BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Yana bwana Mkombozi mi naomba uamini kitu kimoja, hawa wazee wetu walioko madarakani uwezo wao ni mdogo mno. Mimi nawafahamu sababu nimesha deal nao. 3 years ago nilipata bahati ya kusimamia investment moja ya kama $4.5 million. Nili deal na goverment institutions zote TIC, TRA, BOT, IMMIGRATION, BOT, TANAPA NA NCAA. Acheni jamani ni aibu!!! wanachojua ni kupanga safari tu ili wapata imprests