Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,138
- 29,715
Sasa unatoa ushauri au unalalamika makosa ya mipango mini hapa Tanzania ni makosa ya maraisi waovyo waliopita ila magufuli ndiyo anajitahidi kuya lekebisha ,makosa yalifanya pia na wafanyakazi wazembe wa serikalini ndiyo maana jpm anapambana na wafanyakazi wapuuzi usiku na mchana ,hata viwanja vya wazi waliviuza huku maraisi waliokuwepo wakijaza vyoo tu ikulu bila kuchukua hatua yoyote tushukuru sana kumpata raisi magufuli nchi ilikua inaoza hiiWatanzania tujaribu kutembelea nchi zingene tuone maendeleo halisi, good and efficient planning both urban and rural, barabara bora zaidi sio Mfugale flyovers.
Karibuni Botswana na Namibia, juzi kati nilitembelea nchi ya Domican Republic ipo Carribean ni nchi poa sana.
Muone mipango miji, Dar es salaam ni kijiji chenye wakazi wengi with poor infrastructure.
